×

Habari

Mwenyekiti wa Chadema Muheza Atimkia CCM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoani Tanga kimepata pigo baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho wilaya ya Muheza,...

READ MORE

UWOYA: Mh! kwa Nape Hapana!

Na IMELDA MTEMA/GPL IRENE Uwoya amekataa katakata kuzungumzia chochote kuhusiana na kutumbuliwa kwa aliyekuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na...

READ MORE

LIVE: Somo Kutoka kwa Muhamasishaji Mahiri Nchini Eric James Shigongo…

Jiunge na Muhamasishaji wa Kimataifa hapa… Part 2 Watu Wangu.

READ MORE

Shika Ndinga ya Efm Yatua Mwembeyanga, Temeke

Baadhi ya wananchi waliofika viwanjani hapo wakishuhudia mashindano hayo. Baadhi ya washiriki wa shindano la Shika Ndinga wakichuana katika mashindano...

READ MORE

Watu 250 Waangamia Kwenye Maporomoko ya Ardhi Colombia

JESHI la Colombia limesema idadi ya waliofariki katika maporomoko ya ardhi nchini humo imefikia watu 250 huku waliojeruhiwa wakiwa 400....

READ MORE

Kim Kardashian Afanya Upasuaji wa Makalio Tena!

MWANAMITINDO na Mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians (KUWTK), Kim Kardashian amefanya upasuaji wa kuyarudisha makalio yake...

READ MORE

OFM Wamvaa Masogange ‘Kininja’, Siri Nzito Yafichuka Kuhusu Maisha Yake

Na Mwandishi Wetu|Gazeti la IJUMAA DAR ES SALAAM: KUFUATIA madai kuwa, mrembo mwenye figa matata Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ anaishi...

READ MORE

LIVE: Uzinduzi wa Mbio za Mwenge 2017 Mkoani Katavi

LIVE: UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE 2017 MKOANI KATAVI.

READ MORE

Shilole Ajivisha Pete ya Uchumba

Na Mwandishi Wetu/GPL STAA wa Filamu za Kibongo, Zuwena Mohammed ameamua kujivisha pete ya uchumba mwenyewe, kitendo ambacho kimezua minong’ono...

READ MORE

Harmorapa Auza Sura na Mzungu wa Kampuni ya Swala Escape One

Salum Milongo/GPL MSANII wa Bongo Fleva anayetrendi katika mitandao ya kijamii Bongo, Athuman Omary ‘Hamorapa’, jana jumamosi katika viwanja vya...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti Yote Tanzania April 2, 2017 ya Udaku, Hardnews na michezo

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, April 01, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Mr Shinda Nyumba apagawisha Temeke leo

Mr Shinda Nyumba akigawa kuponi katika maeneo ya Temeke Stereo. Shinda Nyumba akiwagawaia vipeperushi wakazi wa maeneo ya Temeke Stereo....

READ MORE

Flora Lauwo: Dada wa Kazi Hagusi Nguo za Mume Wangu

STORI: IMELDA MTEMA | RISASI JUMAMOSI| MPAKA HOME ANAITWA Flora Godwin Lauwo. Kwa wale wanaomsoma leo kwa mara ya kwanza,...

READ MORE

Mpira Umekwisha Uwanja wa Taifa: Yanga SC 1-0 Azam FC

MPIRA UMEKWISHAAAAAA…. KADI Dida analambwa kadi ya njano kwa kupoteza muda -SUB Juma Mahadhi anaingia kuchukua nafasi ya MsuvaDAKIKA 5...

READ MORE

Isikupite Hii… Utajifunza Mbinu za Kukuza Uchumi Wako Katika Kipindi Hiki Kigumu

Isikupite #ProfessionalGathering Jumapili hii… Jinsi ya kukuza uchumi wako kwenye kipindi hiki cha uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli....

READ MORE

#GlobalCelebrities: Tazama Jinsi IlivyokuwaKwenye Uzinduzi Wa Album Mpya Ya Lady Jay Dee ‘WOMAN’ – (Photos & Video)

Siku ya Ijumaa tarehe 31 Machi ilikuwa siku muhimu sana kwa Malkia wa Bongo Fleva Lady Jay Dee ambaye alikuwa...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Afrika Kusini Auawa kwa Kuchomwa Visu Bungeni!

  MWANDISHI: WALUSANGA NDAKI| RISASI JUMAMOSI| NAKUJUZA ZAIDI KWA wanaokumbuka, siku hiyo shule zilifungwa, wafanyakazi serikalini waliowahi kazini asubuhi walirudi...

READ MORE

Mtoto wa Kajala Awa Kivutio!

STORI: IMELDA MTEMA |RISASI JUMAMOSI| RISASI VIBES wa Bongo Muvi, Kajala Masanja, Paula Paul hivi karibuni aligeuka kivutio kikubwa shuleni...

READ MORE

Paraguay: Waandamanaji Wamelichoma Moto Jengo la Bunge Lao

PARAGUAY: Waandamanaji nchini Paraguay, wamevamia jengo ya bunge la nchi hiyo na kulichoma moto wakipinga hatua ya bunge la senate la...

READ MORE

Tazama LIVE Event ya Tuzo za Malkia wa Nguvu – Mwalimu Nyerere Conversion Center

Tazama LIVE Event ya Tuzo za Malkia wa Nguvu -PART 1 Tazama LIVE Event ya Tuzo za Malkia wa Nguvu...

READ MORE

Wolper Amchana Harmorapa!

Stori: Imelda Mtema |RISASI JUMAMOSI| RISASI VIBES JACQUELINE Wolper amefunguka kuwa mwanamuziki chipukizi ambaye hivi sasa amekuwa gumzo mjini, Athuman Omary...

READ MORE

Aliyezaa na Young D Amfungukia Amber Lulu

  STORI: GLADNESS MALLYA|RISASI JUMAMOSI| RISASI VIBES BAADA ya picha za msanii wa Bongo Fleva, David Genz ‘Young D’ na Amber Lulu...

READ MORE

Mahakama Nchini Kenya Yazuia Uamuzi wa Rais Magufuli Kuepeka Madaktari 500

KENYA: Mahakama ya Kazi nchini Kenya imeweka zuio la muda dhidi ya serikali ya nchi hiyo kuajiri madaktari kutoka nje...

READ MORE

Omog Amtia Jeuri Mavugo, Aiue Kagera Sugar

STORI: Sweetbert Lukonge | CHAMPIONI JUMAMOSI| Dar es Salaam KIKOSI cha Simba kesho Jumapili kinashuka uwanjani kupambana na Kagera Sugar katika mchezo...

READ MORE

Kaseja Atibua Mipango ya Simba Kagera Sugar

STORI: Musa Mateja | CHAMPIONI| Dar es Salaam KIPA mkongwe, Juma Kaseja, amewatahadharisha Simba kwa kuwaambia kwamba wajipange kisaikolojia kabla ya...

READ MORE

Ulimmisi Solo Thang? Huyu Hapa!

MAKALA: ERICK EVARIST |RISASI JUMAMOSI| RISASI VIBES KWA kizazi kile kilichokuwa na ufahamu wa muziki miaka ya 2000, jina la...

READ MORE

Nikki wa Pili Afungukia Maisha Yake ya Kimapenzi

STORI: ALLY KATALAMBULA | RISASI JUMAMOSI| RISASI VIBES RAPA anayetamba na ngoma ya Sweet Mangi, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’...

READ MORE

Wanaume Wenye Mkono wa Kupiga, Hii Inawahusu!

  KUNA baadhi ya wanaume au makabila fulani huwa wanaamini bila mwanamke kupigwa, mambo hayaendi. Wengine wanaenda mbali na kusema...

READ MORE

Hapa Nimekuwekea Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumamosi, Aprili 1, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Aprili 1, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Diamond Alikoroga kwa Waislamu, Shehe Mkuu Dar Akereka, Atoa Tamko Zito…

Na HAMIDA HASSAN| GAZETI LA IJUMAA| HABARI DAR ES SALAAM: Msanii wa kiwango cha kimataifa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ hivi...

READ MORE

Kipindi Maalum, Mtazame Kipofu Anayefanya Kazi ya Useremala

Global TV Online, inakuletea kipindi maalum cha mzee ambaye ni kipofu lakini anajishughulisha na kazi ya ufundi seremala Unadhani inawezekana...

READ MORE

Msiogope Kupigania Demokrasia ya Kweli – Sumaye

WANAMAGEUZI nchini wametakiwa kuendelea kupigania demokrasia ya kweli ambayo ndiyo itawapa ushindi na kuwapatia Watanzania kwa ujumla fursa ya kupata...

READ MORE

#GlobalMusic: Wizkid Feat. Drake ‘Come Closer’ – (Official Audio Release)

Baada ya kuikamata dunia na single ya ‘One Dance’, Wizkid na Drake wamerudi tena  na nyingine mpya this time Drake...

READ MORE

Kwa nini Uuvumilie Uchumba wa Kuumizwa Kila Siku?

Na MWANDISHI WETU|GAZETI LA IJUMAA| MAKALA HALI gani mpenzi msomaji wangu, nakukaribisha tena kwa moyo mkunjufu kwenye uwanja huu maridhawa,...

READ MORE

Live Kutoka Ikulu Dar… Ziara ya Waziri Mkuu wa Ethiopia

IKULU DAR: Kufuatia Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn kuwasili hapa nchini kwa ziara ya siku mbili, serikali ya Tanzania na...

READ MORE