×

Habari

VIDEO: Walisema Mwakyembe Hatohudhuria Kuapishwa! – Rais Magufuli

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli leo Machi 24, 2017 amewaaapisha; Jaji Stella Esther Mugasha kuwa kamishna wa Tume ya Mahakama, Sylvester...

READ MORE

Rais Magufuli Alivyowaapisha Mawaziri Wapya na Mabalozi Ikulu

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli leo Machi 24, 2017 amewaaapisha; Jaji Stella Esther Mugasha kuwa kamishna wa Tume ya Mahakama, Sylvester...

READ MORE

Wamekosea Timing…

UZIKI wa Bongo Fleva wa sasa umekuwa ni ajira na biashara kubwa tofauti na kipindi cha nyuma ambapo ulikuwa ukichukuliwa...

READ MORE

Leilah Rashid Amtibulia Mzee kwa Mashehe

MASHAALLAH! Alhaji Mzee Yusuf ambaye zamani alikuwa muimbaji wa Muziki wa Taarab, anaendelea na jitihada zake za kuitangaza Dini ya...

READ MORE

Mnyika Alaani Nape Kutishiwa Bastola Hadharani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Bara (Chadema) leo kimelaani kitendo cha vyombo vya dola kutumia vibaya silaha ya moto iliyotolewa...

READ MORE

Chid Ukirudi Ulikotoka, Tutashangaa sana!

HI…chi…chii Chid Benz! Inakuwa vigumu sana kuacha kuandika kuhusu huyo mkali wa Hip Hop Bongo. Unamtazama akiwa bado kinda anapovamia...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Atoa Onyo Kali kwa Vyombo vya Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amevikosoa vyombo vya habari nchini Tanzania na kuwataka wamiliki...

READ MORE

Harusi ya Kifahari Baadaye Mnaachana, Nini Kinasababisha

Na HASHIM AZIZ|CHAMPIONI IJUMAA| MAKALA KARIBU kwenye uwanja huu mzuri mpendwa msomaji wangu, ni Ijumaa nyingine tunapokutana, ni wajibu wetu...

READ MORE

Hafla ya Kuapishwa Mawaziri, Mabalozi na Kamishna Ikulu Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi Dkt. Harrison Mwakyembe baada ya...

READ MORE

Lulu Diva Akataa Uwifi kwa Sanchi

Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA IJUMAA| STAR MIX VIDEO queen ambaye pia msanii wa muziki, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ ameibuka...

READ MORE

#GlobalMusic: Ipokee ‘TOLA’ Collabo Nyingine Ya Vanessa Mdee na Tay Grin Kutoka Malawi – (Video)

Baada ya kushirikiana na Orezi na Legendury Beatz wa Nigeria, Cash Madame wa Bongo Fleva Vanessa Mdee anatupeleka Malawi weekend...

READ MORE

Baada ya Nape Nnauye Kutishwa na Bastola, Waziri Mwigulu Nchemba Aingilia Kati, Atoa Tamko

Kufuatia tukio la mtu mmoja aliyedaiwa kuwa ni Askari kumtishia Mbunge Nape Nnauye kwa kutumia bastola, Waziri wa Mambo ya...

READ MORE

KAJALA: Mambo ya Makonda Hayanihusu

Na HAMIDA HASSAN| GAZETI LA IJUMAA| HABARI MASTAA wengi Bongo wamekuwa wagumu kuzungumza chochote kuhusu yanayomkuta Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

VIDEO: Hafla ya Kuapishwa kwa Mawaziri Wapya, Dk Mwakyembe na Kabudi Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muunano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha viongozi mbalimbali wa serikali aliyowateua hivi karibuni wakiwemo...

READ MORE

Mwigulu: Nape Sio Jambazi…

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba ameandika ujumbe katika mitandao ya kijamii kufuatia ishu ya aliyekuwa Waziri...

READ MORE

Unayeitamani Ndoa , Mume Bora Anapaswa Kuwa Hivi 2

Na HASHIM AZIZ| GAZETI LA IJUMAA| LETS TALK ABOUT LOVE UHALI gani msomaji wangu, ni matumaini yangu kwamba uko poa...

READ MORE

Live: Taarifa ya Habari kutoka TBC (Machi 24, 2017 (Asubuhi)

Tazama taarifa ya habari mubashara kupitia simu au kompyuta yake, kutoka TBC 1 kwa kubofya… https://www.youtube.com/watch?v=nIy8LXMLdig

READ MORE

Omotola Atamba kukutana na Jesse Jackson!

Na ANDREW CARLOS| GAZETI LA IJUMAA| KUTOKA NAIJA NAIJAMKONGWE wa filamu ambaye pia ni mhamasishaji wa amani Afrika, Omotola Jalade...

READ MORE

Diamond, Belle9 Wambeba Saida Kalori

Na HAMIDA HASSAN| GAZETI LA IJUMAA| SHOWBIZ WASANII wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Abednego Damian ‘Belle9’...

READ MORE

Nimekuwekea Magazeti Yote Ya Tanzania Leo, Ijumaa, Machi 24, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Machi 24, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine Ikulu

Rais Magufuli amteua Alphayo Kidata kuwa Katibu Mkuu, Ikulu. Kidata anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Peter Ilomo ambaye amestaafu.

READ MORE

Watanzania na Wachina washerehekea wiki ya Filamu za China

KAMPUNI ya StarTimes Tanzania, jana Jumatano iliwakutanisha Watanzania na Wachina katika kusherehekea Wiki ya Filamu za China kwenye hafla iliyofanyika...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Anasa Makontena 10 ya Magari Bandarini

Rais Magufuli alivyowasili bandarini leo wakati alipofanya ziara ya kushtukiza. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John...

READ MORE

Wananchi Washauriwa Kutembelea Vituo vya Hali ya Hewa

Na Denis Mtima/GPL WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini imewaomba wananchi kutembelea vituo...

READ MORE

Pichaz 20 (+Video): Kilichojili Wakati Nape Akizungumza na Wanahabari

Kwa undani zaidi itazame Video Hapo chini nimekuwekea… NA HIKI NDICHO ALICHOKIZUNGUMZA Picha na Mussa Mateja/GPL

READ MORE

VIDEO: Mkutano wa Nape Wajaa Figisu, Aongelea Barabarani, Apongeza Uamuzi wa Rais Magufuli

KUFUATIA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli leo kutengua uteuzi wa Waziri  wa Habari, Sanaa, Utamaduni...

READ MORE

RAY: Ningeteuliwa Waziri Ningeanza Kuwachuja Wasanii

MKONGWE wa filamu Nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’, amefunguka kuwa kama angeteuliwa kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, angeanzisha mpango...

READ MORE

Kauli ya Zitto na Bashe Baada ya Nape Kuvuliwa Uwaziri

Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli leo kutengua uteuzi wa Waziri  wa Habari,...

READ MORE

Siku Tano za Mwisho za Nape Nnauye Ofisini!

MAKALA NA OJUKU OBRAHAM | GLOBAL PUBLISHERS NAPE Nnauye, leo ameondolewa kwenye nafasi yake ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa...

READ MORE

Nape Nnauye: Wanahabari Tukutane Protea Hotel Saa 8 Kamili

MBUNGE wa Jimbo la Mtama lililopo Mkoa wa Lindi, Nape Moses Nnauye, amechapisha ujumbe kwenye mtandao wake wa Twitter kuwataka...

READ MORE

Askofu Gwajima Alipoitembelea Efm Leo

ASKOFU wa Kanisa la Ufufuno na Uzima, la Jijini Dar es Salaam, Mch. Josephat Gwajima amewatembelea na kuwaombea wafanyakazi wa...

READ MORE

#GlobalCelebrityUpdates: Davido Azianika Sababu Za Kutemana Na Lebo Ya SONY

Baada ya kujitoa kwenye label ya muziki ya Sony, Davido amejitokeza kuzungumza sababu zilizomsukuma kufanya maamuzi hayo. Kwenye pitapita yangu...

READ MORE

Maneno 16 Ya Nape Nnauye Asubuhi Hii Baada ya Kuondolewa Kwenye Uwaziri

Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye amewaomba wananchi watulie kufuatia kuondolewa kwake kwenye nafasi...

READ MORE

Alichokiandika Wema Baada ya Nape kuondolewa Uwaziri

MSANII wa filamu nchini Wema Sepetu, ‘Madam’, ambaye hivi karibuni alihamia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameweka ujumbe kwenye...

READ MORE

Breaking News: Nape Aondolewa Kwenye Uwaziri wa Habari, Nafasi Yake Yachukuliwa na Dkt. Mwakyembe

IKULU: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo kwenye Baraza lake la Mawaziri leo...

READ MORE

MACHOZI: Nimepelekwa Ulaya na mwanamke wa Kizungu?

  Na GABRIEL NG`OSHA| GAZETI LA AMANI| MAKALA UNAMKUMBUKA Mbongo-Fleva, Hussein Machozi? Jamaa aliwahi kutamba na Ngoma za Kafia Gheto,...

READ MORE

Mobeto Afungukia Kurudiana na Mzazi Mwenzake

Na IMELDA MTEMA| GAZETI LA AMANI| SHOW BIZ VIDEO queen matata Bongo, Hamisa Mobeto amesema kwa sasa yupo bize na...

READ MORE