×

Kitaifa

Sera Nzuri za Rais Samia Kuhusu Uwekezaji Zachangia Ongezeko Kubwa La Waajiri Kujisajili WCF: Dk. Mduma

KUMEKUWA na ongezeko kubwa la waajiri kujisajili na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) katika kipindi cha Serikali ya Awamu...

READ MORE

Washindi Wa NMB “MastabataKotekote” WakabidhiwaTiketi za Kwenda Dubai

  Mshindi wa droo ya “MastaBatakotekote”iliyokuwa ikiendeshwa  na Benki  ya NMb Ndugu,John Lubisha ameishukuru Benki hiyo kwa kuweka shindano hilo...

READ MORE

Parasport Club Yafikiwa Na Meridianbet Wapewa Vifaa vya Michezo

Meridianbet wamejaribu kugusa maisha ya watu kwa mara nyingine kama ambavyo wamekua wakifanya wakati huu Meridianbet wamefanikiwa kufika Parasport Club...

READ MORE

NMB Yapata Ufadhili Wa Bilioni 572 Kutoka Jumuiya Ya Ulaya

Benki ya NMB imepata mikopo miwili ya muda mrefu na dhamana ya kukopesha kutoka taasisi tatu za fedha za Jumuiya...

READ MORE

Chapride Gumzo Kila Kona -“Hii Imekuja Kuwa Mkombozi Wetu” Madereva – (Picha +Video)

Jana Jumamosi Februari 25,2023, timu ya masoko ya Chapride, kampuni mpya ya usafiri mtandaoni inayotoa ofa kibao, imeendelea kutoa elimu...

READ MORE

NACTVET Yatoa Tuzo Kwa Wanaotoa Nafasi Kuendeleza Ujuzi

  BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTIVET) kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE), wamewapa tuzo kampuni...

READ MORE

Walinda Amani Watatu wa Senegal wa kikosi cha UN nchini Mali Wauawa katika Mlipuko

Walinda amani watatu wa Senegal wa kikosi cha Umoja wa mataifa nchini Mali waliuawa Jumanne wakati msafara wao ulipokanyaga bomu...

READ MORE

Kocha wa Simba Robertinho Mtegoni, Apewa Mechi Tatu Simba

IMEELEZWA kuwa hatma ya Kocha Mkuu wa Simba, Mbrazil Roberto Oliveira ‘Robertinho’ ipo katika michezo miwili ya hatua ya Makundi...

READ MORE

CBE Yaja na Klabu za Ujasiriamali Mashuleni

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimepanga kuanzisha vilabu vya ujasiriamali kwa shule za sekondari mkoani Dar es Salaam...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi  Afungua Ubalozi Mdogo wa UAE

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi  amefungua Ubalozi mdogo wa Umoja wa Nchi ya...

READ MORE

Rais Dk. Mwinyi Akutana na Askofu Mkuu wa Kanisa La Waadventista Wasabato Tanzania

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi  amekutana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista...

READ MORE

CBE Yatamba Kuzalisha Wahitimu Walio Tayari Kwa Soko la Ajira

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mpango wa kuwasaidia wanafunzi wajasiriamali kuendeleza biashara zao au kuatamia mawazo ya...

READ MORE

Mama Mariam Mwinyi Apongezwa Na UVCCM, Kujipanga Na Matembezi Ya Miaka 60 ya Mapinduzi ZNZ Mwakani

Mlezi wa Matembezi ya  UVCCM ya  Mapinduzi  ya Zanzibar,  Mke wa Rais Zanzibar, Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora...

READ MORE

Benki Absa Yaboresha Mkopo wa Nyumba, Yaingia Makubaliano na NHC

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula amefika katika jengo la Morocco Square kuzindua Huduma ya...

READ MORE

Nabi Aivaa TP Mazembe Kivingine Leo Jumapili Uwanja wa Mkapa, Dar

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuwa watabadili mbinu kwenye mchezo dhidi ya TP Mazembe, huku akija kwa utofauti...

READ MORE

Exclusive Video: Inspector Haroun Afunguka Bifu Lake Na Juma Nature, Maisha Yake Hali, Muziki

 Msanii mkongwe, Haruna Kahema ‘Inspector Haroun’, mkali wa michano ambaye aliwahi kutamba na ngoma nyingi zikiwemo Pamba Nyepesi, Bye...

READ MORE

Naibu Waziri Kundo Ampongeza Rais Samia Uboreshaji Mazingira ya Tasnia ya Habari

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

RC Mgumba Akabidhi Vyandarua Kwa Shule Zote za Mkoa wa Tanga, Ni Vilivyotolewa na Rais Samia

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan imegawa vyandarua kwa Shule zote za msingi Mkoani...

READ MORE

Chuo Cha Teknolojia Cha India Kuanzishwa Nchini Tanzania

Serikali ya India inatarajia kuazisha Chuo cha Teknolojia (Indian Institute of Technology) nchini Tanzania ambacho kitakuwa kinatoa kozi ya masuala...

READ MORE

CTI Yaomba Malighafi Zinazoingia Tanzania Zisitozwe Kodi

SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limeiomba serikali kupunguza au kuondoa  kodi kwa malighafi zinazotoka nje ya nchi kwaajili ya...

READ MORE

DCB Yapongezwa Kwa Mchango Wake Kuinua Sekta ya Fedha Nchini

BENKI ya Biashara ya DCB imepongezwa kwa mchango wake unaoendelea kuchangia maendeleo ya sekta ya fedha nchini. Hayo yamebainika katika...

READ MORE

Benki ya Dunia Yataja Mafanikio Matatu ya Uchumi wa Tanzania  Nchini ya Rais Samia Suluhu Hassan

Benki ya dunia yataja mafanikio matatu ya Uchumi wa Tanzania  nchini ya Rais Samia Suluhu Hassan 1. Tanzania ina mfumuko...

READ MORE

Meridianbet Yagawa Nguo Kwa Bodaboda Jiji la Dar Es Salaam

Bodaboda ni moja ya usafiri unaotumiwa sana na wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam, Mkoa wenye idadi kubwa ya...

READ MORE

Tundu Lissu Atinga Kituo Cha Polisi Dodoma Kufuatilia Gari Lake – “Nataka Kulipeleka Makumbusho”-Video

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ametinga katika Ofisi ya Jeshi la Polisi mkoani Dodoma,...

READ MORE

Watu Saba Kusepa Dubai Kula Raha, Ni Kupitia Kampeni ya NMB MastaBata ‘Kote Kote’

  Kampeni ya kuhamasisha matumizi ya NMB mastercard na QR Code ‘Lipa Mkononi’ iitwayo NMB MastaBata ‘Kote Kote’, imefikia ukomo...

READ MORE

Waliopata Division one St. Anne Marie Academy, Kutembelea Mbuga za Wanyama

WANAFUNZI wa shule ya St. Anne Marie Academy waliofanya vizuri kwenye matokeo ya kidato cha nne wanaandaliwa ziara ya kutembelea...

READ MORE

Machinga, Bodaboda Wapata Ufadhili Kutoka Nmb,Kupata Mafunzo Nchini Rwanda

BENKI ya NMB imefadhili ziara ya siku nne ya mafunzo kwa Viongozi wa Vyama na Mashirikisho ya Wafanyabiashara Wadogo (Machinga)...

READ MORE

Wizara ya Sanaa Yaja na Tatu Kubwa za 2023, Kupokea Ripoti ya Kamati Kuhusu Vazi la Taifa

Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kesho Ijumaa, Februari 03, 2023, inakwenda kuweka historia ya fungua mwaka kwa kufanya mambo...

READ MORE

DC Aipongeza Mahakama Utoaji Elimu kwa Wananchi

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, Victoria Mwanziva ameipongeza Mahakama ya Wilaya ya Ludewa kwa kutoa elimu ya Sheria kwa wananchi...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Watanzania Kuadhimisha Siku Ya Sheria

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 1 Februari, 2023 amewaongoza Watanzania...

READ MORE

Nmb Yashiriki Kilele Cha Wiki ya Sheria Dodoma

  Benki ya NMB imeshiriki kilele cha wiki ya Sheria nchini iliyomalizika leo jijini Dodoma ambapo katika kilele hicho kimehitimishwa...

READ MORE

DCB Yaingia Kwenye Mizania ya Kati, Yajiimarisha Kuendelea Kupata Faida Zaidi 2022

Benki ya Biashara ya DCB imepata faida kwa kiwango kikubwa kwa mwaka wa fedha wa 2022 ukilinganisha na faida iliyopatikana...

READ MORE

GGML Kuwapatia Mafunzo Kazi Wahitimu 50 wa Vyuo Vikuu

  JUMLA ya wahitimu 50 wa vyuo vikuu nchini wamepata fursa ya kupata mafunzo yanayotolewa na Kampuni ya Geita Gold...

READ MORE

NALA Yaungana na Vodacom M-Pesa Kuleta Urahisi wa Kutuma, Kupokea Pesa Nchi za Ulaya

Kampuni ya kimataifa iliyozaliwa Tanzania (NALA), inayoshughulika na mfumo wa malipo, duniani na kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano ya Vodacom...

READ MORE

Nmb Yazindua Kampeni ya Umebima 2023, Elimu Zaidi Yatolewa

Katika azma yake ya kuchangia ujumuishi wa kifedha nchini kupitia huduma za bima, Benki ya NMB Jumatatu wiki hii imezindua...

READ MORE

DCI Ramadhani Kingai Atembelea Ocean Road,”Polisi nao Ni Wanajamii”

Askari Polisi alijiunga na Jeshi la Polisi na kuhudhuria mafunzo ya awali mwaka 2000/2001 leo wametembelea Taasisi ya Saratani Ocean...

READ MORE

Kuelekea ‘Grand finale ‘ NMB Kupitia Kampeni yake Ya ‘MastaBataKoteKote’ Yakabidhi Pikipiki

Ikiwa zimesalia siku 3 tu kuelekea ‘Grand finale ‘ ambapo tutashuhudia wateja 8 wakijishindia safari ya kwenda Dubai kwa siku...

READ MORE