×

Kitaifa

Jaji Mkuu Mstaafu Othman Chande Awatunuku Wahitimu 943 ARU

WAKUFUNZI 54 wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), wamepata ufadhili wa kusoma Shahada za Uzamili kupitia mradi unaolenga kufanya tafiti kutatua...

READ MORE

Kampuni ya T-PESA Yazindua Huduma za Bima

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima nchini Tanzania (TIRA), imeipongeza Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation) T-Pesa kwa...

READ MORE

Anayevuruga Mitihani Ashitakiwe Mahakamani, Aende Jela-Waziri Mkenda

  Serikali imeweka bayana dhaira yake ya kuchukua hatua kali za uwajibikaji kwa Maafisa Elimu wa Mikoa, Wilaya, Walimu na...

READ MORE

Fedha za Maadhimisho ya Uhuru Kujenga Mabweni ya Shule Nane

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene amesema fedha zilizokuwa zimetengwa na...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Akabidhi Tuzo Kwa NMB ya Mwajiri bora wa mwaka 2022   

Benki ya NMB imetangazwa kuwa Mwajiri bora wa mwaka 2022 katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Chama cha...

READ MORE

TEN MET Yataka Ubora wa Elimu Ukidhi Mahitaji ya Wenye Ulemavu

  MTANDAO wa Elimu Tanzania (TEN/MET), umetoa changamoto kwa wadau wa elimu nchini kwa kushirikiana na Serikali kuhakikisha mabadiliko ya...

READ MORE

Kampuni ya Marekani Yazindua Ndege ya Makombora ya Nyuklia

Kampuni ya Northrop Grumman Corp imezindua ndege yake mpya ya ufyatuzi wa mabomu aina ya B-21 “Raider” aina ya jet,...

READ MORE

Anne Makinda Afurahia Ubora Wa Wahitimu HKMU

  CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali kuendelea kuongeza mikopo na ufadhili kwa wanafunzi wa fani...

READ MORE

Mwinyi Zahera Ateuliwa Kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Polisi Tanzania

Aliyekuwa kocha mkuu wa klabu ya Yanga SC Mwinyi Zahera ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Polisi Tanzania inayoshiriki...

READ MORE

SATF Yawakutanisha Wanufaika wa Vyuo 2021/22

Shirika la Social Action Trust Fund ( SATF ) ambalo limekuwa likitoa msaada kwa Watoto wenye uhitaji kufikia malengo yao...

READ MORE

PSSSF Yatwaa Tuzo ya Umahiri Katika Uwasilishaji Taarifa za Mahesabu Kwa Mwaka 2021

    MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umetwaa Tuzo ya Umahiri katika Uwasilishaji  wa Taarifa...

READ MORE

Kampuni ya Barron Yatoa Msaada Wa Viatu Kwa Watoto Wenye Maambukizi ya Ukimwi

Katika kuadhimisha siku ya UKIMWI Duniani leo tarehe 1 Disemba 2022 Kampuni ya Barron ambao ni wazalishaji na wauzaji wa...

READ MORE

CCM Yasikitishwa na Kulaani Kitendo cha Udhalilishaji Dhidi ya Mzee Mkoani Mara

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesikitishwa na kulaani kitendo cha udhalilishaji na ukiukaji wa haki ya msingi ya Mtanzania kuwa huru...

READ MORE

Mayele: Ndiyo Kwanza Kazi Inaanza Baada ya Kufikisha Mabao 10 Ligi Kuu

LICHA ya kufanikiwa kufunga mabao saba katika michezo mitatu iliyopita ya ligi, staa wa Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa bado...

READ MORE

Anne Makinda Kutunuku Wahitimu 291 Chuo Cha HKMU

  SPIKA Mstaafu ambaye ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha  Hubert Kairuki (HKMU), Anne Makinda anatarajiwa kuwatunuku wahitimu 291 wa...

READ MORE

Wizara ya Elimu Yasema Mageuzi ya Elimu Yanayokuja Kuhakikisha Elimu Ujuzi Inapatikana

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema mageuzi ya elimu yanayokuja yanakwenda sambamba na kuandaa mazingira ya...

READ MORE

Chama, Phiri Wabebeshwa Mzigo Simba Kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi Leo

  KOCHA Mkuu wa Simba, Juma Mgunda, ni kama amewakabidhi viungo washambuliaji wa timu hiyo, Clatous Chama na Moses Phiri...

READ MORE

Kampuni ya  GF Yajivunia Mafanikio ya Miaka 15, Kuwa ya kwanza Kuteneneza Magari Nchini

  Kampuni ya Gf Trucks & Equipment’s Ltd  inajivunia mafanikio iliyoyapata kwa kipindi  cha miaka 15  katika sekta ya uuzaji ...

READ MORE

Siri ya Nmb Kunyakua Tuzo 18 Yatajwa, Uongozi Thabiti wa Afisa Mtendaji Watajwa..

  Benki ya NMB imedhibitisha uongozi na sifa yake ya kuwa taasisi kinara wa huduma za kifedha nchini na isiyo...

READ MORE

Kuelekea Dirisha Dogo… Nabi Akabidhi Majina Matano Yanga, Injinia Hersi Afunguka

MABOSI wa Yanga wamekabidhiwa majina matano ya wachezaji ambao Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mtunisia Nasreddine Nabi amependekeza kwa ajili...

READ MORE

Watu Sita Akiwemo Aliyekuwa Kocha wa Makipa Klabu ya Simba Wafikishwa Mahakamani

  Watu sita akiwemo aliyekuwa kocha wa makipa wa timu ya klabu ya Simba, Muharami Sultan (40) wamefikishwa katika mahakama...

READ MORE

Mkazi wa Songea Ajishindia Bodaboda Kupitia Nmb Mastabata Kotekote, Wengine Waondoka na Mil 7

  Benki ya NMB imepata mshindi wa pili wa bodaboda, Charles Erasto Mbwilo  kutoka Songea Mkoani Ruvuma kupitia droo ya ...

READ MORE

Vodacom yazindua “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe” promosheni

odacom Tanzania plc imezindua promosheni ya wiki nane ya msimu wa siku kuu iitwayo “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe” itakayowawapa wateja…

READ MORE

Ndege ya Air Tanzania Yashindwa Kutua Katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba – Video

Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) imeshindwa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera kutokana na...

READ MORE

Yanga Wafunguka Rasmi Sakata la Feisal Salum ‘Fei Toto’ Kutua Azam Fc

  MARA baada ya tetesi kuenea kuwa matajiri wa Klabu ya Azam wapo katika mpango wa kumsajili kiungo wa Yanga,...

READ MORE

Kisa Waarabu, Yanga Yatua CAF Baada ya Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika

  KUFUATIA vurugu kubwa walizofanyiwa na wenyeji wao mara baada ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Club...

READ MORE

Exclusive: Mchungaji Mchumba wa Wakonta Afunguka Chanzo Kutooana -“Sikufuata Pesa, Bado Nampenda”… -Video

 GLOBAL TV ONLINE imepiga stori na Mchungaji, Gregory Kileo aliyewahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mrembo Wakonta Mapunda...

READ MORE

NMB yapongezwa kusaidia Wakandarasi- Zanzibar

Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi -Zanzibar imeipongeza Benki ya NMB

READ MORE

Breaking: Simba Yatoa Tamko Kuhusu Kocha wa Makipa “Hakuwa Muajiriwa wa Klabu”

  Muda mfupi baada ya kutolewa kwa taarifa ya Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Said Sultan kukamatwa...

READ MORE

Breaking: Watu 11 Wakamatwa kwa Tuhuma za Kukutwa na Dawa za Kulevya Akiwemo Kocha wa Simba – Video

Mamlaka ya kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya inawashikilia watu 11 kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya...

READ MORE

Gf  Trucks & Equiments Yatoa Msaada Kwa Vikosi Vya Jeshi La Uokoaji Kilimanjaro

Meneja masoko na mawasiliano wa kampuni ya GF Trucks & Equipment’s Ltd , Smart Deus akikabidhi sehemu ya msaada wa...

READ MORE

Nmb Yatoa Msaada wa Vitanda Vya Kujifungulia na Mashuka Tanga

      Viongozi wa wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga wamepongeza maono na fikra za uongozi wa Benki ya NMB...

READ MORE

TRA Yanogesha Matembezi na Mbio za Shukrani Kwa Mlipakodi

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wawakilishi wa...

READ MORE

DCB Yashinda Tuzo ya Benki Bora kwa Kutoa Huduma Bora kwa Wateja Nchini 

BENKI ya Biashara ya DCB imesema ushindi wa benki bora katika utoaji huduma kwa benki zenye ukubwa wa kati ilioupata,...

READ MORE

Washindi 75 wa Nmb MastaBata KoteKote” Wachomoka na Pikipiki, Laki Moja Kila Mmoja

  Zawadi zenye thamani ya Sh. Mil. 10.5 za droo ya kwanza ya Kampeni ya NMB MastaBata ‘Kote Kote’ zimepata...

READ MORE

Mkutano Mkuu wa NICOL Wafana Dar, Kutoa Gawio  Kwa Wanahisa Wake

    KAMPUNI ya Uwekezaji ya NICOL imepata faida ya shilingi bilioni 3.8 baada ya kodi na imepitisha gawio kwa...

READ MORE