×

Kitaifa

Mr Kuku Azidi Kusota Kesi ya Uhujumu Uchumi

KESI  ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara maarufu, Tariq Machibya (29) maarufu Mr Kuku, imeahirishwa hadi Septemba 7, mwaka huu, katika...

READ MORE

LIVE: Kongamano la Maombi Maalum ya Uchaguzi 2020

Kongamano la maombi maalum ya dua na salama kwa ajili wa uchaguzi mkuu 2020 limefanyika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma....

READ MORE

Mwana FA Avunja Rekodi Mapokezi Muheza

MAPOKEZI ya mgombea ubunge Jimbo la Muheza (CCM), Hamisi Mwinjuma maarufu MwanaFA,  jana amevunja rekodi ya umati wa mapokzi katika...

READ MORE

Wahamiaji Haramu 51 Wakamatwa Msata

JESHI la polisi mkoani Pwani, linawashikilia wahamiaji haramu (wanaume) kutoka nchini Ethiopia wapatao 51, kwa kosa la kuingia nchini bila...

READ MORE

Waliorusha Mawe Kwenye Mkutano wa Lissu Wakamatwa

Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro kupitia kwa kamanda wa Polisi Emmanuel Lukula limesema wanawashikilia watu 12 mpka Sasa kufuatia msafara...

READ MORE

TIC Yafanikisha Mpango wa Kampuni Kutoka Misri Kuwekeza Kiwanda Kikubwa cha Vifaa vya Umeme Nchini

Mwakilishi wa Kampuni ya kuzalisha vifaa vya umeme ya Elsewedy Electric ambaye ni Mkurugenzi Mkaazi wa Afrika Mashariki wa Kampuni...

READ MORE

Mgonjwa Amuua Mgonjwa Mwenzake, Ajeruhi Wauguzi

MWANAMME mmoja aliyekuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Nanyuki nchini Kenya amedaiwa kugeuka mbogo na kumuua mgonjwa mwenzake,...

READ MORE

Mr. Championi Agawa Tiketi Simba Day Kwa Wasomaji Wake

  Mapema leo Mr. Championi amewakabihi tiketi za kuingilia uwanjani kushuhudia sherehe za  Kilele cha Simba Day leo Agosti 22,...

READ MORE

Shigongo Achukua Fomu ya Ubunge Buchosa – Video

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Buchosa, Eric James Shigongo amechukua fomu ya kugombea...

READ MORE

Mwanamme Aliyefungiwa Ndani Miaka 30 Aokolewa

POLISI  nchini Nigeria wameumuokoa mwanamme mmoja aliyefahamika kwa jina la Ahmed Aminu mwenye umri wa mika 32 ambaye alifungwa na...

READ MORE

Jela Miaka 30 kwa Kumbaka, Kumpa Ujauzito Mwanawe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Mahiwa, Kata ya Nyangao, Maulid Salum (25),  kifungo...

READ MORE

Ujenzi Nyumba za Kisasa Wahimizwa Monduli

  Baada ya serikali kupitia wizara ya ya Afya, maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto kuandaa mwongozo wa uhamasishaji ujenzi wa...

READ MORE

Hasunga Achukua Fomu ya Ubunge

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Vwawa Mkoani Songwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

READ MORE

Majaliwa Achukua Fomu ya Ubunge Ruangwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Ruangwa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka kwa Frank...

READ MORE

Lori la Mafuta Lagonga Mti na Kupinduka Shinyanga

WATU wawili wamejeruhiwa baada ya Lori la mafuta gari lenye namba za usajili T674 BAA aina Tanker lenye tela lenye...

READ MORE

Silinde Achukua Fomu Kuwania Ubunge TUNDURU

Mgombea Ubunge Jimbo la Tunduma, David Silinde leo Ijumaa Agosti 21,2020 amechukua Fomu Kugombea Ubunge Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Masele Aaga Rasmi Bunge la Afrika

MAKAMU wa Rais wa Kwanza wa Bunge la Afrika, Stephen Julius Masele,  ameaga rasmi Bunge la Afrika (Pan-African Parliament –...

READ MORE

Membe Awapa Neno Waliokatwa CCM kwa Ajili Yake

MGOMBEA  urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe, amewakaribisha ndani ya chama hicho...

READ MORE

Hakimu Atuhumiwa Kupokea Rushwa 150,000/=

HAKIMU mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Magugu,  Adeltus Richard Rweyendera, amefikishwa mahakamani na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa...

READ MORE

NEC Yatoa Siku 2 Waliochukua Fomu Bila Kutambulishwa na Vyama

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inafuatilia zoezi la kuchukua fomu za uteuzi na kubaini kuwa kuna changamoto ambazo...

READ MORE

Biden Adai Trump Ameiingiza Nchi Gizani

MGOMBEA urais wa Marekani kupitia chama cha Democratic, Joe Biden, amesema  Rais Donald Trump ameitumbukiza Marekani kwenye giza kwa muda...

READ MORE

Vigogo Waliopigwa Chini, Ubunge CCM Hawa Hapa!

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), jana Agosti 20, 2020, kimetaja majina ya wanachama wake wake watakaopeperusha bendera ya chama hicho katika...

READ MORE

Parimatch Yazinufaisha Timu za Tanzania

Kampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya Parimatch Tanzania  imetimiza adhima yao ya kusaidia timu zenye uhitaji muhimu na ambazo ziliweza...

READ MORE

Watatu Wafikishwa Mahakamani Wakituhumiwa Kupanga Ugaidi

WTU watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yakiwamo mashtaka...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni kwa Kumshambulia Mwanafunzi kwa Fimbo

JESHI la polisi mkoani Pwani, linamshikilia mwalimu Evata Mboya, wa shule ya msingi Mwendapole, Kibaha, kwa kosa linalodaiwa ni kumshambulia...

READ MORE

Zimbabwe Yaihoji Vatican Ukosoaji wa Maaskofu

SERIKALI ya Zimbabwe imewasiliana na mwakilishi wa Vatican, Askofu Mkuu Marek Zalewski, kupata maelezo juu ya ukosoaji wa maaskofu wa...

READ MORE

RC Kunenge Ampa Maagizo Mkandarasi Daraja la Kivule

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Aboubakar Kunenge,  amemuelekeza mkandarasi wa kampuni ya Nyanza inayojenga barabara na Daraja la...

READ MORE

JPM: Hatujampendelea, Kumwonea Mgombea Yeyote! – Video

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. John Magufuli amewahakikishia wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa...

READ MORE

Wanafunzi, Wazazi Washiriki Mijadala ya Juma La Elimu

  MTANDAO wa Elimu Tanzania (TENMET) ukiendelea na wiki ya maadhimisho ya Juma la Elimu yanayofanyika wilayani Chemba, umefanya mazungumzo na...

READ MORE

NMB Yatoa Gawio la Shilingi Bilioni 15.2

  Benki ya NMB imetoa shilingi 15. 2 bilioni kama gawio kwa serikali ambayo inamiliki asilimia 31.8 ya hisa zote...

READ MORE

Rais Magufuli Amwondoa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma

Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli amemteua Joseph Constantine Mafuru kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma mkoani Dodoma.   Kabla ya...

READ MORE

Mbeya: Hofu Yatanda Mwalimu Kuchinjwa!

HOFU kuu imetanda wilayani Kyela mkoani Mbeya kufuatia tukio la kutisha la mauaji ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Mwenge...

READ MORE

Waliotishia Kuuawa ‘Wakutana’ na RC

MKUU wa Mkoa wa Pwani; Mhandisi Evarist Ndikilo, amekutana na wafugaji ambao baadhi yao wamewatishia kuwaua wakulima ambao wamemlalamikia kiongozi...

READ MORE

Mtoto Mwingine Atupwa Chooni Kagera

MTOTO mwingine wa kike mwenye umri wa siku tatu, ameopolewa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwenye choo cha Zahanati...

READ MORE

Wasiojulikana Wachoma Nyaraka Ofisi ya Chadema Mbeya

MNAMO tarehe 19.08.2020 majira ya saa 03:00 usiku huko Mtaa wa Kagwina, Kata ya Sinde, Tarafa ya Sisimba Jijini Mbeya....

READ MORE

Sirro: Wanasiasa Fanyeni Siasa za Amani, Utulivu – Video

  ZIKIWA zimebaki siku chache ili kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Mkuu wa Jeshi la Polisi...

READ MORE

Ruth Zaipuna Atangazwa Kuwa C.E.O Mpya wa NMB

Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya NMB imemtangaza Ruth Zaipuna kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Benki hiyo uteuzi ulioanza...

READ MORE

Majambazi 4 Wauawa Dar, Bastola, Risasi Vyakamatwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam mnamo tarehe 15.08.2020 majira ya saa tisa na nusu alasiri kupitia kikosi...

READ MORE

Njombe: CCM Yaanika Majina ya Wagombea Udiwani Waliyopitishwa

CHAMA  cha Mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kupitia kwa katibu wa siasa na uenezi Erasto Ngole wametangaza majina ya wagombea...

READ MORE