×

Kitaifa

Corona: Rwanda Yapiga ‘Stop’ Timu za Soka Kwenda Nje ya Nchi

SERIKALI ya Rwanda imevitaka vyama vya michezo nchini humo kusimamisha ratiba zote za kimichezo ambazo zinaitaka Rwanda kwenda kushiriki nje...

READ MORE

Fahamu Kuhusu Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika

    Katika historia ya Ukombozi wa Bara la Afrika,Tanzania  baada ya kupata uhuru ndiyo nchi iliyosimamia kupatikana kwa uhuru...

READ MORE

Polepole Afunguka JPM Kumlipia Msigwa

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hamphrey Polepole, amesema uamuzi wa  mwenyekiti wa chama hicho, Rais...

READ MORE

Serikali Yavunja Mkataba wa Lugola

DODOMA: SERIKALI imetangaza kuvunjwa kwa mkataba tata kati ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Kampuni ya ROM Solutions wa...

READ MORE

Mbowe Alipa Faini ya Milioni 70, Kutoka Gerezani Leo

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amelipa faini ya 70,000,000 na muda wowote leo Ijumaa Machi 13, 2020 atatoka katika gereza...

READ MORE

Mmiliki Mabasi ya J4 Ahukumiwa Kifo kwa Kuwaua Wenzake

MAHAKAMA Kuu Mwanza imemhukumu adhabu ya kifo mfanyabiashara wa kampuni ya mabasi ya J4, Jumanne Mahende (45) baada ya kumtia...

READ MORE

Breaking: Mdee, Bulaya, Meya Jacob Wakamatwa Tena Segerea

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na Ester Bulaya, Meya wa Ubungo, Boniface Jacob, Katibu...

READ MORE

Polisi Yapiga Mabomu Chadema Waliomfuata Mbowe Segerea

POLISI wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliofika gereza la Segerea leo jijini...

READ MORE

Bosi Anayedaiwa Kuua Binti wa Kazi Kisa Elfu 50, Akamatwa – Video

HATIMAYE bosi anayedaiwa kumshushia kipigo kikali binti yake wa kazi, Salome Zakaria Hoya, kumfungia ndani na kumnyima chakula kwa siku...

READ MORE

Binti wa Kazi Aliyeuawa Kisa Elfu 50, Aagwa! – Video

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho  Gambo, jana Alhamisi, Machi 12, 2020, aliongoza mamia ya waombolezaji waliojitokeza kuaga mwili wa...

READ MORE

Mch. Msigwa Atolewa Gerezani, Azua Balaa – Video

RAIS  John Magufuli jana (Alhamisi) Machi 12, 2020, alimlipia Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa kiasi cha Tsh...

READ MORE

NBC Yazindua Klabu Ya Biashara Masasi, Yatoa Mafunzo ya Biashara

Meneja wa Bidhaa na Huduma za Kifedha wa NBC, Jonathan Wilson akizungumza na wafanyabiashara wa Wilaya ya Lindi wakati wa...

READ MORE

Mke wa Mjeshi Anaswa Akiiba Nyanya Gengeni!

UKIWA mume wa mtu, bila shaka utashangazwa kusikia; “Mkeo kanaswa akiiba nyanya gengeni!” Hicho ndicho kilichomtokea afande mstaafu wa jeshi...

READ MORE

Majaliwa: Watanzania Wanaosoma China Wanaendelea Kupiga Kitabu

WAZIRI MKUU Kassim Mjaliwa amesema wanafunzi wanaosoma katika vyuo vikuu mbalimbali nchini China waliozuiwa kutokana na mlipuko wa homa ya...

READ MORE

Halima Mdee Amwaga Machozi Akitoka Gerezani

MBUNGE Halima Mdee amemwaga machozi hadharani baada ya kutoka gereza la Segerea leo na kuwashukuru Watanzania kwa ushirikiano mkubwa waliouonyesha...

READ MORE

Kimanga Waapa Kuondoka na Ndinga Mpya ya Championi & Spoti Xtra

WASOMAJI wa magazeti ya michezo maeneo ya Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi, Machi 12, 2020, wamemiminika kama...

READ MORE

ATCL Yasitisha Safari za China

SHIRIKA la Ndege nchini ( ATCL) limetangaza kusitisha safari za ndege kuelekea China kutokana na kuwapo kwa ugonjwa wa virusi...

READ MORE

Serikali Kutumia Tril 34.88 Mwaka 2020/21

JUMLA ya Tsh trilioni 34.88 zinatarajiwa kukusanywa na kutumika kutokana na mapato ya ndani, mikopo ya nje yenye masharti ya...

READ MORE

Vilio Safari ya Mwisho ya Baba Kanumba; “Msalimie Mwanao” – Video

VILIO, simanzi na majonzi vilitawala wakati wa mazishi ya baba mzazi wa aliyekuwa muigizaji maarufu wa Bongo Movies, Steven Kanumba,...

READ MORE

Washiriki N.P.S.C Waendelea Kutoa Ushuhuda

WAKATI shindano la kusaka vipaji vya vijana wenye uwezo wa kuzungumza mbele ya hadhara likizidi kuchanja mbuga, baadhi ya washiriki...

READ MORE

Chadema Yalipa Mil. 110 Kuwatoa Mdee, Matiko na Bulaya Gerezani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeanza mchakato wa kuwatoa gerezani Mbunge wa Kawe, Halima Mdee; Esther Matiko (Tarime...

READ MORE

Adam Castillejo Athibitishwa Kupona Virusi vya Ukimwi

MWANAUME mmoja kutoka London Uingereza amethithitishwa kuwa ndiye mtu wa pili kupona virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi, wamesema madaktari.  ...

READ MORE

Katiba Yaanza Kubadilishwa, Putin Kubaki Madarakani Milele

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, ameanzisha mchakato wa mabadiliko makubwa ya katiba, ambayo yanampa nafasi ya kuendelea kubakia madarakani.  ...

READ MORE

Kauli ya Mashinji Baada ya Kutoka Jela – Video

CHAMA Cha  Mapinduzi (CCM) kimelipa faini ya Sh30 milioni aliyotakiwa kulipa mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji ili kutoka...

READ MORE

Mwili wa Baba Kanumba Waagwa Shinyanga, Kuzikwa Leo Simiyu

WANANCHI wa Shinyanga wamejitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa baba mzazi wa aliyekuwa msaani wa Bongo Movies, marehemu Stephen Kanumba,...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wapelekwa Gerezani Baada ya Kushindwa Kulipa Faini

Viongozi wanane wa Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wamepelekwa katika gereza la Segerea kutokana na kushindwa kulipa...

READ MORE

Mbowe, Wenzake Wahukumiwa Jela au Kulipa Faini

Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo imewahukumu viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiongozwa na mwenyekiti wao,...

READ MORE

Updates: Mbowe, Wenzake Wakutwa na Hatia Makosa 12

UPDATES KUTOKA KISUTU, HUKUMU YA MBOWE VIONGOZI WENZAKE: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewatia hatiani washtakiwa wote katika mashtaka 12,...

READ MORE

Polisi Yawatawanya Wafuasi wa Chadema Kisutu – Video

Wafuasi wa chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA wamejikuta wakitiwa mikononi mwa polisi baada ya kupewa amri ya kuondoka eneo...

READ MORE

Hukumu ya Mbowe, Wenzake Yaahirishwa kwa Muda

HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Kisutu  jijini Dar es Salaam, ameahirisha kusoma hukumu ya kesi inayowakabili viongozi wa Chama cha...

READ MORE

Mawaziri wa SADC Wasitisha Mikutano Sababu ya CORONA

MAWAZIRI wa Afya wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), wameshauri kusitishwa kwa vikao vyote vya ana kwa ana...

READ MORE

NMB Yawezesha Kiimo Cha Katani, Yatoa Bil 1 Kwa Ajili ya Matrekta

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amevutiwa na juhudi kubwa iliyofanywa na Benki ya NMB katika kilimo cha Katani mkoani Tanga, baada...

READ MORE

NBC Yazindua Klabu Ya Biashara Lindi, Yatoa Mafunzo ya Biashara

    Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) yaendesha kongamano la Biashara Club katika mkoa wa Lindi, Tanzania. Zaidi ya...

READ MORE

Balaa la Mafuriko! Madaraja Yazidi Kusombwa na Maji Morogoro

MVUA kubwa zinazonyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta madhara, ambapo baadhi ya Madaraja yamesombwa na maji na kufanya baadhi ya mitaa...

READ MORE

Hukumu ya Mbowe na Wenzake Kusomwa Leo Kisutu – Video

Mahakama ya Kisutu leo Machi 10, inatarajia kutoa hukumu kwa Viongozi wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi mahakamani hapo....

READ MORE

Kizimbani kwa Kusambaza Taarifa za Upotoshaji kwa Katibu Mkuu

VIJANA watatu wakazi wa Sumbawanga wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kosa la kusambaza ujumbe wenye lengo...

READ MORE

Mangula Abainika Kuwa na Sumu Mwilini – Video

JESHI la Polisi Kanda ya Dar es Salaam, kupitia kwa Kamanda wake, SACP Lazaro Mambosasa, limesema baada ya uchunguzi wamebaini...

READ MORE

Buguruni Waitaka Ndinga Mpya ya Championi, Spoti Xtra – Video

WASOMAJI wa magazeti ya michezo maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu, Machi 9, 2020, wamemiminika kama njugu...

READ MORE

Laini Zote Ambazo Hazijasajiliwa Kuzimwa Jumamosi

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kazi ya kuzima laini zote za simu, ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole kwa...

READ MORE

Benki ya TPB Yasaidia Ujenzi wa Kituo cha Afya Mtii

Benki ya TPB imesaidia umaliziaji wa ujenzi wa kituo cha afya Mtii, kilichopo Kata ya Mtii, Wilayani Same Mkoa wa...

READ MORE