×

Kitaifa

Serikali Kujenga Chato Stadium ya Ukweli – Video

SERIKALI imesema imedhamiria kujenga uwanja mkubwa wa mpira wa miguu wilayani Chato, mkoani Geita ambako ni nyumbani kwa Rais John...

READ MORE

JPM Azindua Hifadhi ya Taifa Burigi, Ampongeza Faru Rajabu – Video

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amempongeza faru Rajabu, ambaye ni mtoto wa Faru John,...

READ MORE

NMB Yakabidhi Gawio la Shilingi Bilioni 10.48 kwa Serikali

      Benki ya NMB jana ilikabidhi gawio la shilingi Bilioni 10.48 kwa Serikali ikiwa ni sehemu ya faida...

READ MORE

Familia ya Msaidizi wa Membe Yamwangukia JPM

FAMILIA ya msaidizi wa Bernard Membe, Allan Kiluvya,  anayedaiwa kutekwa usiku wa kuamkia Julai 7, imeomba msaada baada ya kufanya...

READ MORE

Makamba, Kigwangalla Waombana Msamaha; ‘Leo Upo Kesho Haupo!’

WAZIRI  wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla, amemuomba msamaha Waziri wa Mazingira, Januari Makamba, baada ya mvutano waliokuwa nao katika...

READ MORE

JPM Awalilia Wafanyakazi 5 wa Azam TV Waliofariki Wakielekea Chato

RAIS  John Magufuli amemtumia salamu za pole Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa, Said Salim Bakhresa kufuatia vifo vya wafanyakazi watano...

READ MORE

Saba Wafariki Wakienda Chato, Watano Wafanyakazi wa Azam TV

WATU saba wakiwemo wafanyakazi watano wa kampuni ya Azam Media wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa...

READ MORE

NMB YAAHIDI KUENDELEA KUCHANGIA JAMII KATIKA SEKTA YA ELIMU NA AFYA 

      SERIKALI Imeishukuru Benki ya NMB kuendelea kusaidia katika Sekta ya Elimu kwa kuchangia madawati baadhi ya Shule...

READ MORE

DCB YAJIKITA KWENYE VIWANDA NA KILIMO, YAJA NA DCBSOKONI

Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya DCB, James Ngaluko, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha kukoboa mpunga cha Kayuni...

READ MORE

KAMPUNI YA UUZAJI MAGARI KWA NJIA YA MTANDAO YAYATUA BONGO

  KAMPUNI ya uagizaji, usafirishaji na uuzaji magari  ya nchini Japan  ‘Nikkyo’ imeingia na  kuwekeza katika biashara hiyo nchini huku...

READ MORE

NMB Yajipanga kuhakikisha wafanyabiashara ngazi zote Wanakuza Mitaji Yao

      Benki ya NMB imejipanga kuhakikisha wafanyabiashara wa ngazi zote wanakuza mitaji yao, itakayowawezesha kuajiri Watanzania wengi na...

READ MORE

MRADI WA TLED KUWAFIKIA WAJASIRIAMALI KWA ASILIMIA 77 KATIKA MIKOA SITA

      OFISA Mawasiliano wa Mradi wa TLED ambao ni maalumu kwa ajili ya wajasiriamali wadogo na wakati Jemima...

READ MORE

Msaidizi wa Membe Adaiwa Kutekwa

KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Allan Kiluvya ambaye anatajwa kuwa ni msaidizi wa Waziri mstaafu wa Mambo ya Nje...

READ MORE

MAANDALIZI UJIO WAKE, MSHTUKO NYUMBANI KWA LISSU DAR

NI mshtuko wa aina yake! Wakati Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu akisubiriwa arejee nchini; nyumbani kwake Tegeta jijini...

READ MORE

Makochi ya Mbowe Yakosa Wateja

ULE mnada wa kuuza vifaa na samani mbalimbali vya Kampuni ya Mbowe Limited, inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia...

READ MORE

Gumzo la Faru Rajab Mtoto wa Faru John, Lazima Ucheke!

NINAAMINI utakuwa unamkumbuka Faru John, mnyamapori aliyekufa katika hifadhi ya Sasakwa Gruneti kwa kukosa matibabu alipoumwa.   Faru huyo aliacha mtoto...

READ MORE

Rais Kenyatta Amaliza Ziara Yake Chato, Arejea Kenya – Video

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, ammaliza ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania na kurejea nchini mwake. Katika ziara yake...

READ MORE

NABII DKT. LUCY NATASHA AKONGA MAMIA WALIOJITOKEZA MKUTANO WA INJILI

NABII wa Kimataifa kutoka nchini Kenya, Dkt. Lucy Natasha amekonga mamia ya watu waliojitokeza katika  mkutano wa nje uliokuwa wa...

READ MORE

NEC Yatangaza Tarehe ya Uchaguzi Jimbo la Lissu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza  tarehe 31 Julai, 2019, kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mdogo Jimbo la Singida...

READ MORE

NMB WASISITIZA MTOTO AKAUNTI NA CHIPUKIZI AKAUNTI SABASABA

  BENKI ya NMB imewashauri wazazi na walezi kuwafungulia watoto wao akaunti za watoto pamoja na Chipukizi akaunti kwa ajili ya...

READ MORE

Mwalimu Ajichinja Ili Afe Kisa Ugumu wa Maisha

MWALIMU wa Shule ya Msingi Rung’abure iliyopo Serengeti mkoani Mara, Godfrey Tarimo,  amejikata na chupa eneo lake la shingo katika...

READ MORE

Tanzania Mwenyeji Mkutano Wa Shirika la Hakimiliki Duniani

Mratibu wa Mradi wa Uhamasishaji na Utoaji Elimu ya Haki Miliki ambaye pia ni Hakimu Mkazi na Msaidizi wa Msajili...

READ MORE

Mshtuko mali za Mbowe Kupigwa Mnada

TANGAZO la kupigwa mnada kwa mali za Kampuni ya Mbowe Limited inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, limeibua mshtuko...

READ MORE

Mke Asimulia Unyama wa Mumewe Alivyomlipua na Mtoto kwa Petroli

MKAZI wa Kijiji cha Mlazo, wilaya ya Chamwino, Mkami Mbarahi (19) na mwanaye wenye umri wa miezi mitatu wamelazwa katika...

READ MORE

JPM Kuzindua Hifadhi ya Taifa Burigi Chato, Julai 9

RAIS  John  Magufuli anatarajiwa kuzindua rasmi Hifadhi ya Taifa ya Burigi huko Chato siku ya Jumanne Julai 9,  mwaka huu,...

READ MORE

Faru Mweusi Afariki Akisafirishwa Kutoka Uingereza Kuja Tanzania

FARU dume aliyekuwa akisafirishwa kutoka hifadhi ya Port Lympne nchini Uingereza amefariki akiwa kwenye ndege wakati akisafirishwa kuja Tanzania.  ...

READ MORE

Kenya: Mtanzania Ahukumiwa Maisha Jela Shambulio Garissa

MAHAKAMA ya Kenya imemhukumu Mtanzania Rashid Mberesero kifungo cha maisha jela baada ya kumkuta na hatia ya kutekeleza shambulio la...

READ MORE

ACACIA Yataka Mazungumzo na Serikali ya Tanzania

KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya Acacia inataka mazungumzo na serikali ili kupata suluhu ya mgogoro wa kodi uliopo hivi...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumbaka, Kumlawiti Mama Yake Mzazi – Video

JESHI la polisi mkoani Dodoma linamshikilia mkazi mmoja, Mazengo Chilatu,   wa kijiji cha Manchali wilayani Chamwino kwa kosa la kumbaka...

READ MORE

Kilichotokea Mahakamani Leo Wakili wa Wema na Serikali

WAKILI Albert Msando wa mwigizaji na mrembo wa mwaka 2006 nchini, Wema Sepetu,  amehoji sababu za shahidi wa upande wa...

READ MORE

Kisutu: Wema Aachiwa Huru, Akamatwa tena, Azua Kizaazaa

  MSANII wa filamu nchini, Wema Sepetu, amezua kizaazaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akigoma kukamatwa na askari baada...

READ MORE

Rais Kenyatta Kumfuata JPM Chato

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anatarajia kufanya ziara binafsi ya siku mbili nchini Tanzania itakayoanza Ijumaa, Julai 5 katika Wilaya...

READ MORE

Mke wa Mtawala wa Dubai Akimbilia Mafichoni; Ahofia Kuuawa

MKE wa mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed Al Maktoum, Binti Mfalme Haya Bint al-Hussein, yuko mafichoni jijini London akidaiwa kuhofia...

READ MORE

Ndinga za Bei Chee Kuuzwa Hadharani, Ruksa Kuchagua Gari Utakalo – Video

KILA Jumamosi, ndinga mpya za bei chee zinaanikwa! Kampuni ya Udalali ya Tambaza Auction Mart and General Brockers Ltd iliyopewa...

READ MORE

Kesi ya Membe, Mahakama Kuu Yampa Siku 7 Musiba

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imempa siku saba mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wachapishaji wa...

READ MORE

Membe: Nimeshangazwa na Ndugai Kumvua Ubunge Lissu, Tusubiri!

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa mstaafu, Bernard Membe, amewataka viongozi wa dini, serikali na wastaafu kukemea...

READ MORE

JPM Amtumbua Mkurugenzi wa Kyela

Rais Dk Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, Lucy Mganga kutokana na utendaji kazi wake...

READ MORE

JPM Atua Chato, Akunwa na Hili… – Video

RAIS John Magufuli leo amewasili nyumbani kwao Chato ambako amewapongeza wananchi wa huko kwa kufanya kazi kwa bidii na kuwasisitizia...

READ MORE

BENKI YA NMB KUTOA HUDUMA ZOTE ZA KIBENKI SABASABA

    BENKI ya NMB imejipanga kutoa huduma zote za kibenki wa washiriki na wananchi wanaotembelea maonesho ya 43 ya kimataifa...

READ MORE