×

Kitaifa

Mwandishi wa Mwananchi Adaiwa Kupotea Kibiti Tangu Novemba 21

Mwandishi wa Habari wa Mwananchi, Azory Gwanda anadaiwa kupotea baada ya kuchukuliwa na watu ambao hawajajulikana tangu Novemba 21 mwka...

READ MORE

Pigo Jingine Chadema, Katibu wa Chama Wilaya ya Kahama Atimkia CCM

KATIBU wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga amejivua uwanachama wa chama hicho na na...

READ MORE

Mahakama Yagoma Kufuta Mashtaka 20 ya Gugai wa Takukuru

MAHAKAMA ya Hakimu Mkuu mkazi Kisutu imekataa kuyafuta mashtaka 20 ya utakatishaji fedha kati ya 43 yanayomkabili aliyekuwa mhasibu wa...

READ MORE

Mtulia Rasmia CCM, Awajibu Wanaomtuhumu Kusaliti Upinzani

ALIYEKUWA Mbunge wa Kinondoni kupitia Chama Cha Wananchi (CUF), Maulid Mtulia leo Jumatatu Desemba 4, 2017 amekabidhiwa rasmi kadi ya...

READ MORE

JPM, MPOTO KUKUTANA KAMPENI YA UZALENDO NA UTAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Mgufuli anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa Kampeni ya...

READ MORE

CUF ya Lipumba Yamlipua Mtulia, Yaanika Alichokifanya Kabla ya Kuhamia CCM -(VIDEO)

CHAMA cha Wananchi upande wa Prof. Ibrahim Lipumba, leo Desemba 4, 2017 kimetoa ufafanuzi huu aliekuwa Mbunge wa Kinondoni (CUF),...

READ MORE

Majeshi ya Polisi Tanzania na Rwanda Waungana Kupambana na Wahalifu

TANZANIA na Rwanda Zimeunganisha nguvu kupitia Majeshi yao ya Polisi chini ya wakuu wake IGP Simon Sirro wa Tanzania na...

READ MORE

TBA Yakiri Kubomoka kwa Mabweni Mapya ya UDSM Yaliyozinduliwa na JPM

MKURUGENZI wa Wakala wa Majengo nchini (TBA), Mhandisi Elius A. Mwakalinga, amekiri picha zinazosambaa mitandaoni zikionyesha majengo mapya ya mabweni...

READ MORE

Jengo la Ghorofa 10 la Tanesco Ubungo Litakavyoporomoshwa Mwezi Mzima

IKIWA ni kutekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa Shirika la Tanesco nchini kubomoa sehemu ya jengo lake lililo kwenye...

READ MORE

LIVE GLOBAL HABARI: JESHI LA POLISI LATOA TAMKO KUFUATIA NASSARI KUVAMIWA

KUFUATIA tukio la Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kuvamiwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake usiku wa kuamkia leo na...

READ MORE

Nyerere Afunguka Wema Kuhamia CCM, Ataja Sababu za Kumjibu Polepole – (Video)

Muigizaji maarufu nchini, Steve Nyerere ambaye pia ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema kuwa amefurahishwa sana na maamuzi...

READ MORE

Mama Amlipua Wema LIVE, Adai Steve Nyerere ni Bomu (Video)

IKIWA ni takribani saa 15 tangu mwanaye ambaye ni Queen wa Filamu za Bongo na aliyewahi kuwa Miss Tanzania 2006,...

READ MORE

LIVE: CHADEMA Watoa Kauli na Maamuzi Mapya Baada ya Patrobas Kuhamia CCM

KAMATI Tendaji ya Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), BAVICHA wamefanya uteuzi wa viongozi wake ngazi...

READ MORE

Kisa Wema, Nyerere Amvaa Polepole: Hiki Chama Hujakiunda… Wewe ni Nani?

HEADLINE inayobamba mitandaoni na kwenye vyombo vya ahabri kuanzia jana jioni ni kuhusu Malkia wa Filamu Bongo, Wema Sepetu kuhama...

READ MORE

Polepole: Chama Chetu Sio Daladala….. Ni Heri Akabaki Hukohuko (Video)

BAADA ya Msanii maarufu wa Bongo Movie, Wema Sepetu kutangaza rasmi kukihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kurudi...

READ MORE

Wema Sepetu Atangaza Rasmi Kurudi CCM -(Video)

MSANII maarufu wa Bongo Movie, Wema Sepetu leo Ijumaa, Desemba 1, 2017 ametangaza rasmi kukihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

HEINEKEN WAZINDUA BIDHAA YA AMSTEL TANZANIA

KAMPUNI ya Vinywaji baridi ya Heineken jana (Novemba 30) walizindua bidhaa mpya aina ya Amstel (ya chupa) katika soko la...

READ MORE

RC Makonda, IGP Sirro, Mo Dewji, Bakhresa na Kigwangalla Wateuliwa TFF

MBALI na Kamati Kuu ya Kuratibu Michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U17/2019) kwa vijana wenye...

READ MORE

VP Samia Suluhu Awaonya Vikali Machangudoa

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Desemba 1, 2017 amewaongoza wakazi wa Dar...

READ MORE

MADAI YA KUSIKITISHA, BABA AZAA NA BINTIYE!

Dunia imekwisha! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia jamaa mmoja mkazi wa Mabibo-Mahakama ya Ndizi kudaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine Wizara ya Ardhi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amteua Bi. Stella Tullo Chagi kuwa Msajili wa Mabaraza...

READ MORE

ZAIDI YA MILLION 20 ZAPATIKANA KUSAIDIA WATOTO WENYE MATATIZO YA VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI

Ikiwa Jana ni Jumanne ya kutoa (GIVING TUESDAY) kote duniani na Taasisi ya Foundation for Civil Society iliadhimisha kwa kuwasaidia...

READ MORE

WAKAMATWA NA MADINI, WAHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imetoa hukumu kwa wafanyabiashara watatu ambao ni Mashaka Lucas, Jafarri Hussein na Akifu Mohamed,...

READ MORE

BONGO MUVI WATOA SOMO KWA WANAFUNZI

  Wamama wa Bongo Muvi kupitia Malezi Daima Foundation leo wamefanya semina kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Buza...

READ MORE

Kagaigai: Wabunge Waliotimuliwa CUF, Mahakama Haijaamuru Warudishwe Bungeni

KATIBU wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Stephen Kagaigai amekanusha taarifa zinazovumishwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa wabunge...

READ MORE

Dk Shika Atamba Kutikisha Usiku wa 900 Itapendezaa (Video)

YULE daktari bingwa wa magonjwa ya binadamu aliyejizolea umaarufu mkubwa hapa nchini siku za hivi karibuni kufuatia kufika dau wakati...

READ MORE

MAKAMPUNI 500 KUSHIRIKI MAONYESHO YA PILI YA BIDHAA DAR

ZAIDI ya Makampuni 500 yanatarajia kushiriki katika maonesho ya pili ya bidhaa za viwanda  yanayotarajia kufanyika Desemba 7 hadi hadi...

READ MORE

Afande Sele Hapo Vepee Zipu ya Jinsi Kufunguka!

DAR ES SALAAM: Hapo vepee! Ndivyo walivyosikika wapenda ubuyu, wakimuelekezea vidole, mkongwe kwenye gemu la Bongo Fleva, Selemani Msindi ‘Afande...

READ MORE

LHRC Yabaini Mapungufu Kibao Uchaguzi wa Madiwani

  MKURUGENZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga, amesema kuwa kituo hicho kimefuatilia kwa ukaribu...

READ MORE

MSANDO AFUNGUKIA LIVE VIDEO YAKE NA GIGGY MONEY

MWANASHERIA maarufu nchini aliyekuwa Chama cha ACT Wazalendo na hivi karibuni akahamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Albert Msando, kwa mara...

READ MORE

Wanasiasa, Wanataaluma Washiriki Mdahalo Kuhusu Demokrasia

TAASISI ya Twaweza ikishirikisha wadau mbalimbali,  leo imefanya mdahalo kutathmini hali na mustakabali wa demokrasia nchini  ambapo wadau, wanasiasa na...

READ MORE

BancABC na Muhimbili Watoa Bima ya Afya kwa Watoto

BancABC, ambayo ni sehemu ya Atlas Mara, imeshirikiana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ili kutoa huduma ya bima ya...

READ MORE

RC Akanusha Kumuomba Msamaha Rais Magufuli

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla amekanusha taarifa kuwa, anakusudia kuandika barua ya kumuomba radhi Mwenyekiti wa Chama cha...

READ MORE

WAZIRI MKUU AIBUKIA BANDARINI, AMPA AGIZO IGP SIRRO

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Novemba 29, 2017 amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simo Sirro kuwakamata Bw....

READ MORE

Wahitimu wa Ufundi Kupitia VSOMO Watunukiwa Vyeti

Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Dar es saalam , Habibu Bukko akikamkabidhi Cheti Mhitimu wa Mafunzo ya VSOMO kwa njia...

READ MORE

IGP Sirro Kupeleka Magari Mawili ya Polisi Pwani

IKIWA ni siku chache baada ya Rais John Magufuli kufanya ziara ya kushtukiza Bandarini ya dar es Salaam na kukagua...

READ MORE

Raila Odinga Naye ‘Kuapishwa’ Desemba 12

Nairobi, Kenya. Kiongozi wa muungano wa upinzani wa Nasa, Raila Odinga amedai atakula kiapo kama “rais wa watu” Desemba 12....

READ MORE

Samia Suluhu Amtembelea Tundu Lissu Nairobi Hospital (Video)

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 28, 2017 amemtembelea na kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema),...

READ MORE