×

Kitaifa

Waliokufa kwa Ajali Simiyu Wafikia 15

Idadi ya vifo vilivyoyokana na ajali iliyohusisha gari ya wanahabari ma Toyota Hiace imefikia 15 baada ya majeruhi mmoja aliyekuwa...

READ MORE

Askofu Ashtakiwa kwa Kupapasa Titi la Mwanamke na Kujaribu Kumbusu

Askofu mmoja anayehusishwa na kanisa la Kianglikana jijini Nairobi ameshtakiwa kwa kumnyanyasa mwanamke mmoja kwa kumshika matiti na kujaribu kumbusu...

READ MORE

Mwanamke Shujaa Alivyopambana na Majambazi

Usiku wa Januari 10, 2022 baada ya Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina mwenye umri unaokadiriwa kua miaka 30 -40 kuuawa...

READ MORE

Aliyemuua Mama Yake, Simulizi ya Tukio Inatisha

MAMBO mazito yanazidi kufichuka katika tukio la mtoto wa kike anetuhumiwa kumuua mama yake mzazi aitwaye Patricia Ibreck na kufukia...

READ MORE

Chenge Naye Ajitosa Uspika wa Bunge

MBUNGE wa Zamani wa Bariadi Magharibi (CCM) Andrew Chenge amejitosa katika kinyang’anyilo cha kuwania nafasi ya Spika wa Bunge la...

READ MORE

Maeneo ya Dar, Kibaha Kukosa Maji kwa Saa 16

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia wateja na wananchi wanaohudumiwa na mtambo wa kuzalisha...

READ MORE

Mwanafunzi Achukua Fomu ya Uspika

IKIWA hatua ya uchukuaji fomu za kuomba uteuzi wa kikiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge...

READ MORE

Watatu Wafariki kwa Kulipukiwa na Kinachodhaniwa Kuwa Bomu

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi majira ya...

READ MORE

Nape Atoa Siku Saba Waajiri Kulipa Madai ya Wanahabari Waliofariki

SERIKALI imetoa siku saba kwa waajiri wote wanaodaiwa na waandishi wa habari waliofariki katika ajali ya gari wilayani Busega kulipa...

READ MORE

Vifo vya Wanahabari Mwanza, Nape Atoa Maagizo kwa Polisi

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nauye ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kuchambua matukio yote ya ajali...

READ MORE

Mwanafunzi UDSM Afariki kwa Kujirusha Ghrofani Baada ya Kuiba

MWANAFUNZI mmoja aitwaye Manawa Samson Horera (22) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Shahada ya kwanza ya Uhasibu...

READ MORE

Miili ya Wanahabari Waliokufa Ajalini Yawasili Nyamagana

Miili ya wanahabari na dereva wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza waliofariki katika ajali ya gari jana Januari...

READ MORE

Kikosi cha Makomando Sherehe za Mapinduzi Zanzibar

Kikundi cha Komando kikipita kutoa heshima wakati wa Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika leo Januari 12,...

READ MORE

Waziri wa Elimu Mpya na Waziri Hussein Bashe Wakabidhiana Ofisi

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amekabidhi Ofisi kwa Waziri mpya wa Kilimo Hussein Bashe huku...

READ MORE

Nape: Wizara Ipo Mikono Salama

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye amemuhakikishia aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo ambaye kwa sasa...

READ MORE

Kesi ya Mbowe: Shahidi Afunguka Tukio la Lissu Kupigwa Risasi

MRAKIBU wa Polisi, Jumanne Malangahe, shahidi wa Jamhuri, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Polisi Waanika Mtoto Alivyomuua Mama Yake

SILAHA ya jadi aina ya panga, ni moja ya vifaa vilivyokutwa katika shimo alilofukiwa mtu anayedhaniwa alikuwa muuguzi wa Hospitali...

READ MORE

Rais Samia Amteua Mwakilema TANAPA

Rais Samia Suluhu amemteua Mhifadhi William Mwakilema kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA. Kabla ya uteuzi huo alikuwa Naibu Kamishna...

READ MORE

Ole Madeye Naye Autaka Uspika

Akiyewahi kuwa Mbunge wa Arumeru Magharibi, Goodluck Ole Medeye amechukua fomu kuwania kiti cha Uspika. Ole-Medeye aliyekuwa Mbunge na Naibu...

READ MORE

Waandishi wa Habari Waliofariki Kwenye Ajali ya Gari Simiyu

Taarifa kamili juu ya ajali iliyohusisha waandishi wa habari Mkoa wa Mwanza. …………………………………….. Ndugu waandishi wa habari na wadau wa...

READ MORE

Gari la Wanahabari Lagongana na Hiache 11 Wafariki

WATU zaidi ya 11 wamepoteza maisha wakiwemo wanahabari watano na abiria wa kawaida katika ajali iliyohusisha magari mawili ikiwa moja...

READ MORE

Watoto Wawili Wafia Ndani ya Gari Mama Akiwa Ibadani – Video

WATOTO wawili wa familia moja wamekutwa wamekufa ndani ya gari aina ya (Nissan Double Cabin) kwa kukosa hewa baada ya...

READ MORE

Afariki kwa Kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

Mkazi wa Kijiji cha Gumba, Kata ya Gwata wilayani Kibaha mkoani Pwani, Bakari Mbagara (63) amefariki dunia kwa kile kinachodaiwa...

READ MORE

Bei ya Mahindi Haikamatiki Sokoni

BEI ya mahindi katika masoko mbalimbali mikoa ya Kanda ya Kaskazini (Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara), haikamatiki huku bidhaa hiyo...

READ MORE

Kaburi la Mtoto Lafukuliwa, Mwili Watupa Mtaani

WAOMBOLEZAJI wakiwa kwenye mazishi ya mara ya pili ya mtoto Sharifa Abasi ambaye mwili wake ulifukuliwa na watu wasiojulikana na...

READ MORE

Dkt. Tulia: Tutaikosoa Serikali kwa Nidhamu – Video

Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson akiongea katika hafla ya kuwaapisha mawaziri, manaibu na viongozi wengine, amewapongeza wote walioteuliwa na kuwashauri...

READ MORE

Uamuzi Mdogo Kesi ya Sabaya Kutolewa Januari 14

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imepanga Januari 14, 2022 kutoa uamuzi mdogo endapo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai...

READ MORE

Stephen Masele Achukua Fomu Kuwania Uspika

ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Stephen Julius Masele leo Jumatatu, Januari 10, 2022 amechukua Fomu ya kugombea Kiti...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Washinda Pingamizi

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi leo Jumatatu Januari 10, 2022 imekubali pingamizi la kutopokea sare za...

READ MORE

Adaiwa Kumuua Mama Yake Kisa Mali

ZIKIWA zimepita siku kadhaa toka litokee tukio la kijana mmoja jijini Arusha kumuua mama yake mzazi Kwa tamaa ya Mali,...

READ MORE

Radi Yaua Wanne Mbeya

WATU wanne wamefariki dunia papo hapo na mwingine kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakati wakichimba kaburi katika Wilaya ya...

READ MORE

Baada ya Mwaka Mpya, Mbowe na Wenzake Warejea Tena Mahakamani

Mahakama kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi No 16, 2021 yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili...

READ MORE

Shisha Kirusi Kipya Hatari kwa Mastaa

PAMOJA na kupigwa marufuku nchini Tanzania, lakini kasi ya uvutaji wa kilevi aina ya shisha, imerejea upya na kusababisha hatari...

READ MORE

Achomwa Moto na Rafiki Yake Kisa Mke

Daud Emanuel (27) mkazi wa Chamwino Manispaa ya Morogoro, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa mafuta ya petroli kisha kuchomwa moto...

READ MORE

Vigogo Waliotemwa Baraza la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, Januari 8, 2022 amefanya mabadiliko ya Baraza...

READ MORE

Nape Waziri Mpya wa Habari, Ridhiwani Naibu Waziri Ardhi

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri na Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu.   Akitangaza...

READ MORE

Aunt: Tunaowachekea Ndio Vivuruge Wakubwa Mjini

MWANAMAMA wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel anasema kuwa, watu wengi ambao ni wabaya ndiyo ambao wanamzunguka mtu na kila wakati...

READ MORE

Mavunde: Juni Umeme Uwashwe

MBUNGE wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde ameridhishwa na kasi ya usimikaji nguzo katika Kata hiyo na kumtaka Mkandarasi kukamilisha maeneo...

READ MORE

Shinyanga: Mzee Akutwa Amejinyonga

Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Magesa Mahona anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 60 na 65 mkazi wa...

READ MORE

Watu Milioni 1.3 Waitwa Kuchukua Vitambulisho vya NIDA

MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) nchini Tanzania imetoa vitambulisho vya uraia milioni 9.4 tangu ianze kuzalisha vitambulisho hivyo huku...

READ MORE