×

Kitaifa

TAKUKURU: Achana na Mil 90, Sabaya Ana Kesi Nyingine ya Kujibu

AFISA wa Takukuru anayetoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na wenzake sita ameiambia Mahakama kuwa...

READ MORE

Mwalimu Mstaafu Afia Gesti Baada ya Kujiburudisha na Mrembo

Polisi kaunti ya Nakuru nchini Kenya wanachunguza kisa ambapo mwalimu aliyekuwa amestaafu aliaga dunia kwa njia ya kutatanisha baada ya...

READ MORE

Mgeja: Genge la Ndugai Lijitathmini, Mabango ya Ndugai Yaondolewe

KADA mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Khamis Mgeja amewapongeza Watanzania kuandika Historia ya pekee kumlinda Rais Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mbatia Kwenda Mahakamani Kupinga Ndugai Kujiuzulu

Chama Cha NCCR-Mageuzi kimesema kinakusudia kwenda mahakamani kupinga iwapo kutakuwa na mchakato wowote wa kumpata Spika mpya wa Bunge la...

READ MORE

Wabongo Kumshuhudia D’Banj Dubai

WATANZANIA wameanza kuchomoza katika shindano la kuwania tiketi za bure kuelekea nchini Dubai kutembelea maonesho ya kibiashara ‘Dubai Expo 2020’,...

READ MORE

Mgeja Ataka Soko Kuu la Dodoma Lisiitwe Job Ndugai

KANDA wa Chama Cha Mapinduzi na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mzalendo Foundation inayojihusisha na masuala ya haki, utawala bora na...

READ MORE

Vijana Msitumike Kupasua Chama – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewataka vijana wa chama cha Mapinduzi kutokubali kutumiwa kusababisha mpasuko...

READ MORE

Vijana Tafuteni Kazi Sio Ajira – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Vijana nchini kujikita zaidi katika kutafuta fursa za kazi badala ya fursa za ajira. Rais...

READ MORE

Breaking: Wabunge Waitwa Bungeni Dodoma

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Nenelwa Mwihambi leo Ijumaa, Januari 7, 2022 amesema baada ya Job...

READ MORE

Katiba Inasemaje Kuhusu Kiti cha Spika Kikiwa Wazi

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amejiuzulu nafasi hiyo kuanzia jana Januari 6, 2022 kwa hiari yake mwenyewe kwa...

READ MORE

RC Chalamila: Sitaki Katiba Mpya

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Albert Chalamila amekanusha taarifa iliyosambaa mtandoni ikionyesha kuwa ameunga mkono mabadiliko ya katiba jambo...

READ MORE

Ndugai Apongezwa, Wasema Ilitarajiwa

WATU wa kada mbalimbali wamesema hatua ya Spika Job Ndugai (pichani) kujiuzulu ni jambo lililotarajiwa huku wengine wakisema amechukua uamuzi...

READ MORE

Fahamu Nchi Yenye Watu 11 Pekee

Bila shaka umesikia simulizi nyingi za kuvutia kuhusu milki nyingi hadi kufikia hii leo. Ikiwa ni pamoja na Milki ya...

READ MORE

Kibajaji Amtaka Ndugai Ajiuzulu

Mbunge wa Mtera na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM (NEC), Mhe. Livingstone Lusinde ‘Kibajaji’ amemtaka Spika...

READ MORE

Nchi Gani Iliwahi Kupigwa Mnada Sababu ya Mkopo? – Video

MBUNGE wa Kawe na Askofu Mkuu wa Makanisa ya Ufufuo, Dkt. Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

UWT Wamtaka Ndugai Ajiuzulu

Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi – CCM (UWT) Mkoa Arusha wamemtaka Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Gwajima: Spika Ndugai Ajiuzulu Awaachie Wengine – Video

MBUNGE wa Kawe na Askofu Mkuu wa Makanisa ya Ufufuo, Dkt. Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

Utoaji wa Tuzo za Grammy 2022 Zaahirishwa

Tuzo za 64 za Grammy zilizokuwa zikitarajiwa kufanyika januari 31 mwaka 2022, zimeahirishwa kutokana na kuongezeka kwa kesi za Covid-19...

READ MORE

Wanafunzi Laki 9 Kuandikishwa Kidato cha Kwanza

WANAFUNZI 907,803 wanatarajiwa kujiunga na elimu ya kidato cha kwanza mwaka huu. Akitoa takwimu hizo leo Januari 6 ,2022 Waziri...

READ MORE

Akamatwa na Jino la Tembo Katavi

JESHI la Polisi Mkoani Katavi, linamshikilia Jilangu Seni (33) mkazi wa kijiji cha Misisi, kwa tuhuma za kukutwa na kipande...

READ MORE

Wasioandikisha Watoto Kufikishwa Mahakamani, Walioacha kwa Mimba Warudi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewataka wazazi wote ambao...

READ MORE

Mwanafunzi wa Sekondari Avae Hata Sare ya Shule ya Msingi

Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu, ameendelea kusisitiza kwamba wakuu wa shule kutoweka vikwazo kwa wanafunzi wataokuwa hawana sare za shule...

READ MORE

Mke Adaiwa Kumua Mume kwa Mafuta ya Petroli

Diwani wa Kata ya Kiomboi, Omary Hassan na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kinambeu, Godfrey Yohana wasimulia mkasa wa...

READ MORE

Chanzo ni Saa, Mwalimu Ampa Mimba Mwanafunzi wa Miaka 15

WAZAZI na wa mwanafunzi wa kike (15) aliyekuwa anasoma kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Kolero wilayani Morogoro (jina...

READ MORE

Radi Yauwa Watano Kigoma

WATU watano wakiwemo watoto wanne waliokuwa wakicheza chini ya mti wakati mvua ikinyesha wamepoteza maisha kwa kupigwa na radi katika...

READ MORE

Washindi 100 Wa NMB Mastabata Wanyakua Mil10

  Wateja 100 wa kwanza wa kampeni ya NMB MastaBata-Kivyako Vyako walipatikana jana nakuzawadiwa pesa taslimu TZS 100,000 kila mmoja...

READ MORE

32 Wafariki kwa Moto, 145 Wajeruhiwa

WATU 32 walipoteza Maisha na wengine 145 kujeruhiwa katika matukio ya moto 1803 yaliyotokea kati ya Januari hadi Desemba 2021....

READ MORE

Rais Samia Awalilia Waliokufa Maji Zanzibar

Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein...

READ MORE

Ajinyonga kwa Kamba ya Viatu

Edmond Sungura (53) mkazi wa mtaa wa Rungwa kata ya Kazima Manispaa ya Mpanda amekutwa amejinyonga hadi kufa chumbani kwake...

READ MORE

Kenyatta, Museveni, Samia Wakumbuka Magumu 2021

MARAIS wa nchi tatu za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) za Tanzania, Kenya na Uganda wametuma salamu za mwaka mpya wa...

READ MORE

Waliokufa Unyagoni Waongezeka

MTU mmoja miongoni mwa majeruhi wanane waliolazwa katika Hospitali ya Ndanda kwa ajali ya gari waliokuwa kwenye ngoma ya unyago...

READ MORE

Watu 9 Wamefariki Katika Ajali ya Boti Zanzibar

WATU tisa wamefariki dunia, na wengine sita wameokolewa wakiwa hai na wengine zaidi ya kumi hawajulikani walipo baada ya boti...

READ MORE

Rais Samia Amjulia Hali Mufti wa Tanzania Abubakar Bin Zubeir

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimjulia hali Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Bin...

READ MORE

Rais Samia Kuteua Mawaziri na Wakuu Wapya wa Mikoa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema hivi karibuni atafanya mabadiliko ya viongozi mbalimbali wakiwemo...

READ MORE

Rais Samia: Anayesumbua ni ‘CCM’ Mwenzio Sio Upinzani – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha kukerwa na na kile alichokisema Spika wa Bunge,...

READ MORE

Mwigulu Afafanua Matumizi ya Tsh Tril 1.3 – Video

Waziri wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba ametolea ufafanuzi ugawanyo wa fedha Sh trilioni 1.3 zilizokopwa na Serikali kutoka...

READ MORE

Rais Samia: Wapiga Kelele Hao… Lazima Tukope – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema lazima nchi ikope kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ikiwamo ujenzi wa madarasa kwa kuwa fedha...

READ MORE

Rais Samia Ampa Makavu Spika Ndugai “Ni Stress za 2025” – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha kukerwa na na kile alichokisema Spika wa Bunge,...

READ MORE

Hakuna Atakayegongewa Mlango Kudaiwa Deni la Taifa – Video

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesisitiza kuwa deni la taifa ni himilivu na kwamba hakuna Mtanzania yeyote...

READ MORE

Serikali Yatangaza Kushuka kwa Bei za Mafuta

Mamlaka ya Huduma za Udhibiti wa Nishati na Maji (EURA) imetangaza kushuka kwa bei za mafuta kwa mwezi Januari 2022...

READ MORE