×

Kitaifa

Baba Matatani kwa Kuwachoma kwa Makalio Watoto Wake

  Mkazi wa Kata ya Marangu Mashariki wilayani Moshi, Baltazari Mtui anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwaunguza makalio kwa...

READ MORE

NMB Yazindua Kampeni ya ‘NMB Mastaboda- Miliki Chombo’

BENKI ya NMB imezindua Kampeni ya NMB MastaBoda ‘Miliki Chombo,’ inayotoa mikopo ya pikipiki za miguu miwili na mitatu kwa...

READ MORE

Fahamu Historia ya Sanamu ya Askari, Dar

Sanamu ya Askari au Askari Monument ni sanamu iliyopo kwenye kitovu cha jiji la Dar es salaam kwenye mahali ambapo...

READ MORE

Breaking: Waziri Ummy Amsimamisha Kazi Mwakabibi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi...

READ MORE

Championi Lamwaga Fedha kwa Wasomaji Wake

  TIMU ya masoko ya Kampuni ya Global Publishers, leo Jumamosi, Aprili, 24 2021, ilimwaga fedha kwa wasomaji wao waliokutwa...

READ MORE

Mzee wa Kupapasa Wanawake Yamkuta

  Jamaa mmoja mtaani Pipeline, Nairobi nchini Kenya anajuta kuumizwa sehemu zake za siri na kisura aliyejaribu kumdhulumu (kumshikashika bila...

READ MORE

Ajichoma Kisu Mara 12 Baada ya Kumuua Mpenzi Wake

Kijana mwenye umri wa miaka 25 anaaminika alijaribu kujitoa uhai kwa kujidunga kisu baada ya kuripotiwa kumuua mpenzi wake huko...

READ MORE

Ajira Mpya 6,000 Walimu Waanza Kutapeliwa

KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amesema amepata taarifa kuwa...

READ MORE

Mama Ataka Uchunguzi Kifo cha Mwanaye

KABURI la mtoto Abdul Bakari (9) lililofukuliwa eneo la Kaloleni wilayani Kiteto mkoani Manyara chini ya ulizi mkali wa jeshi...

READ MORE

Kimeumana! Mbunge Chadema ‘Tumefukuzwa’ Naibu Spika ‘Futa Kauli’

Mbunge Kishoa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amelalamikia kunyimwa nafasi ya kufanya mikutano ya kisiasa kabla hajaondolewa kwenye...

READ MORE

Gwajima: Wengi Wapo Mahabusu Wamebambikiziwa Kesi za Uhujumu Uchumi

  Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mchungaji Dkt. Josephat Gwajima, amesema, kuna idadi kubwa ya watu wako mahabusu kutokana na...

READ MORE

Wananchi Watahadharishwa Kimbunga Jobo – Video

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa tahadhari kwa wananchi wote hususan wa kanda ya pwani ya Mkoa wa...

READ MORE

Shirika la Posta Tanzania Sasa Kidigitali Zaidi

  SHIRIKA la Posta Tanzania limejidhatiti kuboresha huduma zake kidigitali kuendana na mabadiliko makubwa ya teknolojia kote duniani ili kurahisisha...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi Taasisi za Serikali.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wa taasisi mbalimbali kama ifuatavyo;...

READ MORE

Tahadhari: Kimbunga Jobo Kupiga Tanzania

KIMBUNGA hafifu kimeyapiga maeneo ya mwambao wa bahari ya Hindi nchini Tanzania jana kufuatia kujitokeza kwa mgandamizo wa hewa katika...

READ MORE

Samia: Hatutavumilia Uvivu, Uzembe, Wizi na Ubadhilifu – Video

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema jitihada zaidi zinahitajika kukuza uchumi na kupambana na umasikini kwa sababu licha ya...

READ MORE

Rais Samia Kukutana na Akina Mbowe, Zitto – Video

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema atakutana na viongozi wa vyama vya siasa nchini kuweka mwelekeo wa kuendesha...

READ MORE

Wanaosema Hayati Magufuli ‘Aalipewa Sumu’ Waje Tuwasikilize – Video

  Rais Samia Suluhu Hassan, amewaonya watu wote ambao wanaodhani kwamba Hayati Dk. John Pombe Magufuli ameondoka na mipango yake...

READ MORE

Samia: Tumepitia Kipindi Kigumu Baada ya Magufuli Kufariki

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki, wabunge na Watanzania akisema kifo...

READ MORE

ATCL Linaokana Kama Halina Thamani Sababu ya Madeni – Video

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaangalia namna ya kulilea Shirika la Ndege nchini (ATCL) kimkakati ili lijiendeshe...

READ MORE

Rais Samia: Nitadumisha Mazuri Yaliyopita, Yaliyopo na Kuleta Mapya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan analihutubia Taifa kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Syria, Israel Zashambuliana Tena kwa Makombora

Syria na Israel zimeshambuliana tena kwa makombora, huku kila upande ukidai kudunguwa la mwenzake mapema alfajiri ya leo.    ...

READ MORE

Serikali Kuajiri Watumishi Wapya 44,096

Wizara ya Nchi Ofisi, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, imesema kuwa katika mwaka wa fedha wa 2021/22...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Bunge kwa Mara ya Kwanza – Video

   Ikiwa Watanzania 8,224,271 pekee ndiyo wenye uhakika wa matibabu nchini, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema mipango...

READ MORE

Bunge Latengua Kanuni Ili Viongozi Waingie Bungeni

  Bunge la Tanzania leo Alhamisi Aprili 22, 2021 limetengua kanuni ya 160 (1) ya kanuni za kudumu za chombo...

READ MORE

Wabunge Wapigwa Marufuku Tai Nyekundu

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge kutovaa tai nyekundu leo jioni Alhamisi Aprili 22, 2021 wakati Rais Samia Suluhu...

READ MORE

Ratiba Kamili Rais Samia Atakavyohutubia Bunge kwa Mara ya Kwanza

Leo Alhamisi Aprili 22, 2021 kuanzia saa 10 jioni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atalihutubia Bunge kwa mara ya...

READ MORE

Bodaboda Asakwa kwa Kumbaka Mwanafunzi

  Jeshi la Polisi Mkoani Manyara, linamsaka Pascal Fisoo, mkazi wa Kijiji cha Soraa, Babati mkoani Manyara ambaye ni dereva...

READ MORE

Marekani: Binti wa Miaka 16 Apigwa Risasi na Polisi

Ma’Khia Bryant amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na Polisi wa Colombus, Jimbo la Ohio kutokana na kile kilichodaiwa kuwa...

READ MORE

Washindi Grande Finale NMB MastaBata Wakabidhiwa Tiketi, Zawadi zao

  Washindi 12 wa zawadi kuu ‘Grande Finale’ ya Kampeni ya NMB MastaBata ‘Siyo Kikawaida’ wamekabidhiwa zawadi zao mbalimbali, zikiwemo...

READ MORE

Spika Ndugai Awaita Mawaziri, Wabunge Dodoma

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka mawaziri, manaibu wao na wabunge wote wawepo bungeni kesho Alhamisi Aprili 22,...

READ MORE

Balozi Mulamula Akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sauzi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akutana na kufanya mazungumzo na Waziri...

READ MORE

Shaka Ssali Astaafu, Kuagwa Rasmi Voice of America

Mtangazaji mkongwe wa Kipindi cha Straight Talk Africa kinachorushwa na Kituo cha Runinga na Redio cha Voice of America cha...

READ MORE

Prof Jay Afunguka Ishu ya Harmonize, Rayvanny – Video

  MKONGWE wa Muziki nchini, Professor Jay, leo Aprili amepiga stori kwenye kipindi cha Bongo 255 cha 255 Global Radio...

READ MORE

Akaunti za benki za THRDC Zafunguliwa

Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umesema akaunti za benki za mtandao zilizofungwa kwa takribani miezi minane...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Ikoimara, Watanzania Endeleeni Kuiamini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ipo imara na miradi yote ya kimkakati inaendelea kujengwa, hivyo Watanzania waendelee kuwa na...

READ MORE

Wasanii Kuweka Maudhui Youtube Bila Kulipa Ada ya Leseni TCRA

  KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi amesema Wizara yake, Wizara ya Mawasiliano...

READ MORE

Makonda: Sio Lazima Kuteuliwa

ALIYEKUWA mkuu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kwa sasa sio lazima ateuliwe au apigiwe...

READ MORE

Wanaswa na Polisi Wakijifanya Wana Ulemavu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limewakata watu watatu eneo la Himo Wilaya ya Moshi kwa madai ya kujifanya wana...

READ MORE