KWA uwezo wake Mwenyezi Mungu tumeiona tena Jumatatu hii njema, Mola ametuwezesha tumeweza kukutana pamoja hapa kwenye kilinge chetu cha...
READ MOREJUMAMOSI nyingine Mungu ametupa zawadi ya uhai. Tunaendelea kuomba huruma yake, atuepushe na atuondolee kabisa gonjwa hili la Corona. Tunaamini...
READ MORENI Ijumaa nyingine njema, tunamshukuru Mungu kwa kutujaalia kuiona siku hii pamoja na kwamba, tunapita kwenye changamoto nyingi. Rafiki zangu,...
READ MOREASALAM Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh! Kila sifa njema ni zake Allah subhanahu wataala na rehema na amani ziwe juu yake Mtume...
READ MOREBAADA ya wiki iliyopita kuangalia aina za kutandika kitanda, leo tumekuja kivingine ambapo tunaangalia vitu saba vinavyohitajika na ni muhimu...
READ MOREMUNGU ni mwema sana. Tunakutana alhamisi nyingine katika eneo letu la kuweza kupeana darasa la masuala ya uhusiano. Tunajifunza, tunatafakari...
READ MORETUPO kwenye kipindi kigumu cha kupambana na Virusi vya Corona vinavyosababisha Ugonjwa wa COVID-19. Tuzidi kuchukua tahadhari za kujilinda zinazotolewa...
READ MORESOTE tunakubaliana au tunafahamu kwamba hakuna mwanamke mbaya. Ila katika mazingira ya kawaida wapo ambao wanakuwa na umbo fulani la...
READ MOREWATAALAM wa saikolojia na elimu ya uhusiano wa kimapenzi kati ya mwanamke na mwanaume, tunakubaliana kwa pamoja kwamba, wanaume ni...
READ MOREUNAPOZUN-GUMZIA suala la maumivu ya mapenzi, japokuwa huumiza sana hasa kama ulikuwa na mapenzi ya dhati na mwenzi wako na...
READ MOREUNAPOMUWEKA mtu moyoni mara nyingi kumsahau ni vigumu. Wengi wanashindwa kuuona uzito huu kwa sababu hawakuwahi kupenda. Wanayachukulia mapenzi kama...
READ MOREWAUNGWANA Jumatano nyingine nakuja Shangingi wenu mstaarabu kabisa uongo uongo? Halooo, kama nawaona wengine hapo mlivyokunja sura utafi kiri mjusi...
READ MOREUKIACHILIA mbali pesa, mapenzi huwa yana nafasi kubwa kwenye dunia tunayoishi. Si maskini wala si tajiri, wote kwa pamoja wanahitaji...
READ MORETUNAENDELEA na darasa letu, leo ikiwa ni sehemu ya tatu. Usijali sana kuhusu urefu wa mada, maana baada ya kumaliza...
READ MOREJUMATANO saafi , Shangingi wenu nimejaa tele kuwaletea ile kitu roho inapenda. Niwape maneno yenu pambe, niwachambe vizabizabina msio na...
READ MOREWATU wengi ambao wanataka kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi huwa na kauli mbiu hii; “Mchunguze kwanza ujue tabia zake!” Ni...
READ MOREMUNGU ni mwema! Jumamosi nyingine tunakutana kwenye darasa letu. Kama mada inavyojieleza hapo juu, kuna mapenzi ya dhati kwenye dunia...
READ MORENI Ijumaa nyingine tunakutana hapa, mahali ambapo tunajifunza na kupeana misingi kuhusu masuala mbalimbali ya uhusiano wa kimapenzi na maisha...
READ MOREMARAFIKI tunaendelea na mada yetu iliyoanza wiki iliyopita ambapo tunaangalia namna ambavyo unaweza kujipandisha thamani yako kwa mwenzi wako. Tayari...
READ MOREWAPE habari wenye habari zao. Shangingi Mstaafu nakuja kifua mbele kuwapa maneno pambe, si mnanijua vizuri eeeh! Mwaka ndio...
READ MOREDUNIA ya mapenzi kila siku ina mambo mapya. Huyu anaingia, huyu anatoka. Kuna ambaye analia na kuna ambaye anacheka. Anayecheka...
READ MOREKUNA wakati inatokea kwenye uhusiano, mmoja wao (hasa mwanamke) akadhauriwa na mpenzi wake na kuonekana wa kawaida tu. Athari kubwa...
READ MORESILAHA ya mwanamke ni kujua kuchamba haswa kama unayo maneno bibi. Sio unamchamba mtu kwa maneno ya kwenye kamusi inahusu?...
READ MOREMADHARA Karibu tena katika ukurasa huu mzuri. Wiki iliyopita tuliianza mada hii kama inavyojieleza hapo juu. Nilianza kwa kukupa ushuhuda...
READ MORENIMEWASIKIA washauri wengi wakisema uvumilivu ni kitu muhimu katika mapenzi! Bila shaka hata wewe umewahi kuambiwa na wazazi au rafiki...
READ MOREWEWE ni mwerevu kwa kuchagua kusoma ukurasa huu. Nakuhakikishia uamuzi wako ni sahihi kwa sababu baada ya hapa, utakuwa umeongeza...
READ MOREMIMI sihitaji mkeka; kwani nataka kuswali? Miye hata chini naketi, kikubwa ujumbe ukufike bibiye upooo!? Kuna mwenzenu mmoja kaninukisha...
READ MORETAMBUA kuanzia leo kwamba mapenzi ni safari; inayohitaji tafakuri na mazingatio. Kusafiri bila kujua uwendako ni balaa kubwa; lakini hata...
READ MOREINAPOTOKEA mwenzi wako akawa na tatizo kama tulivyoanza kujadiliana wiki iliyopita, jambo muhimu la kwanza unalotakiwa kulifanya, ni kutafuta chanzo...
READ MOREWAKATI wa kuongeza kitu ubongoni kuhusu uhusiano na mapenzi umewadia. Ni imani yangu kuwa kila wakati umekuwa ukijifunza mambo mbalimbali...
READ MORESHOGAANGU miye upooo? Nishaupiga mswaki tena, ruksa kukupasha; ukiwa na nongwa ya senene kuficha kichwa watu watakuchezea mkia, heee heeeyaaa. ...
READ MOREUKIPATA bahati ya kuzungumza na watu wengi waliopo kwenye ndoa au uhusiano wa kimapenzi au waliopo kwenye uchumba, wengi watakwambia...
READ MOREIJUMAA nyingine imewadia, bila shaka msomaji wangu uko sawa kimwili na kiakili, kwa wewe ambaye mambo hayaendi sawa, nakuombea Mungu...
READ MORE“KWELI jamaa amepatikana, mwanamke gani huyo anatembea naye? Halafu nasikia ana mpango wa kumuoa, yule si mwanamke hata kidogo. Ni...
READ MOREPAAAMBE SHOGA… wanakwambia mfuniko wa soda hautunzwi na ukitaka kujua kanga ina umuhimu nenda ukweni na taiti, upo nyonyo? Heee...
READ MOREMIONGONI mwa vitu vinavyochangia kuharibu uhusiano wa kimapenzi ni hisia mbaya. Wapenzi wengi wameachana kwa sababu si kwamba walithibitisha ubaya...
READ MOREKUNA asilimia kubwa kwa mwanamke kuweza kujua siku zake za hatari za kupata ujauzito japo pia, wapo...
READ MOREWIKI iliyopita tulianza kujadiliana kuhusu mambo ambayo ukiyafanya kwa ukamilifu muwapo faragha, utamfurahisha mwenzi wako na kumfanya kila siku awe...
READ MOREHELLO marafi ki! Naamini mtakuwa poa kabisa na maisha yanaendelea kwa kasi kama kawaida. Mimi kwa upande wangu ni mzima...
READ MOREWANAKWAMBIA nazi nazi tu hata ivunjwe uile haiwezi kuwa embe, upo nyonyo? Heee heeeiya nashanga unavaa mini msibani kwenye sherehe...
READ MORE