×

Maisha

Unakubalije Ndoa na ‘Chui’ Aliyeficha Makucha?

NI wiki nyingine tunakutana tena kupitia ukurasa huu nikiamini kwamba umzima, bukheri wa afya na unaendelea nyema na maisha yako...

READ MORE

KUMRUHUSU MKE AFANYE KAZI, BIASHARA CHANZO CHA USALITI ?

NI Jumatatu nyingine Mungu ametukutanisha hapa kwenye kilinge chetu cha kupeana elimu ya masuala ya uhusiano na maisha kwa jumla....

READ MORE

Amani ya moyo ni muhimu, itafute kwa gharama yoyote!

WATU wanateseka sana kwenye mahusiano kwa kuipoteza amani ya moyo. Wanaishi kwenye maugomvi, wanapoteza kabisa muelekeo kutokana na visa mbalimbali...

READ MORE

Tatizo la kupoteza hamu na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa!

 HALI hii huwatokea wanaume na wanawake. Ni tatizo linaloathiri uwezo wa kisaikolojia na kimwili wa mtu yeyote aliye katika umri...

READ MORE

Unahakika uliyenaye ni wa ndoto zako? -3

HII ni mada itakayo-kusaidia kukuondoa kwenye giza na kukupa maarifa mapya kabla ya kuanzisha uhusiano lakini pia kujua aina ya...

READ MORE

Wapenzi waliogombana, tiba ni hii hapa

 KUGOMBANA ni jambo ambalo halikwepeki katika uhusiano wa kimapenzi. Upo ugomvi ambao ni wa kawaida na huisha kirahisi lakini upo...

READ MORE

Wanaume Waongeza Safari Kukwepa Michepuko – 4

UDANGANYIFU kwa ‘michepuko’ miongoni mwa wanaume wengi siku hizi ni mwingi kama ambavyo tumekuwa tukiangazia kwa wiki tatu mfululizo. “Simu...

READ MORE

KUNA WATU, KUNA WAUAJI KWENYE MAPENZI,JIELIMISHE

 NI Jumatatu nyingine tunakutana kwenye darasa letu. Hapa tunajifunza na kupeana misingi ya kuhusu masuala mbalimbali ya uhusiano na maisha...

READ MORE

MNAOCHAGUA WA KUWAOA SOMENI HII

ZAMA hizi ni za kusaidiana kwa kila kitu. Kama wewe ni binti ambaye unatamani na unataka ukute au upate mwanaume...

READ MORE

Acha kutamani vya nje, mtengeneze wako awe bora!

NI Ijumaa nyingine tuliyoj-aaliwa na Mwenyezi Mungu. Karibu kwenye uwanja wetu huu wa kupeana elimu juu ya uhusiano na maisha...

READ MORE

Dela la kuazima Halichafuki

WANAKWAMBIA ndege wafananao huruka pamoja nashanga wee bundi sijui utaruka na nani? Hehe heeeiyaaaaaa! Shoga mji wa moto huu, unaweza...

READ MORE

Uchunguzi Wanaume Waongeza Safari Kukwepa Haya – 4

SAFARI ya makala yetu ya uchunguzi juu ya visa vya wanaume siku hizi kukubuhu kwa visingizio vya: “Niko safarini.” Lengo...

READ MORE

Ukibaini ‘mchawi’ wa maisha yako ni wewe, fanya hivi!

NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana tena kupitia safu hii ambayo naamini imewasaidia wengi kukabiliana na changamoto mbalimbali za kimaisha....

READ MORE

Baharia wa Manzese

Ingawa kazi yake rasmi ilikuwa ni kusafisha na kutengeneza kucha mitaani, alifanya kila kazi iliyomjia mbele yake. Alibeba mizigo, alizoa...

READ MORE

Mnaotamani watoto kwa nguvu, hii inawahusu!

KADIRI miaka inavyozidi kuyoyoma, wimbi kubwa la wanawake kutaka kuzaa limezidi kuongezeka. Hii inatokana na suala zima la umri. Mwanamke...

READ MORE

Mahaba: Punguza Moto Wali Uive

HALOOOO eeeehhh shoga wanakwambia mjini raha jipe mwenyewe, hata kama mtu mzima nunua pampas kisha jikojolee, kwani bei gani! Unajifanya...

READ MORE

Umepoteza matumaini ya ndoa? Elimika!

UKIFANYA tathmini ya ndoa nyingi, ni wachache sana ambao watakuambia wanazifurahia. Wengi watakuambia wapo kwenye mateso mazito, wanatamani kutoka. Matatizo...

READ MORE

Hata ukifanyia gizani, dunia haina siri

NI siku nyingine nzuri tunapokutana kwenye ukurasa huu, mahali ambapo tunajadiliana na kuelimishana kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi...

READ MORE

Wanaume Washauriwa Kulia Ili Kupunguza Stress

MWENYEKITI wa Chama cha Wataalamu wa afya ya akili Tanzania, Isaack Lema amewashauri wanaume kulia ili kupunguza msongo wa mawazo...

READ MORE

Namna ya kugundua, kuepuka utumwa wa Mapenzi

MUNGU yu mwema, kwa uwezo wake tunakutana tena leo hapa kwenye ukurasa wetu ambao tunajifunza kuhusu uhusiano na mapenzi. Naamini...

READ MORE

Jinsi ya kujinasua kwenye maumivu ya kuachwa

MARA nyingi sana inapotokea umejeruhiwa penzini, hususan na mtu ambaye ulikuwa na malengo naye, ni vigumu mno kupenda tena.  Ni...

READ MORE

Namna ya kugundua, kuepuka utumwa wa mapenzi-2

MARAFIKI tunakutana tena kwenye safu yetu ya kupeana mawili matatu kuhusiana na uhusiano. Bila shaka kuna mambo mengi mapya huwa...

READ MORE

Taa ya gari haifungwi chumbani

WAAREEEEE miye ndiye dokta nimeachiwa hospitali wagonjwa wote ruksa kutibiwa bure, kulala bure hata wakitaka ruhusa nawaruhusu! Unaloooo bibiyeeee ulidhani...

READ MORE

Unachukua nafasi yako kama mke?

NI juma lingine tulivu kabisa tunakutana kwenye ukurasa huu ambao unapata fursa ya kusoma dondoo mbalimbali zinazoweza kuyaboresha maisha yako....

READ MORE

Ishu siyo ndoa, unaoa au kuolewa na nani?

MOJA kati ya maswali ambayo vijana wengi wanakutana nayo mara kwa mara ni umeoa au umeolewa? Swali hili huwa linawakumba...

READ MORE

Piga,ua utapitia haya penzini, jifunze!

YAWEZEKANA unapokuwa kwenye eneo salama katika uhusiano, unaweza usifikirie wale wanaopitia magumu, lakini nikuambie tu, uhusiano una nyakati tofautitofauti hivyo...

READ MORE

Mbinu za kumfunga breki mwanaume anayechepuka-2

NI siku nyingine ninapo-kukaribisha msomaji wangu kwenye ukurasa huu murua, mada tunayoijadili ni ile tuliyoanza nayo wiki iliyopita, ni juu...

READ MORE

Namna ya kugundua, kuepuka utumwa wa mapenzi

TABASAMU ni tiba ya moyo, hujenga kujiamini na kutengeneza furaha ya siku yako. Husaidia sana kuondoa makunyanzi usoni. Binti mdogo...

READ MORE

Utamu wa chai sukari

BINADAMU bwaana hata ukiogelea watakwambia unawatimulia vumbi, paaaambeee shoga! We endelea kunishangaa Anti Naa badala ushangae mlango mkubwa unalindwa kwa...

READ MORE

Mke wa kukupanda kichwani wa kazi gani

UKWELI ni kwamba, wapo wanaume ambao wako kwenye ndoa lakini hawana amani kabisa. Wanatamani kutoka lakini haiwezekani, wanabaki kuugulia. Hii...

READ MORE

Usaliti ni kama asali, chunga usiionje!

TUMSHUKURU Mungu kwa kutujalia uhai. Ni Jumatatu nyingine tunakutana kwenye uwanja wetu huu wa kupeana darasa la masuala ya uhusiano...

READ MORE

Mtu sahihi maishani ana sifa gani.?

MUNGU ni mwema! Ni Jumamosi nyingine tumekutana kwenye kilinge chetu cha kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu maisha ya uhusiano.  Tupo kwenye...

READ MORE

Unavyoweza kujipaisha kithamani kwa mpenzi wako!- 4

LEO tupo kwenye sehemu ya mwisho kabisa ya mada hii. Tumeshaona mengi kuhusu namna ambavyo unaweza kujipandisha thamani kwa mpenzi...

READ MORE

Mwenye nyumba hanyimwi chakula

PAAAMBEEE shoga tumekutana tena kwenye kona yangu mimi shangingi mstaafu mwingine fotokopi, nasikia kuna watu wanajiita mashangingi wastaafu sifa yao...

READ MORE

Jihadhari na Maadui wa Penzi Lako!

NI Ijumaa nyingine murua. Siyo mbaya kwa wanajamvi hili, ndugu, jamaa na marafiki kushirikiana katika mapenzi kama vile wakati wa...

READ MORE

Unavyoweza kujipaisha kithamani kwa mpenzi wako!

TUNAENDELEA na mada yetu ambayo naamini ukiifuatilia hadi mwisho itakuachia mafunzo makubwa sana. Tunaangalia namna unavyoweza kupandisha thamani ya penzi...

READ MORE

Raha ya mapenzi, kudamka!

HAYA tena shoga yangu, kujifanya kuvamia sherehe za watu na dera la msiba kimbelembele hadi wka bi harusi inahu? Hivi...

READ MORE

Ukileta Umachepele na Simu Yako, Walahi Unaachika!

TUNAKUTANA tena kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Mimi...

READ MORE

Mambo muhimu unapotaka kuanzisha uhusiano!

NI matumaini yangu mpenzi msomaji wa safu hii, utakuwa kwenye hali nzuri na tayari kusoma kile ambacho nimekuandalia Jumatatu hii....

READ MORE

Kuishi na mwenza siyo rahisi jipange!

JUMAMOSI nyingine tunakutana kwenye darasa la mahusiano. Maisha yetu hayawezi kwenda bila ya kuhusiana, lazima tushirikiane, tusaidizane katika mambo mbalimbali...

READ MORE