×

Michezo

Roy Keane Aichambua Chelsea Vs Tottenham

MKONGWE wa Manchester United, Roy Kean amefungu­ka kuwa mch­ezo kati ya Tottenham na Chelsea ulikuwa kama wa wa­naume na wavu­lana....

READ MORE

Dube: Nitarudi kwa Moto Sana

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Prince Dube, ameahidi kurejea kwa nguvu zote uwanjani baada ya kupona majeraha yake ya enka. Akizungumza...

READ MORE

Barbara: TP Mazembe ni Kipimo Sahihi

MTENDAJI Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez, amefunguka kuwa, kama wangetaka kushinda kirahisi mchezo wa kilele cha Tamasha la Simba Day,...

READ MORE

TP Mazembe Waitabiria Makubwa Simba SC

NYOTA wa TP Mazembe, Rainford Kalaba, ameitabiria makubwa Simba kufanya vizuri kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu....

READ MORE

Mwamuzi Simba vs Yanga pasua kichwa

ZIKIWA zimebaki siku nne kwa sasa mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba dhidi ya Yanga uchezwe Uwanja wa...

READ MORE

Mkwanja Wako Upo Kwenye Ligi Kuu India, Tazama Odds za ushindi!

Mchaka mchaka wa Ligi Kuu India unasonga taaratibu na kuwaburudisha wapenzi wa kriketi duniani. Wakati ukipata fursa ya kufurahia radha...

READ MORE

Lwandamina Arudisha Jeshi Lake Kambini

KOCHA Mkuu wa Azam FC, George Lwandamina, baada ya kufanikisha timu hiyo kuvuka hatua ya awali ya michuano ya Kombe...

READ MORE

Jembe Jipya Simba Laahidi Makombe

BEKI mpya wa Simba, Mkongomani, Henock Inonga Baka, amewaomba mashabiki wa timu hiyo kumuamini kwa kipindi ambacho atakuwepo hapo, huku...

READ MORE

Kanoute Afumua Kikosi Simba SC

GUMZO kubwa hivi sasa kwa mashabiki wa Simba ni kiungo mpya raia wa Mali, Sadio Kanoute ambaye upo uwezekano mkubwa...

READ MORE

Cedric Kaze Arudishwa Yanga

IMEFAHAMIKA kuwa Yanga ipo katika hatua za mwisho za kumrudisha aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Mrundi, Cedric Kaze awe...

READ MORE

Rekodi Zaibeba Yanga kwa Simba

REKODI zinaibeba zaidi Yanga kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Septemba 25, mwaka huu kutokana...

READ MORE

Yanga na Simba, Mikwara Kama Yote

IKIWA ni Septemba 25, wanatarajia kukutana, Uwanja wa Mkapa watani wa jadi Simba Vs Yanga, katika mchezo wa Ngao ya...

READ MORE

Yanga: Tupo Tayari, Simba; Hatuna Presha – Video

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga utachezwa kuanzia saa 11:00...

READ MORE

Redondo Amewaka Kweli Kweli

KIUNGO wa Biashara United Ramadhan Chombo (Redondo), Jumamosi iliyopita alionyesha kiwango cha juu baada ya kufunga mabao mawili wakati timu...

READ MORE

Faulo Zampasua Kichwa Nabi

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amekuwa akipasua kichwa namna ya kuweza kutatua tatizo la mabao ya mipira iliyokufa jambo...

READ MORE

Gomes Amuondoa Kapombe Kikosini

SIMBA imevimba na usajili mpya wa beki wa kulia, Israel Mwenda ambapo kauli ya Kaimu Msemaji wa Simba Ezekieli Kamwaga,...

READ MORE

Solskjaer Amtabiria Makubwa Sancho

    KOCHA wa Man United, Ole Gunnar Solskjaer amesema anaamini kuwa winga wake Jadon Sancho atakuwa mshambuliaji mahiri wa...

READ MORE

Molinga, Chirwa Waamsha Dude Namungo

KOCHA mkuu wa Namungo, Hemed Morocco amesema ujio wa washambuliaji David Molinga na Obrey Chirwa ndani ya timu hiyo utaifanya...

READ MORE

Azam Fc: Kujiwekea Malengo Ya Mataji Ni Kujitesa

WAZEE wa kimyakimya, mabosi kutoka Azam FC wameweka wazi kuwa msimu mpya mambo yatakuwa tofauti kutokana na usajili waliofanya pamoja...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS  https://apple.co/38HjiCx Android  http://bit.ly/38Lluc8...

READ MORE

TFF Yasubiri Rekodi za Simba, Yanga

UONGOZI wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF), umeweka wazi kuwa maandalizi yote ya mchezo wa Ngao ya Jamii unaotarajiwa kuzikutanisha...

READ MORE

Ndemla, Ame Watoa Neno Mtibwa Sugar

BAADA ya kukamilisha usajili wao wa mkopo wa kujiunga na Mtibwa Sugar, Said Ndemla na Ibrahim Ame wametamba kuifanya klabu...

READ MORE

Nabi Ashikilia Hatima ya Balama Yanga SC

  IMETHIBITISHWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Balama Mapinduzi tayari amekamilisha programu maalum za mazoezi binafsi ambazo alipewa na benchi...

READ MORE

Mukoko Aipiga Mkwara Simba

KUELEKEA mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya wapinzani wao wa jadi klabu ya Simba Jumamosi hii, kiungo mkabaji wa...

READ MORE

Mane Apiga Bao la 100 Liverpool

KOCHA wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema anafurahi sana kuona anamfundisha mshambuliaji mahiri kama Sadio Mane. Mshambuliaji huyo juzi alifanikiwa kufunga...

READ MORE

Sakho, Banda Wampa Kiburi Bocco

SIMBA imeanza jeuri katika kuelekea msimu ujao, ni baada ya kutamba hawataacha kikombe chochote cha ubingwa watakachopambania pamoja na watani...

READ MORE

Guardiola Asikitikia Sare ya Man City

KOCHA wa Man City, Pep Guardiola amesema kuwa anajisikia vibaya kuona timu yake imeshindwa kupata ushindi kwenye mchezo wa Ligi...

READ MORE

Washindi wa Kombe la Mkuu wa Majeshi Wapongezwa

AFISA Habari wa Klabu ya Gofu ya Lugalo Kapteni Selemani Semunyu na askari walioibuka na ushindi katika mashindano ya Kombe...

READ MORE

Huyu Kanoute ni Mtu Babake

KWA mara ya kwanza msimu huu, Simba wamewaonyesha mashabiki wao kuwa wanauwezo wa hali ya juu uwanjani.   Simba walikuwa...

READ MORE

Duchu Kaanza, Tunawasubiri Ndemla, Ame..

HAZINA ya Tanzania watakuwa ni Watanzania wenyewe, hakuna ubishi! Mara nyingi nimekuwa nikipambana kujaribu kuwakumbusha wazalendo hasa wale wanaocheza soka kwamba...

READ MORE

Aucho, Djuma Wakabidhiwa Simba

WAKIACHWA nchini kiungo Khalid Aucho, Shaban Djuma na Fiston Mayele wameachiwa program maalum mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo...

READ MORE

TP Mazembe Walivyozuiwa Getini

MASHABIKI wa Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo jana walionja joto ya jiwe baada ya kuzuiwa getini walipokuwa kwenye...

READ MORE

Ronaldo Hapoi Ulaya

CRISTIANO Ronaldo ameendeleza umwamba wake kwenye Ligi Kuu England baada ya jana kufunga tena wakati Man United ilipowachana West Ham...

READ MORE

Afande Mahita Amaliza Ushahidi Kesi ya Mbowe

Shahidi wa pili katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu,...

READ MORE

Fitna Zawaondoa Yanga SC Klabu Bingwa Afrika

KWA walichowafanyia Yanga unaweza kusema kuwa Wanaijeria sio watu wazuri kwa kuwa wametumia nguvu kubwa kuwatoa mchezoni wawakilishi wa Tanzania...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Pele: Ninaendelea Vizuri

Gwiji wa Soka wa Brazil, Pele (miaka 80) ameandika kwenye ukurasa wa Instagram kuwa anaendelea vizuri na anawashukuru wanafamilia wote...

READ MORE

Yanga Yatupwa Nje Ligi ya Mabingwa Afrika

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye ligi ya mabingwa Afrika, Yanga leo Septemba 19, imetupwa nje ya michuano hiyo baada ya kupoteza...

READ MORE

‘Surprise’ ya Okwi Yaamsha Shangwe Dimba la Mkapa

‘Surprise’ ya mchezaji wa zamani wa Simba Emmanuel Okwi iliamsha shangwe kwa maelfu waliofurika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Okwi...

READ MORE

Kibabage: Nimekuja KMC Kupiga Kazi

KMC imefanikiwa kuinasa saini ya kiraka, Nickson Kibabage ambaye amekuwa akifanya poa akicheza beki wa kushoto na winga.   Kinda...

READ MORE