×

Michezo

Man City Yaipiga Man United Mabao 2-0 Old Trafford

MANCHESTER City sasa washindwe wenyewe kutwaa ubingwa baada ya kuwanyuka wapinzani wao wa jadi, Manchester United mabao 2-0 kwenye mechi...

READ MORE

Simba yaionyesha Yanga kufuru Mwanza

UKISIKIA kipyenga kimelia ndani ya CCM Kirumba leo jioni, Simba itakuwa imeshatibua mambo kwenye maskani hiyo ya Yanga. Simba itakipiga...

READ MORE

Kisa Mo, Zahera Amtimua Cannavaro Yanga

  KOCHA wa Yanga Mwinyi Zahera amesema kuwa yeye ndiye alimtimua meneja wa timu hiyo, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ baada ya...

READ MORE

Zahera amalizana na straika Mzimbabwe

KOCHA wa Yanga Mwinyi Zahera amesema kuwa straika wa FC Lupopo, Rodrick Mutuma raia wa Zimbabwe amekubali kutua Jangwani.  ...

READ MORE

Tbl yatangaza Michuano ya soka ya Castle Lager Africa 5s

Dar es Salaam April 24, 2019: Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Castle Lager,leo imetangaza rasmi mashindano ya...

READ MORE

Zahera ataja mechi moja ya ubingwa

  JUMATATU ijayo Yanga watakuwa na kibarua kizito cha kupambania pointi tatu na Azam FC, sasa Kocha wa Yanga, Mkongomani...

READ MORE

Viongozi wapya wasogeze nusu fainali ya Yanga

MCHEZO wa Nusu Fainali wa Kombe la Shirikisho kati ya Lipuli FC dhidi ya Yanga utapigwa Mei 6, mwaka huu...

READ MORE

Matola: Mpeni Kagere tuzo yake

WAKATI Ligi Kuu Bara ikielekea ukingoni kocha wa Lipuli FC, Selemani Matola amefunguka kuwa nyota wa Simba Meddie Kagere anastahili...

READ MORE

Emery: Arsenal itamaliza ndani ya top 4

UNAI Emery ana matumaini kuwa kipigo cha mabao 3-2 walichokipata kutoka kwa Crystal Palace juzi, hakitazima ndoto zao za kumaliza...

READ MORE

Simba Yawatandika Alliance 2-0, Niyonzima Atupia

SIMBA jana Jumanne walishusha hasira zao kwa Alliance Schools, baada ya kuwatandika mabao 2-0 ikiwa ni siku chache baada ya...

READ MORE

TFF yamzuia Yondani kuivaa Azam

BEKI wa Yanga, Kelvin Yondani amefungiwa mechi tatu baada ya kumpiga ngumi mchezaji wa Kagera Sugar, huku wachezaji wa Azam...

READ MORE

Yanga Yapigwa Faini Mil 3.5, Yondani, Morris Wafungiwa na TFF

KLABU ya Yanga imetozwa faini ya Tsh. 3,000,000 (milioni tatu) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na wachezaji wa...

READ MORE

Familia yamuondoa Cannavaro Yanga

IMEELEZWA kuwa kimya kingi cha Meneja wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kutokuwepo katika kikosi hicho, kinatokana na kukabiliwa na matatizo...

READ MORE

Tuyisenge kimeeleweka Yanga

WAKALA wa mchezaji wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere ambaye ni Patrick Gakumba, amefunguka na kusema mazungumzo kati yake na mabosi...

READ MORE

Aussems: Simba tulieni, ubingwa bado wetu

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, amewataka mashabiki wa timu hiyo kutulia kufuatia matokeo mabaya katika mchezo wao dhidi ya...

READ MORE

RONALDOAWEKA REKODI DUNIANI

SHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo, juzi, aliweka rekodi ya pekee baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A),...

READ MORE

Maxime: Mimi ndiye kiboko ya Simba

BAADA ya Kagera Sugar juzi Jumamosi kuifunga Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa timu hiyo, Mecky...

READ MORE

Vigogo Kurudishwa Yanga SC

VIGOGO wa Yanga ambao walikatwa majina yao kwenye mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa Yanga unaotarajiwa kufanyika Mei 5, mwaka...

READ MORE

Kisa kichapo, Mbelgiji Awavaa Wachezaji Simba

BAADA ya Simba juzi kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba, kocha mkuu wa...

READ MORE

Sevilla Fc Yathibitisha Kuzivaa Simba, Yanga Taifa

KLABU ya Sevilla FC imethibitisha kumalizia maandalizi ya msimu mpya wa ligi kwa kucheza na moja ya klabu kongwe nchini...

READ MORE

Zahera Amuonea Huruma Mbelgiji Simba SC

BAADA ya Simba kupoteza dhidi ya Kagera Sugar, Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, amesema kuwa anamuonea huruma kocha wa...

READ MORE

Girl Queens mabingwa Castle Africa 5 aside Bonanza

  TIMU mpira wa miguu ya Wanawake yenye makazi yake Msimbazi Kariakoo jijini Dar es Salaam wameibuka mabingwa katika Bonanza...

READ MORE

Kagera Sugar Yatoa Zawadi ya Pasaka Kwa Simba, Yaipiga 2-1

SIMBA jana Jumamosi ilitolewa hang’iova ya michuano ya kimataifa na kukaribishwa kwenye Ligi Kuu Bara kwa kipigo dhidi ya Kagera...

READ MORE

Serengeti Boys yawachefua Watanzania

TUKILIA haisaidii. Wala tukicheka haisaidii. Ni janga na fedheha ya kitaifa. Hakuna namna, lazima tuinamishe vichwa chini tutoke kimyakimya. Maneno...

READ MORE

Fei Toto amuwahi Sure Boy Azam FC

KIUNGO fundi wa Yanga, Feisal Salim ‘Fei Toto’ amemaliza adhabu yake ya kadi tatu za njano na anatarajiwa kurejea uwanjani...

READ MORE

Mo aficha usajili nyota Yanga SC

IMEFAHAMIKA kuwa Yanga tayari ina listi ya wachezaji inaowataka kuwasajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, lakini...

READ MORE

Kagere: Mwambieni Makambo nimerudi

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere, amewachimba mkwara wachezaji wote wanaowania ufungaji bora, akiwemo mshambuliaji wa Yanga, Haritier Makambo kwa...

READ MORE

Simba kamili kuivaa Kagera Sugar Saa Nane Mchana leo

HATIMAYE jeshi kamili la Simba limekamilika baada ya nyota wake wa safu ya ulinzi kuwa fiti na kujiunga na kikosi...

READ MORE

Simba Yatangaza hali ya hatari

KATIKA kuhakikisha timu yake inauchukua ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya pili mfululizo, Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji,...

READ MORE

Simba Yajadili Mkataba wa Mbelgiji

UONGOZI wa Simba chini ya Bodi ya Wakurugenzi, umefanya kikao kujadili kama wamuongezee mkataba kocha wao mpya, Mbelgiji, Patrick Aussems...

READ MORE

Mabao ya Kagere + Bocco = Kagera Sugar

KUELEKEA katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa kwenye Uwanja wa Kaitaba, kesho Jumamosi, habari...

READ MORE

SportPesa, La Liga kuileta Sevilla kwa Simba

KAMPUNI ya Michezo ya Kubashiri ya SportPesa kwa kushirikiana na La Liga wanaileta Sevilla nchini Tanzania kwa ajili ya ziara...

READ MORE

Kocha Yanga Ashusha Mshambuliaji

KOCHA Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera tayari ameanza kukisuka kikosi chake kwa kumsajili mshambuliaji chipukizi, Erick Msagati maarufu kwa...

READ MORE

Kazi Imeanza …Yondani, Bocco Wawekewa Bilioni Mezani

TAIFA Stars yenye mastaa kama Kelvin Yondani, Erasto Nyoni, Fei Toto na John Bocco ina uhakika wa Sh. Bilioni 1.4...

READ MORE

Alikiba nje msimu mzima

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union ya Tanga, Ally Saleh Kiba ‘Alikiba’, anaweza asionekane uwanjani hadi msimu huu wa Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Ligi Kuu Simba siku 10 mechi 5

SIMBA ipo katika kipindi kigumu cha ratiba ya Ligi Kuu Bara, hiyo ni kutokana na kutakiwa kucheza mechi tano ndani...

READ MORE

Yanga yafuata majembe matatu

BAADA ya kumwagiwa mamilioni ya usajili wa awali, Kocha Mkuu wa Yanga, raia wa DR Congo, Mwinyi Zahera, hatimaye amefanikiwa...

READ MORE

Serengeti Boys: Hatujakata tamaa, tutapambana

LICHA ya kupoteza mechi zao mbili walizocheza, kocha wa timu ya Serengeti Boys, Oscar Mirambo amefunguka kwamba bado hawajakata tamaa...

READ MORE

Yanga Princess wanarudi kivingine

KOCHA wa Yanga Princess, Mohamed Hussen amesema wanarudi na sura ya tofauti katika raundi hii ya lala salama ya ligi...

READ MORE

Ibrahim Ajibu amponza Ndemla

YANGA rasmi imesitisha mpango wake wa kumsajili kiungo mkabaji, Said Ndemla katika usajili wa msimu ujao huku kiungo mshambuliaji, Ibrahim...

READ MORE