×

Michezo

ZAHERA ATANGAZA KUONDOKA YANGA SC

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mkongoman, Mwinyi Zahera ameweka msisitizo kuwa anaweza kuacha kazi Mei, mwaka huu kama hatopewa dola milioni...

READ MORE

Yanga Kukipiga na Namungo FC Leo, Kombe la FA

KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera amewaambia mashabiki kwamba roho ya timu hiyo ipo kwenye michuano ya FA na leo watakinukisha...

READ MORE

Makambo Anogewa na Tshishimbi Yanga

STAA wa Yanga Mkongomani, Heritier Makambo amefurah ishwa na kiwango kikubwa cha hivi sasa ambacho amekionyesha kiungo wa timu hiyo,...

READ MORE

Sina Shaka na Kamati, Wakati Mwingine Tuanze Mapema

MACHI 22, mwaka huu, Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itakuwa na mchezo wa mwisho na muhimu wa kufuzu...

READ MORE

Nyoni Kubeba Mikoba ya Juuko Murshid

IPO wazi kwamba beki Juuko Murshid hatocheza mechi ya kimataifa dhidi ya JS Saoura kutokana na kuwa na kadi za...

READ MORE

KIPIGO CHA SIMBA: AZAM YAWATIMUA PLUIJM NA MWAMBUSI

IKIWA ni siku moja baada ya kuchapwa mabao 3-1 na Simba, Azam FC imeamua kuvunja benchi la ufundi kwa kusitisha...

READ MORE

Zahera: Fei Toto ndiye injini Yanga

BILA kupepesa macho, Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo amemtaja kiungo, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuwa...

READ MORE

JESCAR NGAISE: KINDA WA KIKAPU MWENYE UCHU WA KUVAA VIATU VYA JOKATE

  “NDOTO zangu kubwa nilizonazo ni kuwa kiongozi kwenye hii nchi kama ilivyo kwa Jokate Mwegelo, ambaye ni balozi wa...

READ MORE

Bocco Awafunga Mabosi Wake wa Zamani, Zana Noma

KAJA Mwarabu tena na kikosi chake na mabilioni, akakaa! Akafuata Yanga mwenye Heritier Makambo, naye akakaa. Sembuse Azam inayotokea kule...

READ MORE

Yanga Yapania Rekodi Kombe la FA

WAKATI beki tegemeo wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani akishindwa kusafi ri na kikosi hicho kwenda Lindi kuwavaa Namungo FC,...

READ MORE

Meneja: Anayemtaka Kakolanya Aje

YUPO Huru! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia meneja anayemsimamia kipa Beno Kakolanya, Suleman Haroub kuweka wazi kuwa timu yoyote inayomhitaji mteja...

READ MORE

Simba Yampa Dili nono Tshishimbi

MABOSI wa Yanga wameonekana kuvutiwa na kiwango kikubwa kinachoendelea kuonyeshwa na kiungo wao Papy Tshishimbi na kusababisha kuuweka mezani mkataba...

READ MORE

ZAHERA KUWAKALISHA KINA MAKAMBO

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo amesema kila siku atawapatia mbinu mpya washambuliaji wake, Heritier Makambo...

READ MORE

JOHN BOCCO AIONGOZA SIMBA ‘KUICHINJA’ AZAM TAIFA

NAHODHA wa Simba, John Bocco jana Feb 22, 2019 amewaongoza wachezaji wenzake kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 kwenye mchezo...

READ MORE

Namungo wawekewa mzigo mezani, waifunge Yanga

UONGOZI wa timu ya Namungo, umetoa ahadi ya fedha kwa wachezaji wa timu hiyo iwapo watafanikiwa kuwafunga Yanga katika mchezo...

READ MORE

FT: AZAM 1-3 SIMBA KUTOKA UWANJA WA TAIFA

Dakika 90 zinakamilika hapa Kwa Mkapa. 90+3 Azam wanapata kona, Simba wanaanua, Mudathiri anaachia muwa unapaa mawinguni. 90+2 Rashid Juma...

READ MORE

KIKOSI CHA AZAM FC, SIMBA SC…KIPO HAPA

Kikosi cha Simba, saa 10: oo kitacheza na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Taifa hapa...

READ MORE

KIKOSI CHA AZAM KILIVYOTUA TAIFA KUKIPIGA NA SIMBA

Timu ya Azam FC imetua kibabe  kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam  kucheza dhidi ya Simba ukiwa ni...

READ MORE

Kagere Aitega Vibaya Simba

WAKATI kikosi cha Simba, leo hii kikitarajia kushuka uwanjani kupambana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, mshambuliaji...

READ MORE

Mkude: Pointi za Azam Zitatupa Ubingwa

KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amefunguka kuwa ni muhimu kwao kuifunga timu ambayo wako nayo katika harakati ya kuwania ubingwa,...

READ MORE

Zahera Aichangia Yanga Mamilioni

KLABU ya Yanga tayari imefanikiwa kukusanya zaidi ya Sh milioni 21.3 kupitia kampeni yao ya kuichangia timu hiyo iliyoanzishwa mwezi...

READ MORE

BINTI DANADANA AMKUNA DOLNALD TRUMP

UNAMKUMBUKA yule mdada ambaye alipata umaarufu kwa kupiga danadana na kuuchezea mpira? Habari ni kuwa uwezo wake huo umevuka mipaka...

READ MORE

Yanga Princess Yasajili Tisa

TIMU ya soka ya wanawake ya Yanga Princess, imeongeza nguvu katika kikosi chake baada ya kufanya usajili wa wachezaji tisa...

READ MORE

A-Z YANGA ILIVYOVUNJA MWIKO CCM KIRUMBA

TANGU ipande daraja timu ya soka ya Mbao FC ilikuwa haijawahi kufungwa na Yanga kwenye Uwanja wa CCM Kirumba wa...

READ MORE

Yanga Waifuata Kibabe Namungo

MSAFARA wa wachezaji 20 na Benchi la Ufundi la timu hiyo likiongozwa na Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera,...

READ MORE

Okwi Atangaza Hali ya Hatari Simba SC

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi amesema kuwa hakuna atakayebaki salama mbele yao kwa kuhakikisha wanashinda mechi zao zote ili...

READ MORE

Mikakati Mipya ya Tambwe ni hatari

  WAKATI kikosi cha Yanga, juzi Jumatano kikifanikiwa kuibuka na ushindi dhidi ya Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu...

READ MORE

Mo Dewji Amwaga Mabilioni Simba

MCHAKATO wa Klabu ya Simba kuelekea kwenye mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo unaelekea kuzuri na taarifa ni...

READ MORE

Manara, Mo Wakutanishwa na TFF

SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF) limeunda Kamati ya Saidia Taifa Stars ishinde ikiwa na wajumbe 14 wakiwemo Jerry Muro pamoja...

READ MORE

Yondani: Nyie Chongeni Mtajua Bingwa ni Nani

BEKI mkongwe wa Yanga, Kelvin Yondani amewaambia Simba waendelea kuchonga, lakini wataonana mwishoni mwa msimu wa Ligi Kuu Bara nani...

READ MORE

Chirwa Awachimba Mkwara Simba SC

  SIKU zote hizo alizocheza Azam, Obrey Chirwa hakufunga bao kwenye ligi lakini sikuchache kabla ya mechi ya Simba anaanza...

READ MORE

Simba yawatengea Waarabu dakika 180

UONGOZI wa Simba umepanga mipango kabambe ya kuitumia michezo yao ya karibuni dhidi ya Azam FC na Lipuli FC yeye...

READ MORE

Samatta Kutikisa Europa Leo Usiku

LEO kuna mechi 15 kwenye michuano Europa na mwanetu Mbwana Samatta yuko mzigoni. Genk leo saa 5 usiku itacheza na...

READ MORE

Yanga Yaipita Simba Pointi 19, Matokeo Mechi za Jana Yapo Hapa

KOCHA Mwinyi Zahera juzi aliwaambia mashabiki wa Yanga mjini Mwanza kwamba atavunja mwiko wa kufungwa na Mbao ndani ya Uwanja...

READ MORE

Wabunge wanne wapewa uongozi Yanga

KATIKA kuhakikisha wanaweka mambo sawa ndani ya Klabu ya Yanga, Wabunge wanne wameteuliwa kuungana na Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho...

READ MORE

Kocha: Kapombe akirudi Coulibaly atakaa nje

KOCHA wa Dodoma FC, inayopambania kucheza ligi kuu msimu ujao, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, amesema licha ya uwezo wa Mbukinafaso, Zana...

READ MORE

FT: Mbao 1-2 Yanga Uwanja wa CCM Kirumba

Full Time Mbao 1-2 Yanga 90 Zinakamilika zinaongezwa dakika 4 90 Zinakamilika zinaongezwa dakika 4 89 Yanga safari kwa Metacha...

READ MORE

Simba Yazoa Pointi Nane za Yanga Fasta

BAADA ya hivi karibuni Simba kuwachakaza vigogo Al Ahly na Yanga, jana Jumanne waliendeleza ubabe kwa kutoa dozi kwa mara...

READ MORE