×

Michezo

Ukitaka Kuifuata Simba ni mil 2

  SIMBA imeondoka jijini Dar es Salaam jana asubuhi kwenda Kinshasa watakakocheza na AS Vita Jumamosi saa 1 usiku katika...

READ MORE

Mtihani wa Congo na Misri utaivusha Simba

WAWAKILISHI pekee wa Ukanda wa Cecafa kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ni Simba ya Tanzania. Hakuna...

READ MORE

Higuain Kukiwasha Chelsea

DIRISHA la usajili mdogo wa Januari linaendelea na taarifa ni kuwa Klabu ya Chelsea hadi kufikia jana mchana, ilikuwa katika...

READ MORE

Wachezaji wa Simba walivyokutana na bil 11.5

VITA Club ambayo inacheza na Simba Jumamosi usiku jijini Kinshasa, imetenga bajeti ya Sh11.5 bilioni kwa msimu mzima wa 2018/19....

READ MORE

Simba walivyowavamia Wakongo kishujaa

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems amesema kuwa kikosi chake kipo imara kuwavaa AS Vita na wanatua kishujaa jijini Kinshasa...

READ MORE

Ibrahim Ajibu alivyoweka rekodi Taifa

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu ameweka rekodi mpya Uwanja wa Taifa katika mchezo waliocheza juzi dhidi ya Mwadui FC...

READ MORE

JAY-Z JAY-Z ANALITEKA SOKO LA SOKA

WIKI iliyopita kulikuwa na taarifa kuwa beki raia wa Cote d’Ivoire au Ivory Coast na Manchester United, Eric Bailly amesaini...

READ MORE

Wanajeshi Waiga Staili ya Makambo

STRAIKA wa Yanga raia wa DR Congo, Heritier Makambo, amewaambukiza aina ya ushangiliaji wake timu ya Wanawake ya JKT Queens,...

READ MORE

Ronaldo Abeba Taji la Kwanza Juve, Mayweather Ampongeza

BONDIA mstaafu Floyd Mayweather, juzi alipata nafasi ya kukutana na mastaa wa Juventus wakiongozwa na Cristiano Ronaldo baada ya timu...

READ MORE

Ole Apotezea Siti ya Mourinho, Achukua ya Ferguson

KOCHA Ole Gunnar Solskjaer ameamua kutumia staili ya ukaaji kwenye benchi la wachezaji kama ilivyokuwa ikifanywa na nguli wa timu...

READ MORE

Kotei Aahidi Kuwapoteza Wacongo

KIUNGO mkabaji wa Simba, Mghana James Kotei amefunguka kuwa wameenda kupambana na AS Vita Club kuhakikisha wanaondoka na ushindi.  ...

READ MORE

Zahera Ampatia Mbinu Ajibu Kuitwa Stars

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amedai kumpatia mbinu kabambe, kiungo wake mshambuliaji Ibrahim Ajibu ili aweze kuitwa na kocha...

READ MORE

Kazi kwa Ozil Kusuka au Kunyoa

MEZUT Ozil amekuwa na wakati mgumu kutokana na kusugua benchi kwa muda mrefu na sasa kumeibuka taarifa kuwa hatakiwi na...

READ MORE

Mbelgiji awashtukia Vita

  KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji ametamka kwamba anaelewa mechi yao na AS Vita itakuwa ngumu...

READ MORE

Samatta ni EPL tu wengine wasahau

BABA mzazi wa mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta, Mzee Ally Samatta atasimamia mwanaye atue ndani ya Ligi ya England...

READ MORE

Fabregas Aanza Mambo Monaco

MONACO inaelekea imelamba dume kwa kitendo chao cha kumsajili kiungo mkongwe, Cesc Fabregas. Fabregas alionyesha cheche zake kwenye mechi yake...

READ MORE

QNET YAWAPA HONGERA SHIRIKISHO LA SOKA AFIKA

Kampuni inayoongoza ya mauzo ya moja kwa  moja QNET, na mbia katika ligi ya mabingwa ya CAF, Kombe la Shirikisho...

READ MORE

SAMATTA ALIVYOWATEKA WAZUNGU

MBWANA Samatta amezidi kung’ara kwenye vyombo mbalimbali vya habari barani Ulaya kutokana na uwezo wake ndani ya uwanja. Samatta ambaye...

READ MORE

HAZARD, JAMES RODRIQUEZ WAWEKWA SOKONI

MASTAA Eden Hazard wa Chelsea na kiungo wa Real Madrid, James Rodriguez inasemekana wapo sokoni kuuzwa na klabu zao kipindi...

READ MORE

BEKI MATATA ANUKIA MAN U

MANCHESTER United imeamua kuwaweka mastaa wake wawili sokoni ili kufungua njia ya kumsajili beki wa Napoli, Kalidou Koulibaly. Kwa muda...

READ MORE

JKT Queens ‘Yaitafuna’ Simba Queens 1-0

KIKOSI cha Simba Queen jana kimepoteza mchezo wake wa kwanza mbele ya JKT Queens katika mchezo wa Ligi ya Wanawake...

READ MORE

MWANAHAMISI: YANGA NIMEWAFUNGA KWA MAKOSA YAO

MSHAMBULIAJI wa Simba Queens, Mwanahamisi Omary ‘Gaucho’ ameweka rekodi mpya katika medani ya soka la wanawake kufuatia kuwa mchezaji wa...

READ MORE

Manula Ampoteza Kipa wa Vita

MABINGWA watetezi Simba wa Ligi Kuu Bara, Jumamosi watakuwa nchini DR Congo kwenye Uwanja wa Martyrs kumenyana na AS Vita...

READ MORE

Kagere Atoa Kauli Nzito Kwa AS Vita

MSHAMBULIAJI wa Simba, Meddie Kagere, amesema wanakwenda DR Congo kupambana na hawataingia kinyonge. Kagere ametoa kauli hiyo wakati Simba, kesho...

READ MORE

Simba Queens na JKT Queens Vita ya Mashujaa

LEO Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania maarufu kama Serengeti Lite Women’s Premier League inaendelea ambapo vita kubwa inatarajiwa kuwa kati...

READ MORE

Mzungu Ashangaa Niyonzima Kukaa.. Benchi Simba

KOCHA wa Azam FC, Mholanzi Hans van Der Pluijm amefunguka kuwa kiwango ambacho Simba ilionyesha dhidi ya Waarabu kilikuwa bora...

READ MORE

Zahera Ataja Alipo Makambo

BAADA ya mshambuliaji wa Yanga, Heritier Makambo raia wa DR Congo kudaiwa kutoweka klabuni hapo huku taarifa zake zikiwa hazieleweki...

READ MORE

Joelle Bukuru… Mrundi Wa Simba Anayetamani Kuichezea Twiga Stars

  LIGI ya Wanawake inazidi kuunguruma kwenye viwanja tofauti huku vipaji kibao vikishuhudiwa kutoka katika timu 12 zinazoshiriki ligi hiyo...

READ MORE

Yanga Yaiacha Simba Pointi 20, Yaipiga Mwadui 3-1

KAMA unasubiri Yanga wapoteze mchezo msimu huu, hakika utasubiri sana. Hilo limeendelea kujidhihirisha jana wakati vijana hao wa Jangwani walipofanikiwa...

READ MORE

Waziri Mgumba awakumbusha wananchi faida za michezo

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe. Omary Mgumba, amewataka watu wa rika mbalimbali kuwa na kawaida ya kushiriki katika...

READ MORE

Kocha Simba si mtu mzuri, awafanyia umafia Waarabu

ILIZOELEKA katika mechi za nyumbani za Simba za Ligi ya Mabingwa Afrika, kocha mkuu wa timu hiyo, Mbelgiji, Patrick Aussems...

READ MORE

AZAM FC YATUA DAR KWA KISHINDO KUTOKA ZENJI

TIMU ya Azam FC imerejea jijini Dar es Salaam, mapema leo baada ya jana (Jumapili) kuibuka na ubingwa wa Mapinduzi...

READ MORE

Kesi Yanga ikiunguruma, Manji kurudi kwa kishindo

KUM EKUCHA Yanga! Hivyo ndi­vyo unavyoweza kusema baada ya taarifa mpya kuibuka klabuni hapo mara tu baa­da ya uchaguzi wa...

READ MORE

Jembe jipya Yanga kuibuka Taifa kesho

KIUNGO mpya wa Yanga, Mohammed Issa ‘Banka’, kesho Jumanne anatarajiwa kuibukia Uwanja wa Taifa wakati kikosi hicho kikipambana na Mwadui...

READ MORE

Mwana FA: Hata waje Barcelona kwa Simba hii hawatoki

MKALI wa michano Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, ameungana na msemaji wa Wekundu wa Msimbazi, Haji Manara, kusema kwamba hata Barcelona...

READ MORE

AZAM FC MABINGWA MARA TATU MFULULIZO KOMBE LA MAPINDUZI

TIMU ya Azam FC, imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba katika mchezo wa fainali ya Kombe...

READ MORE

Simba Queens Yaipiga Yanga Pricness Bao 7-0

 KIKOSI cha Simba Queens kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya Yanga Pricness katika mchezo wa Ligi ya...

READ MORE

Spurs v Man United…Vita ya Kibabe Kila Kona

MANCHESTER United na Tottenham Hotspur zinatazamiwa kuvaana leo Jumapili kwenye mechi kali ya Ligi Kuu England itakayopigwa kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Morata Anukia Atletico Madrid

KUNA taarifa kuwa Chelsea ipo tayari kumruhusu Alvaro Morata kujiunga na Atletico Madrid. Habari zaidi zinaeleza kuwa Morata anafukuziwa pia...

READ MORE