MANCHESTER United, juzi, ilimsajili mshambuliaji Alexies Sanchez ambapo kwenye mahojiano yake ya kwanza amesema kuwa amejiunga na timu kubwa duniani....
READ MORENIMEENDELEA kufuatilia mechi mbalimbali za Ligi Kuu Bara inayoendelea kutimua vumbi kwenye viwanja mbalimbali nchini. Naona upinzani unazidi kuongezeka...
READ MOREKIUNGO wa Yanga, Pius Buswita atakosa mchezo dhidi ya Azam kutokana na adhabu ya kadi tatu za njano huku Kelvin...
READ MOREKIKOSI cha Majimaji leo Jumatano kinatarajia kuingia jijini Dar ikiwa ni muda mfupi kabla ya kuvaana na wapinzani wao Simba...
READ MOREKLABU ya Soka ya Azam yaneema tena na mkataba mpya wa NMB baada ya kuonekana kuutendea haki mkataba wao...
READ MOREPRESS RELEASE January 22, 2018 Power on Fitness Gym iliyopo Mwenge, Kinondoni, Jijini Dar es Salaam imeandaa siku maalumu kwa...
READ MOREIKIWA ni saa chache baada tu ya kutua Arsenal akitokea Manchester United, Henrikh Mkhitaryan amesema atatumia jezi ya Man U...
READ MOREJeshi la Polisi Mkoani Kagera limethibitisha kumshikilia mlinzi wa Kagera Sugar Juma Said Nyosso kwa kosa la kumpiga shabiki anayeaminika...
READ MORERASMI Henrikh Mkhitaryan ametua Arsenal kama sehemu ya uhamisho wa mshambuliaji Alexis Sanchez kwenda Manchester United. Mkhitaryan amekabidhiwa jezi ya...
READ MOREFULL TIME Mwamuzi anamaliza mchezo, Simba wanaibuka na ushindi wa mabao 2-0. Dk ya 90+5: Kipa wa Kagera anauwahi mpira...
READ MOREMSHAMBULIAJI Alexis Sanchez raia wa Chile ameonekana akiwa katika uzi wa Manchester United namba 7 saa chache baada ya usajili...
READ MOREMWENYEKITI wa zamani wa Simba, Mzee Hassan Dalali ‘Handsome Boy’, ameanza harakati za kuhamasisha wanachama wa timu hiyo kwa ajili...
READ MORELICHA ya ushindi wa bao 7-1 dhidi ya Derpotivo la Coruna walioupata Real Madrid katika La Liga, mshambuliaji wake, wa...
READ MOREUJIO wa mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, umemfanya kocha msaidizi wa timu hiyo, Mrundi, Masoud Djuma kufumua kikosi chake...
READ MORESIMBA imepangua benchi la ufundi. Wameingiza sura mpya kuchukua nafasi ya Joseph Omog ambaye walimtimua hivi karibuni kwa maelezo kwamba...
READ MOREMPIRA UMEKWISHA DAKIKA YA 93 SUB Dk 81 Abdulrahman Mussa anakwenda nje Hamisi Mcha anachukua nafasi yake Dk 80, Yanga...
READ MOREAlexis Sanchez anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya muda wowote kuanzia sasa ndani ya Jiji la Manchester ili kukamilisha dili lake...
READ MOREWAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe leo ametembelea vijana wenye umri chini ya miaka 17, Serengeti...
READ MORELONDON, England ARSENAL chini ya kocha wake Arsene Wenger inapambana kuhakikisha inamsajili straika Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund ya Ujerumani....
READ MOREBARCELONA, Hispania MSIMU uliopita Barcelona ilikuwa nyanya, haikuweza kufurukuta mbele ya Real Madrid lakini msimu huu hadi sasa katika Ligi...
READ MOREKOCHA wa Singida United, Hans van Der Pluijm raia wa Uholanzi, amesema anaamini kipigo cha mabao 4-0 kutoka Simba kwa...
READ MOREKOCHA Msaidizi wa Simba, Masoud Djuma amesema kuwa ushindi ambao timu yake iliyoupata jana Alhamisi katika mchezo dhidi ya Singida...
READ MOREKIKOSI cha Simba, Alhamisi kilijitanua kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0...
READ MOREKIUNGO wa Simba, Said Ndemla, sasa anajiandaa kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuwepo Msimbazi huku ikielezwa lile dili la kwenda...
READ MOREKlabu ya Soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam, leo mchana imemtambulisha rasmi kocha wao mpya Raia wa...
READ MOREKikosi cha Yanga, kimeendelea na mazoezi yao ya kawaida kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo...
READ MORESTAA wa Arsenal, Alexis Sanchez anatarajiwa kusaini mkataba wa kujiunga na Manchester United muda wowote kuanzia sasa, inaelezwa kuwa...
READ MORELIONEL Messi wa Barcelona amemtumia ujumbe nyota wa zamani wa timu hiyo, Ronaldinho ambaye amestaafu kucheza soka la kulipwa. Kupitia...
READ MOREMwenyekiti wa Kamtai ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe ametoa zawadi ya gari kwa mchezaji wa Simba, Said Hamis...
READ MOREMPIRA UMEKWISHAA DAKIKA 93 DAKIKA 3 ZA NYONGEZA Dk 89, Kwasi anachonga kona fupi kwa Kichuya lakini mpra unaishia miguuni...
READ MOREMshambuliaji Alexis Sanchez ambaye muda wowote kuanzia sasa anatarajiwa kujiunga na Man United akitokea Arsenal, ametajwa kuwa ndiye mchezaji atakayekuwa...
READ MORE SPOTI HAUSI leo itakuletea uchambuzi murua huku wachambuzi wake wakijadili mambo mengi, mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania...
READ MOREKlabu ya Simba inayo furaha kubwa kuwajulisha Wanachama na washabiki wake kwamba imempata kocha wake mkuu mpya, Mfaransa Pierre Lechantre....
READ MOREPamoja na juhudi kubwa za Klabu ya Simba kufanya juhudi za kumficha kocha wake mpya Mfaransa, Gazeti la CHAMPIONI...
READ MOREAlexis Sanchez amekubali kujiunga na Manchester United, hii sasa ni rasmi. Kikubwa kinachosubiriwa ni uamuzi wa kiungo Henrikh Mkhitaryan ambaye...
READ MOREMENEJA Mkuu wa Man U, Jose Mourinho ameanza kufanya mazungumzo ili kufikia makubaliano na uongozi wa klabu hiyo ili aendelee...
READ MOREMeneja wa klabu ya Manchester United, Jose Mourinho amewasili katika uwanja wa Old Trafford siku ya Jumatano asubuhi huku ikiwa...
READ MOREMpira umekwisha, Yanga 0 – 0 Mwadui Fc. Yondani anamchezea madhambi mchezaji wa Mwadui, analambwa kadi ya njano....
READ MOREWINGA wa Arsenal, Theo Walcott amefuzu vipimo vya afya na kukubali dau la kujiunga na Klabu ya Evertonal. Taarifa...
READ MORENGULI wa soka nchini Brazil ambaye ni mshindi wa tuzo ya mwanasoka bora wa dunia Balon d’Or mwaka 2005, Ronaldo...
READ MORE