×

Michezo

Singida Kuzivaa Timu za Congo

KATIKA kuhakikisha kuwa timu ya Singida United, inafanya vema katika Ligi Kuu Bara msimu ujao, kocha mkuu wa timu hiyo,...

READ MORE

Hongera Global TV, TPBO Ngumi Zinataka Haki Wanasubiri

  KWANZA kabisa nichukue fursa hii, kuipongeza Kampuni ya Global Publishers kupitia runinga yake ya mtandaoni, Global TV Online, kwa...

READ MORE

Irving Aomba Kumkimbia James

PAMOJA na kwamba kila usajili kwenye Ligi Kuu ya Kikapu Marekani (NBA), umekuwa ukishangaza, lakini kama dili la Kyrie Irving...

READ MORE

USAJILI WA MANULA SIMBA BADO UTATA, SIKIA TAMKO LA BOSI WA AZAM

Wakati kikosi cha Simba kikiendelea kufanya maandalizi ya msimu ujao wa 2017/18 nchini Afrika Kusini, upande mwingine bado kuna utata...

READ MORE

USAJILI SIMBA, YANGA NI UTATA, KUMBE MAJINA YA OKWI, AJIBU HAYATAMBULIKI TFF

Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) limezikumbusha klabu zote ambazo zinasimamiwa na shirikisho hilo kuhakikisha zinamaliza zoezi lake la usajili...

READ MORE

YANGA YATANGAZA KUMSAJILI KIPA WA SERENGETI BOYS, ASAINI MIAKA MITANO

Baada ya tetesi ndani ya wiki kadhaa, hatimaye Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kipa chipukizi, Ramadhani Kabwili. Kipa huyo aliyekuwa...

READ MORE

Omog: Niyonzima Anakuja Wamekwisha

TAARIFA za ujio wa kiungo Mnyarwanda, Haruna Niyonzima ndani ya Simba zimemkosha kocha wa timu hiyo, Joseph Omog raia wa...

READ MORE

Lwandamina Ambadilishia Mbinu Ajibu

KOCHA Mkuu wa Yanga, George Lwandamina anatarajia kuanza program ya uwanjani, leo Jumatatu maalumu kwa wachezaji wake wapya kushika mfumo...

READ MORE

Zidane Alia Na Morata Kuondoka Agoma

KOCHA wa Real Madrid, Zinedine Zidane amesema timu yake ina uhaba wa washambuliaji baada ya kumuuza Alvaro Morata kwenda Chelsea....

READ MORE

MASTAA WA SIMBA WALIOKUWA RWANDA KUTIMKIA SAUZI LEO

Wachezaji wa kikosi cha Simba waliokuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wanatarajiwa kuondoka leo jijini...

READ MORE

Wazee Wampa Baraka Msuva Kwenda Morocco

Wazee wa Yanga umesema unamtakia mafanikio mema kiungo mshambuliaji wake, Simon Msuva anayetarajia kujiunga na Klabu ya Difaa El Jadidi...

READ MORE

Simba Kucheza Mechi Sauz Wiki Hii

KIKOSI cha Simba ambacho kimepiga kambi nchini Afrika Kusini, ndani ya wiki hii kitaanza kucheza mechi za kirafiki na timu...

READ MORE

Man U Yaitwanga Real Madrid, Sasa Kukutana na Barcelona

Manchester United imeshinda kwa penalti 2-1 dhidi ya Real Madrid katika mechi za michuano ya ICC iliyopigwa jijini California, Marekani....

READ MORE

Chichi Mawe na Israel Kamwamba Hakuna Mbabe (Pichaz + Video)

Bondia wa Tanzania Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’, amezichapa dhidi ya Israel Kamwamba kutoka nchini Malawi kwenye Ukumbi wa Dar Live...

READ MORE

NASIBU RAMADHAN AMTWANGA YOHANE BANDA KUTOKA MALAWI

  INSTALL GLOBAL PUBLISHERS APP sasa usipitwe na matukio PAKUA HAPA==>GLOBAL PUBLISHERS APP

READ MORE

HAJI MANARA: DEUS KASEKE KASHINDWA KUVUMILIA SWAUMU YANGA

    Muda mfupi baada ya kiungo Deus Kaseke kusajiliwa na Singida United akitokea Yanga, Ofisa Habari wa Klabu ya...

READ MORE

Pluijm: Najua Singida United Tunadharaulika Ila Watatukoma

KUELEKEA Ligi Kuu Bara msimu ujao, Kocha Mkuu wa Singida United, Mholanzi Hans Van Der Plujm amesema anafahamu wanadharaulika lakini...

READ MORE

YANGA: KWA MZIKI HUU, WALETENI TU

KOCHA wa Yanga, George Lwandamina amemaliza programu yake ya kwanza ya wiki mbili ya gym huku wachezaji wake wakiwa na...

READ MORE

Lebron, Rose Wanakimbiza Kwa Magari Makali Nba!

KILA Desemba 30, mcheza kikapu nyota LeBron James husherehekea sikukuu yake ya kuzaliwa, sasa ana umri wa miaka 32, lakini...

READ MORE

Mil 30 Zamponza Straika Yanga

DAU la shilingi milioni 30 limemponza mshambuliaji wa Yanga, Anthony Matheo na kusababisha uongozi wa timu kuliweka jina lake kando...

READ MORE

NGOMA YUPO FITI 100% ATUMA SALAMU

STRAIKA wa Yanga, Donald Ngoma ametuma salamu kwa mashabiki wa timu hiyo akisema kuwa yupo fiti asilimia 100 na Jumanne...

READ MORE

Mayanja: Huku Sauz Mambo Yetu Msipime

SIMBA imesema kambi yake ya Afrika Kusini inaendelea vizuri na makocha wamesema itawasaidia kuwajenga wachezaji wao kuhakikisha wanakuwa fiti kuelekea...

READ MORE

Samatta Aandika Historia Mbele ya Rooney, Aifunga Everton

  Mtanzania Mbwana Samatta ameandika historia ya kuwa Mtanzania aliyeweza kufunga bao dhidi ya timu ya Everton ambayo inashiriki Ligi...

READ MORE

UGANDA YAMPIGA MTU 5-1, TAIFA STARS YAONDOLEWA MICHUANO YA AFRIKA

  Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeondolewa katika mbio za kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Afrika kwa...

READ MORE

CHELSEA YAINYOA ARSENAL BILA MAJI

  Chelsea imefanikiwa kulipiza kisasi na kujizolea sifa kufuatia kushindwa kwao katika Kombe la FA miezi miwili iliyopita baada ya...

READ MORE

Morata: Jembe la Conte!

WAKATI Real Madrid ikisema bei ya straika wake Alvaro Morata, 24, inakadiriwa kuwa pauni milioni 60 (Sh bilioni 172), ilionekana...

READ MORE

RWANDA 0-0 TANZANIA ‘LIVE’ FULL TIME, KUFUZU CHAN 2018

FULL TIME Dakika ya 90 +3: Mwamuzi anamaliza mchezo. Mtokeo ni 0-0, Taifa Stars inaondolewa kwenye mbio za kuwania kufuzu...

READ MORE

Simba Waipigia Magoti Azam FC Kwa Manula

 UONGOZI wa Klabu ya Simba, umeipigia magoti Azam FC imruhusu Aishi Manula aweze kushiriki mazoezi na klabu hiyo mapema kwa...

READ MORE

Nyosso: Nenda Kawaambie Nyosso Karudi

BEKI mpya wa Kagera Sugar, Juma Nyosso ameibuka na kuweka wazi kuwa amerejea katika Ligi Kuu Bara kwa lengo moja...

READ MORE

Simba Usajili Huu Mahitaji ya Kocha?

KWENYE mitandao ya kijamii mtu mmoja jana alikuwa anapitisha ujumbe kwa njia ya utani akipanga kikosi kizima cha Simba tena...

READ MORE

Jerry Muro Aiponda Yanga, Adai Kuna Wanafiki

  Aliyekuwa msemaji wa Klabu ya Yanga, Jerry Muro amesema kuwa ilikufanikiwa katika utendaji ndani ya uongozi wa mabingwa hao...

READ MORE

Zanzibar Yafutiwa Uanachama wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF)

Zanzibar imefutiwa uanachama wake katika Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ikiwa ni miezi minne tu imepita tangu walipokubaliwa na kuwa...

READ MORE

Tizi la Pluijm Singida United, Wahenga Kazi Wanayo

  KOCHA Mkuu wa Singida United, Hans van Der Pluijm hataki utani katika kuiandaa timu yake kwani amekuwa akiwafanyisha mazoezi...

READ MORE

Mnyarwanda wa Singida United Awateka Mashabiki

  STRAIKA wa Singida United, Mnyarwanda, Danny Usengimana, ameonekana kuwateka mashabiki wa soka mkoani hapa kutokana na uwezo mkubwa wa...

READ MORE

Utabiri Wa Matokeo Wa Baadhi Ya Mechi Za Wikiendi Hii

HUU ni utabiri wa matokeo wa baadhi ya mechi za wikiendi hii, kuna dondoo za jinsi kampuni za michezo ya...

READ MORE

Ronaldo Anafyatua Tu!

  MIEZI kadhaa iliyopita, Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa akisema kuwa kwa jinsi serikali yake inavyofanya kazi,...

READ MORE

Man U Yaigonga Man City… Lukaku, Rashford Acha Kabisa!

  Manchester United imejipatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao wa jadi Manchester City katika derby ya kwanza...

READ MORE

Adebayor Anaitandika Tu Familia Yake!

KATIKA maisha kuna mambo mengi ambayo kwako yanaweza kuwa ni ya ajabu lakini kwa mtu mwingine, au jamii nyingine hicho...

READ MORE

EVANS AVEVA APANDISHWA MAHAKAMANI, ARUDISHWA RUMANDE, KABURU AKWAMA

Kesi ya madai ya utakatishaji fedha inayowakabili viongozi wa Simba, Rais Evans Aveva na Makamu wake, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ imetajwa...

READ MORE