×

Risasi

NITAENDELEA KUBADILI WANAUME – WOLPER

WAKATI mashabiki wakiwa bado wanamshangaa staa wa Bongo Muvi, Jacqueline Massawe ‘Wolper’ juu ya tabia yake ya kubadili wanaume kila...

READ MORE

Chenge: Sitaki Utani!

Mwezi mmoja na ushee ukiwa umekatika tangu aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini katika serikali ya awamu ya nne, William...

READ MORE

Mkojo Wa Wema Watikisa Mahakama

Wema Sepetu alivyofika mahakamani jana. KESI inayomkabili staa wa Bongo Muvi, Wema Sepetu, jana ilichukua sura mpya baada ya mawakili...

READ MORE

Vai: Pombe Ndio Tulizo La Mawazo Yangu!

  KARIBU mpendwa msomaji wa Mpaka Home, kama ilivyo kawaida ya kila wiki, safu hii inakuletea maisha halisi wanayoishi mastaa...

READ MORE

JOHARI: Sijawa ‘Used’ Bado Ninaheshimika

  STAA wa filamu za Kibongo toka kitambo, Blandinda Chagula ‘Johari’ ametema cheche kuwa hata kama ametumika muda mrefu kwenye...

READ MORE

Madai ya Petit Man Kumfumania Esma Undani ni Huu!

  NDOA ya mastaa wawili, Esma Abdulkadiri na Hamad Manungwa ‘Petit Man’ inadaiwa kuwa kwenye machafuko baada ya juzikati kuvuja...

READ MORE

FLORA, MBASHA HEBU ACHENI UTOTO

  Hakuna kazi ngumu kama kutoa ushauri kwa watu wenye mgogoro unaohusisha uhusiano wa kimapenzi, kwa sababu ni lazima upande...

READ MORE

Wastara Akiri Sadifa Juma Kumharibu Kisaikolojia

STAA mahiri wa Bongo Muvi, Wastara Juma ameibuka na kusema aliyekuwa mume wake wa tatu ambaye ni Mbunge wa Donge,...

READ MORE

Shilole: Umama N’tilie Umeniteka Kuliko Muziki

  MWANAM-UZIKI wa miondoko ya mduara, Zuwema Mohammed ‘Shilole’ ameweka wazi kuwa huenda akaukacha muziki siku za usoni kutokana na...

READ MORE

Sanchi Anunua Kiwanja cha Milioni 70!

  VIDEO Queen Jane Rimoy ‘Sanchi’ baada ya kufanya kazi zake za mitindo na upigaji picha amenunua kiwanja cha shilingi...

READ MORE

Wahuni wa Mwanza Wamng’oa Kucha Kajala

  STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja hivi karibuni yalimkuta makubwa jijini Mwanza baada kunyofolewa kucha na wahuni alipokuwa...

READ MORE

Malaika, Kiki Zingine Zinakushushia Heshima

  Asante Mwenyezi Mungu kwa pumzi uliyonipatia siku ya leo kwa kuweza tena kupata uwezo wa kuandika Barua Nzito kwa...

READ MORE

Zari Aleta Pozi Kaburini Kwa Mumewe Ivan

Zarinah Hassan maarufu kama Bossy Lady, ambaye ni mke wa zamani wa mfanyabiashara Ivan Ssemwanga, aliyefariki Mei mwaka huu, wiki...

READ MORE

Aunt Afuata Dawa ya Ubonge Thailand

MUIGIZAJI wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amesema alilazimika kusafiri hadi nchini Thailand kufuata dawa ya kupunguza unene baada ya kuona...

READ MORE

Kibiti: Mke Aliyepigwa Risasi 5, Mumewe Kuuawa Asimulia Mazito

  INATISHA sana! Hii ni simulizi ya mwanamke ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Rwaruke, Kibiti mkoani Pwani, Tabia Mbonde...

READ MORE

KAPO FEKI ZA MASTAA WA BONGO

MAISHA yana sarakasi na madoido mengi kupindukia. Huyu akiibuka na janga hili, yule anachomoza na kioja kile ilimradi tu dunia...

READ MORE

Profesa Jay Afunguka Wema Kukacha Harusi Yake

BAADA ya Jumamosi iliyopita Mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Haule ‘Profesa Jay’...

READ MORE

OFM Yabaini Utapeli Daraja la Kigamboni!

  Wakati Watanzania wakifurahia kukamilika na kuanza kutumika kwa daraja la kisasa la Kigamboni ambalo linaitwa Nyerere Bridge, mambo ya...

READ MORE

Dua kwa Wasanii Nazo ni Kiki?

  KUMEKUWA na tabia inayozidi kuota mizizi kwa baadhi ya wasanii, watangazaji na hata wafanyakazi wa nyanja mbalimbali kuamini katika...

READ MORE

Siku Chache Baada ya Kifo cha Mkewe, Mzee Yusuf Aoga Matusi Ukweni

  SIKU chache baada ya aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa Taarab Bongo, Alhaj Mzee Yusuf kufiwa na mkewe mdogo, Chiku Khamis,...

READ MORE

Cloud 112: Nafurahia maisha ya ndoa

  MAMBO vipi shabiki namba moja wa Mpaka Home? Natumai upo poa sana. Kama ilivyo ada ya safu hii ni...

READ MORE

NAY WA MITEGO NA WEWE UNATAKA KIKI

  NI True Boy tena, Emmanuel Elibariki maarufu kwa jina la Nay wa Mitego. Safari hii amekuja na kibao chake...

READ MORE

Awania Kuweka Kuweka Rekodi ya ‘HIPS’ Kubwa

MWANAMKE kibonge, Bobbi-Jo Westley (43) wa Pennyslvania, Marekani, mwenye uzito wa kilo 245.8 na kiuno cha sentimita 241.3 ameamua kwamba...

READ MORE

SHAMSA AFUNGUKIA NDOA YAKE KUTOJIBU

WAKATI ndoa yake na Rashid Said ‘Chid Mapenzi’ ikiwa na miezi kumi bila kujibu kwa kupata ujauzito, staa wa filamu...

READ MORE

Lulu Aweka Rekodi Serikali ya JPM

  IMEVUJA! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, anatajwa kuwa ndiye staa pekee wa kike Bongo aliyeweka...

READ MORE

Siri za Wabunge Warembo Zavuja, Maisha yao ya Kimapenzi…

WAKATI Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivi sasa likionekana kujawa na vijana wengi, wakiwa ni wawakilishi wa majimbo...

READ MORE

Saida Karoli: Nilijua Ipo Siku Nitainuka

MWANAMUZIKI maarufu wa nyimbo za asili, Saida Karoli ambaye hivi sasa anatamba na wimbo wake uitwao Orugamba, amefunguka kuwa japokuwa...

READ MORE

Shilole: Mfungo Umeisha, Nakuja

STAA wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ambao ulimfanya...

READ MORE

Kidoa si wa Mchezo Mchezo!

MSANII wa filamu Bongo, Asha Salumu ‘Kidoa` amethibitisha kuwa yeye sasa siyo wa mchezomchezo baada ya kufanikiwa kumiliki nyumba maeneo...

READ MORE

Y -TONY: MUDA UKIFIKA LAZIMA ‘NITUSUE’

WIMBI la vijana wenye uwezo wa kweli katika Muziki wa Kizazi Kipya linazidi kuchipua. Orodha yao ni ndefu lakini hapa...

READ MORE

Gigy Akiri Kutoa Mimba Mbili

MUUZA sura kwenye video za wasanii Bongo, ambaye mwili wake ‘umepukutika’ ghafla, Gift Stanford maarufu kama Gigy Money, amekiri kutoa...

READ MORE

Isabela ashtukia kuporwa mabwana

MSANII wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ameibuka na kueleza kuwa ameshtukia namna wasanii wa kike wanavyomuibia mabwana zake na sasa...

READ MORE

Maumivu kabla ya hedhi (Premenstrual Syndrome-PMS)

WANAWAKE wengi wamekuwa na tatizo la kusikia maumivu kabla ya hedhi zao na kuniomba nifafanue kuhusu tatizo hilo, leo nitafanya...

READ MORE

Aunt Ezekiel, Kama Sikusomi Vile!

Nianze kwa kuwashukuru wasomaji wote wa safu hii ambao mara kwa mara wamekuwa pamoja nami kwa kunipa ushauri na nasaha...

READ MORE

Pilau ya Nafaka na Nyama ya Kusaga

LEO ka­tika safu hii ya Mapishi ya Leo, tunaangalia jinsi ya kupika pilau ya nafaka na nyama ya kusaga kama...

READ MORE

AIBU! Baba Adakwa na Polisi Akidaiwa Kufosi Penzi la MwanaYe wa Kumzaa (Pichaz + Video)

  PWANI: Dunia ime­kwisha! Fadhil Msha­mu, mkazi wa Kibaha Kwa Mfipa mkoani Pwani, Jumanne iliyopita ali­kumbwa na aibu kubwa, baa­da...

READ MORE

Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Yusuf Mlela

  KAMA kawa, kama dawa, kila Jumamosi katika safu hii ya Mpaka Home tunakuletea maisha ya staa mmoja wa Kibongo...

READ MORE

Kajala Asimulia Mimba Yake Ilivyotoka!

MIEZI kadhaa iliyopita, mkali wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ aliripotiwa kunasa ujauzito ambao uligeuka matangazo kwenye baadhi ya...

READ MORE

Mzee Yusuf Awataka Leila na Khadija Wajisuluhishe

  INATIA HURUMA! Zikiwa zimepita siku kumi tangu apate pigo la kufiwa na mkewe mdogo, Chiku Khamis, aliyekuwa Mfalme wa...

READ MORE

Wanafunzi Majeruhi Ajali ya Arusha… Maombi Yamejibu

  SIKU 46 tangu wanafunzi watatu wa Shule ya Msingi Lucky Vincent ya jijini Arusha wafike nchini Marekani kwa ajili...

READ MORE