×

Uwazi

NAMUONA LULU NDANI YA JENNIFER KANUMBA

KWA wafuatiliaji wa filamu tangu enzi zile ambazo filamu ilikuwa filamu kwelikweli, watakuwa wanamkumbuka vizuri binti mdogo aliyekuwa akifahamika kwa...

READ MORE

DONDOO MUHIMU ZA KUNOGESHA PENZI KWA WANANDOA

KWANZA namshukuru Mungu kwa kunijaalia afya njema na pia kwa kunipa nguvu ya kuandika hiki ninachokusudia. Ungana nami ili ujifunze...

READ MORE

MIFUKO YA PLASTIKI YAANDIKA HISTORIA!

DAR ES SALAAM: Katazo la matumizi ya mifuko ya plastiki nchini limeanza kutekelezwa Jumamosi iliyopita nchi nzima na tayari jijini...

READ MORE

KWA HILI MLILOLIFANYA LULU DIVA, SANCHI MTASUBIRI TENA RAMADHANI 2020 ?

MWEZI Mtukufu wa Ramadhani ndiyo unaishia hivyo. Ulianza kama masihara masihara hivi, mara moja… mbili…tatu…, ile kushituka mwezi umegawanyika na...

READ MORE

VYAKULA VINAVYOSAIDIA KUPUNGUZA UZITO/UNENE !

MOJA kati ya matatizo yanayowakumba watu wengi kwa kizazi cha sasa ni tatizo la uzito. Tatizo hili limekuwa chanzo cha...

READ MORE

ATHARI KIAFYA ZA KUTOKUNYWA MAJI YA KUTOSHA!

WATU wengi wanadharau maji ya kunywa, wanaona kula ndio muhimu kuliko kunywa maji. Wanaona vinywaji vingine ndio bora kuliko kunywa...

READ MORE

WAZIRI AIBUA KIKOMBE CHA BABU WA LOLIONDO

WAZIRI wa Nishati Dk. Medard Kalemani, mwishoni mwa wiki iliyopita aliibua upya ishu ya kikombe cha Babu wa Loliondo baada...

READ MORE

VYAKULA KWA WENYE KISUKARI WAKATI WA MFUNGO

MWEZI Mtukufu wa Ramadhani unaendelea, waislamu wote duniani wapo katika mfungo huu, ibada ambayo pamoja na mambo mengine inawataka wafunge...

READ MORE

NEVER GIVE UP YA HARMONIZE NA ELIMU YA KUKATA TAMAA KIBWEGE!

usiku nikiwa ndani ya gari yangu maeneo ya Mwenge jijini Dar kuelekea nyumbani kwangu Goba. Ni eneo linalosifika sana kwa...

READ MORE

MADAI MAZITO ASKARI WAUA RAIA KWA MAPANGA

ASKARI wa Maliasili eneo la Kola, Kisarawe Mkoani Pwani, wameangushiwa madai mazito ya kumuua raia mmoja aliyefahamika kwa jina la...

READ MORE

BOMOABOMOA MWENGE…UTAPELI WAIBUKA

KUFA kufaana! Ndivyo ilivyokuwa baada ya zoezi la bomoabomoa kufanyika juzi katika Kituo cha Daladala cha Mwenge jijini Dar ambapo...

READ MORE

USIJIENDEKEZE, USIPOANGALIA UTAKUFA BURE KWA WIVU

ASSALAM Alaikum! Ni furaha yangu kwa mara nyingine tena kukutana nawe kwenye safu yetu hii ya Love Zone. Tumshukuru Muumba...

READ MORE

YAJUE MAGONJWA YENYE UHUSIANO NA UKIMWI

WENGI tunajua tatizo la Ukimwi; kirefu chake ni Upungufu wa Kinga Mwilini, ni ugonjwa unaoshambulia na kuua chembe chembe nyeupe...

READ MORE

SKENDO YA UNGA… SHAMIM AALIVYOMUIBUA JACK PATRICK

DAR ES SALAAM: Skendo mbichi ya unga inamhusu mjasiriamali maarufu jijini Dar es Salaam, Shamim Mwasa na mumewe Abdul Nsembo...

READ MORE

BABA ALIYENASWA LAIVU NA MGUU WA MWANAYE UNDANI NI HUU!

MBEYA: Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Tukio la baba aliyefahamika kwa jina la Tatizo Yahya Japhet Nguku (37), mkazi...

READ MORE

YAJUE YANAYOSABABISHA UGUMBA KWA WANAWAKE !

MOJA ya sababu kubwa inayomfanya mwanamke kuwa mgumba ni ile ya mirija ya uzazi ya mwanamke kuvimba kwa kujaa majimaji...

READ MORE

UMUHIMU WA KULA TENDE WAKATI WA MFUNGO

LEO katika makala haya, yataangazia ulaji wa tende, na kwa kuzingatia kuwa huu ni Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, tende ndiyo...

READ MORE

KUMVUMILIA ASIYEVUMILIKA PENZINI NI HATARI, FANYA MAAMUZI!

KATIKA lugha ya Kiswahili kuna misemo mingi inayotoa muongozo wa namna tunavyoweza kuyaendesha maisha yetu. Ipo misemo ambayo unaweza kudhani...

READ MORE

TISHIO MAUAJI WALINZI DAR!

DAR ES SALAAM: SHABAHA ya jambazi kumvizia mlinzi na kumjeruhi au kumuua ni ili aweze kupora mali; inapotokea akafanya hivyo...

READ MORE

40 IMETIMIA! ‘ALIYECHEZEA SHARUBU’ SERIKALI YA JPM ANASWA

40 YAKE IMETIMIA! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia tukio la Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza kumnasa kijana aliyefahamika kwa jina la...

READ MORE

WANANDOA BONGO WALIONASWA KWA MADAWA YA KULEVYA…MAPYA YAANIKWA!

NYUMA ya matukio ya wanandoa kunaswa kwa tuhuma za biashara ya madawa ya kulevya, kuna mambo mapya yameanikwa, Uwazi limedokezwa. ...

READ MORE

MBASHA AMAINDI INJILI KUTHAMINIWA MSIBANI

MSANII wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha ameonesha kutofurahishwa na kitendo cha nyimbo zao kupigwa nyakati za misiba tu kisha...

READ MORE

I AM SORRY DEAR ZINAVYOZOROTESHA PENZI!

KWA wale walio katika mapenzi matamu na ya kweli watakubaliana na mimi kuwa mapenzi yenye amani na masikilizano ni kama...

READ MORE

MREMBO AJIRUSHA GHOROFANI AFARIKI DUNIA KIKATILI

MREMBO aliyefahamika kwa jina moja la Khadija anadaiwa kujirusha kutoka ghorofani na kufariki dunia ambapo mpenzi wake aliyetajwa kwa jina...

READ MORE

KUJIVUA NGUO KWA LUGOLA, KUCHEPUKA KWA RC GUMZO!

KAULI mbili za viongozi wa Serikali, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila na Waziri wa Mambo ya Ndani ya...

READ MORE

WEMA YUPI UNATAMANI AWE WEMA WA LEO?

MWAKA 2006 alipoibuka kidedea kwenye mashindano ya Miss Tanzania, hapo ndipo mwanadada Wema Isack Sepetu ‘Madam’ alipoanza kung’ara. Wakati huo...

READ MORE

IFAHAMU PRESHA YA KUSHUKA (HYPOTENSION)

PRESHA ya kupanda ndio maarufu duniani lakini ipo presha ya kushuka ambayo nayo ni hatari.  Hypotension ndio jina linalotumika kuelezea...

READ MORE

KAMA NI MZINGUAJI KWA NINI USUBIRI AKUACHE?

WATAALAM wa masuala ya mapenzi wanaeleza kuwa, unapokuwa katika uhusiano na mtu uliyetokea kumpenda sana, usimkabidhi moyo wako wote kwanza. ...

READ MORE

ALIYEKUFA AJALI YA MWENDOKASI MAPYA YAIBUKA!

KILOSA: Moja ya ajali mbaya zilizotokea katika msimu huu wa Sikukuu ya Pasaka ni pamoja na ile iliyotekea siku ya...

READ MORE

AMINI TRUE LOVE NEVER DIE !

NI kitambo kidogo mambo yamekuwa ni moto kati ya wasanii wa muziki Bongo, Amini Mwinyimkuu na Asterlina Sanga ‘Linah’. Awali...

READ MORE

UNAFANYA NINI ZAIDI YA KUMWAMBIA NAKUPENDA?

JAMBO la kufurahisha ni kwamba, ukifungua ukurasa huu, unakuwa na uhakika wa kuongeza kitu kipya katika maisha yako ya kimapenzi....

READ MORE

AMA KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA…MAMA AOZA HUKU AKITEMBEA

HICHO ndicho anachokutana nacho mwanamama Rhobi Mwita Chacha, mkazi wa Sirari-Tarime mkoani Mara ambaye amejikuta akioza huku akitembea.  Rhobi hana...

READ MORE

MSHANGAO HAUSIBOI ANASWA LIVE AMEVAA NGUO ZA BOSI WAKE WA KIKE

HEE! Ndivyo unavyoweza kupata mshangao baada ya kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Jack, Mkazi wa Mikocheni A jijini Dar,...

READ MORE

KWA HILI MAMA WEMA ANAJIPA PRESHA ZA BURE!

LENGO la makala haya ni kueleza jinsi mama wa staa mkubwa Bongo, Wema Sepetu, Miriam Sepetu anavyojitafutia presha za bure...

READ MORE

MZUNGU AGEUZA KITUO CHA WATOTO YATIMA KUWA DANGURO

UKISHANGAA ya Musa utayaona ya firauni! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia Mjerumani, Bernhard Bery Glaser, kukamatwa na Jeshi la Polisi...

READ MORE

MAUMIVU TUMBONI YALETWAYO NA KIDONDA CHA TUMBO !

MAUMIVU tumboni ambayo huja mara kwa mara yanaweza kuwa yanasababishwa na kidonda cha tumbo.   Maumivu ya kidonda cha tumbo...

READ MORE

YANAYOFANYA MKE KUTEMBEA NA RAFIKI WA MUME

UNAPOKUWA umeingia kwenye ndoa na mwanamke, utambue ana wanaume wengi wanaomtaka lakini huenda anawaka­talia kwa kuwa yuko na wewe.   ...

READ MORE

PIERRE AFUNGUKA KUIBIWA JINA NA DUDU BAYA

JAMAA aliyejizolea umaarufu nchini kwa staili yake ya kuchapa maji, Peter Mollel maarufu kwa jina la Pierre Konki amemuelezea msanii...

READ MORE

K-LYNN ‘ACHOMOA’ KUTOA BURUDANI

MREMBO aliyewahi kutamba kwenye anga la Kizazi Kipya akitumia jina la K-Lynn, Jacqueline Ntuyabalilwe (sasa hivi Jacqueline Mengi) juzikati alichomolea...

READ MORE

USIOMBE YAKUKUTE… MREMBO YAMFIKA MAZITO MTAANI

“WALIANZA kunipigia ndani, baadaye wakanitoa nje wakaanza kunitembeza mtaani huku wakinipiga.” Simulizi ya Anastazia Ernest mkazi wa Mbagala jijini Dar...

READ MORE