×

Mkazi wa Morogoro Ahitimisha Sportpesa Bet Bonanza na Tsh. 15,888,000

MKAZI wa Lukobe, Morogoro, George Kimaro leo asubuhi ameibuka mshindi wa kufungia kampeni ya Bet Bonanza ya Sportpesa, baada ya...

READ MORE

Ripoti ya CAG Yabaini Ubadhilifu Mkubwa wa Fedha Mamlaka ya Bandari

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ametoa ripoti yake ya ukaguzi wa hesabu za serikali mbele ya...

READ MORE

Orlando Pirates Yaifanyia Umafia Simba Bongo, Mashushushu Watumwa Kuwachunguza

IMEELEZWA kuwa mashushushu wa Orlando Pirates ya nchini Afrika Kusini, wapo nchini tangu wiki iliyopita wakiwafuatilia kwa ukaribu wapinzani wao,...

READ MORE

CAG Kichere: Bil 18.5/- Zilizokusanywa na KADCO Hazikupelekwa TRA – Video

KIASI cha Sh 18.5 bilioni zilizokusanywa na Kampuni ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KADCO) kama malipo ya...

READ MORE

Raia Nchini Kenya Achemshwa na Tanuri Hadi Kufa, ni Mfanyakazi wa Kiwandani

INGAWA wanasema “”kufa ni kufa” lakini kuna vifo vingine huambatana na mateso makali Jamaa mmoja nchini Kenya aitwaye Caleb Otieno,...

READ MORE

Breaking; Kiwanda cha Mikate Mikocheni Industrial Area Kikiungua Moto Muda Huu

Kiwanda cha mikate kilichopo Mikocheni Industrial Area kikiungua moto muda huu, kinachoendelea kwa sasa ni shughuli za kuuzima moto huo...

READ MORE

Baada ya Kutoa Onyo, Urusi Yasogeza Zana za Kivita Kwenye Mpaka Wake na Finland

HIVI karibuni Urusi ilitoa onyo juu ya mataifa mawili ya Finland na Sweden kuhusu mpango wao wa kujiunga na NATO...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Equity Ikulu Jijini Dar Leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 12, 2022 amekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki...

READ MORE

Bondia Hassan Mwakinyo Atoa Tamko Baada ya Kuvuliwa Ubingwa wa ABU

BONDIA Hassan Mwakinyo ametoa tamko baada ya kuvuliwa taji la ubingwa wa African Boxing Union ‘ABU’ kufuatia kushindwa kulitetea kwa...

READ MORE

Video: Simba Wazindua Kampeni Kuelekea Mchezo Dhidi Ya Orlando Pirates, Ahmed Ally Atema Cheche

Klabu ya Simba leo Aprili 12, 2022 wamezindua kampeni ya hamasa kwa mashabiki kujitokeza kwenye mchezo dhidi ya Orlando Pirates...

READ MORE

Ajali ya Gari Yaua 6 na Kujeruhi 19 Mkoani Tanga, Chanzo Mwendokasi wa Dereva

WATU sita wamepoteza maisha na wengine 19 wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka wilayani Korogwe, mkoani...

READ MORE

Baada ya Kusubiri Sana, Diamond Atambulisha Dili la Airtel kama Mpenzi Wake

NYOTA wa Muziki nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz usiku wa kuamkia leo ameingia...

READ MORE

Huko nchini Ghana, Shabiki Aingia Uwanjani Kushangilia Akiwa Uchi Wa Mnyama

SHABIKI mmoja wa klabu wa Asante Kotoko, Martin Kyei (32) amewaacha watu hoi baada ya kuvua nguo zote na kubaki...

READ MORE

Baada ya Makonda Kuandika Ujumbe Mtandaoni, Manara Amuwashia Moto

BAADA ya jana, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram...

READ MORE

TFF, TPLB Sogezeni Macho Yenu Championship Makosa ya Waamuzi, Mechi Zimebaki Sita

MWENDO wa Ligi Daraja la Kwanza umeongeza mvuto kwa kiasi kikubwa wakati ligi hiyo ikiwa inakwenda ukingoni.   Vinara ni...

READ MORE

Live: Wabunge Wanajenga Hoja Nzito Kwa Serikali, Bunge La 12, Mkutano Wa 7, Kikao Cha 5.

Kikao cha tano kinaendelea leo Aprili 12, 2022 Bungeni Dodoma. Wabunge wanauliza maswali na kujibiwa na Serikali. 

READ MORE

Hakuna Mkate Mgumu… Kajala Aanza Kumlegezea Harmo Kuhusu Ombi la Kurudiana

Kuna msemo maarufu mtaani hasa kwa vijana kwamba hakuna mkate mgumu mbele ya kikombe cha chai ya rangi! Huwenda hicho...

READ MORE

Zelensky Ampigia Simu Rais wa Senegal, Ataka Kuongea na Umoja wa Afrika

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewasiliana na rais wa Senegal Macky Sall ambaye ndiye Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU)...

READ MORE

Marioo, Mimi Mars Wasafisha Nyota, Waweka Mubashara Penzi Lao, Watabiriwa Makubwa

Kwa muda mrefu wasanii wa muziki nchini Tanzania, Marioo na Mimi Mars wamedaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi, lakini wakawa...

READ MORE