×

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Exim ‘Weka Mkwanja Tukutoe’ Yazidi Kupepea

Dar es Salaam; January 3, 2022: Benki ya Exim imetangaza washindi wa droo ya pili ya kampeni ya ‘Weka Mkwanja...

READ MORE

Simba Yazindua Jezi Mpya Tena

KLABU ya Simba wamezindua jezi zao mpya leo Jumatatu, Januari 3, 2022, kuelekea mchezo wao katika Michuano ya Mapinduzi Cup....

READ MORE

Ombi la Sabaya Lakubaliwa Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imekubali ombi la mawakili upande wa utetezi kuondoa ushahidi wa picha za CCTV zilizokuwa ziwasilishwe...

READ MORE

Kauli ya Ahmed Ally Baada ya Kupata Shavu Simba

Ahmed Ally, Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Simba SC amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kupata...

READ MORE

Simba Waizidi Ujanja Yanga, Kumalizana na Bonge la Beki

SIMBA muda wowote watakamilisha usajili wa beki wa kati wa Biashara United, Abdoulmajid Mangalo katika usajili huu wa dirisha dogo...

READ MORE

Ishu ya Madawa ya Kulevya, Kamanda Shilla Awaonya Polisi Airport

KAMANDA wa Polisi wa Viwanja vya Ndege nchini, Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Jeremiah Shilla amewaagiza Polisi katika Uwanja wa...

READ MORE

Mchungaji Awaogesha Wanawake

HAYA ni maajabu ya fungua mwaka! Mchungaji wa kanisa moja nchini Ghana katika mitandao ya kijamii akiwavua nguo wanawake tena...

READ MORE

Rais Amtumbua Mkurugenzi Mkuu Shirika la Utangazaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika...

READ MORE

Try Again: Simba Itaitikisa Afrika

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah ‘Try again’, amesema mipango ya Simba kwa sasa ni kutawala soka...

READ MORE

Mane, Mendi Warejea Kwenye AFCON

Nyota wa kikosi cha Liverpool Sadio Mane na mlinda lango namba moja wa Chelsea Eduardo Mendy wamesafiri pamoja kurejea nyumbani...

READ MORE

Nkane Kumng’oa Kaseke Yanga

Kiungo Mkongwe Deusi Kaseke huenda akaguswa na maamuzi ya Benchi la Ufundi la Young Africans ya kumtoa kwa mkopo mmoja...

READ MORE

Simba Yashusha Mashine Mbili

SIMBA sasa ni wazi imeamua kujibu mapigo ya watani zao Klabu ya Yanga kwenye suala la usajili mara baada ya...

READ MORE

Uamuzi Mdogo Kesi ya Sabaya Leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo Jumatatu Januari 3, 2022 imepanga kutoa uamuzi mdogo wa pingamizi lililowasilishwa na mawakili wa...

READ MORE

Pacha Wawili wazaliwa, Watofautiana Mwaka

Mwanamke mmoja kutoka mji wa California nchini Marekani, Fatima Madrigal amejifungua watoto mapacha wawili waliopishana dakika 15, mmoja akizaliwa mwaka...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Sudan Ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Sudan, Abdallah Hamdok ametangaza kujiuzulu wadhifa huo jana Jumapili Januari 2, 2022. Hamdok ameachia wadhifa huo jana...

READ MORE

Spika Ndugai Amuomba Radhi Rais Samia – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai amemuomba radhi Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote kwa...

READ MORE

Kenya: Al Shabaab Wavamia Kijiji, Waua Sita

Takriban watu sita wameuawa na vijiji kuchomwa moto na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabab katika mji wa pwani...

READ MORE

Rais Samia Awalilia 14 Waliokufa Ajalini Mtwara

RAIS Samia Suluhu ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti kufuatiwa vifo...

READ MORE

Ndugai: Ile Clip Imetengenezwa – Video

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema katika hotuba yake aliyoitoa hivi karibuni hakukuwa na hapakuwa na jambo la...

READ MORE