×

Sure Boy: Mimi Siwezi Kukosa Nafasi Yanga

KIUNGO mpya wa Yanga, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, amevunja ukimya juu ya nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha timu hiyo...

READ MORE

Skendo ya Walimu Kufanya Mapenzi na Wanafunzi Yatikisa

MWAKA 2021 unapokaribia kutamatika, baadhi ya walimu wa shule mbalimbali wanauaga kwa skendo ya kujihusisha kimapenzi na wanafunzi wao.  ...

READ MORE

Miji Ambayo Tayari Mpaka Sasa Imeshaingia 2022

WAKATI Tanzania na baadhi ya nchi kote ulimwenguni ikiwa inahesabu saa kadhaa hadi kufika Januari 1, 2022, kuna nchi na...

READ MORE

Namungo Watangaza Makocha Wapya

Klabu ya Namungo imetangaza benchi jipya la ufundi la klabu hiyo. Imemtambulisha Hanour Janza ambaye ni raia wa Zambia kuwa...

READ MORE

Mwanamke Aliyeuawa Arusha Alipigwa Jembe Kichwani

MKAZI wa Njiro jijini Arusha, Jenerose Dewasi (66) amebainika ameuawa baada ya kupigwa na jembe kichwani. Akizungumza na Mwananchi msibani...

READ MORE

Mhudumu wa Baa Akamatwa kwa Mauaji Wakigombea Sh2,500

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia mhudumu wa baa Pendo Mwakifamba (21) kwa tuhuma za mauaji ya Hilda Mwambona (25)...

READ MORE

Mke Amuua Mumewe kwa Kumchoma Moto

Mwalimu wa Sekondari ya New Kiomboi mkoani Singida, Simon Roman (33) amefariki dunia baada ya kuchomwa moto na mkewe sababu...

READ MORE

🔴#LIVE: Maandalizi Ya Wakati Wako, Kuelekea Kumaliza Mwaka 2021 | Mawaidha Ya Kiislam..

KARIBU utazame kipindi cha ‘MAWAIDHA YA KIISLAM’ kilichosheheni maudhui ya dini ya kiislam kutoka kwa Sheikh Ahmed Kandauma. 

READ MORE

Sure Boy Amuondoa Mukoko Yanga

HUENDA kiungo mkabaji wa Yanga, Mkongomani, Mukoko Tonombe akatua kwa mkopo Azam FC katika usajili huu wa dirisha dogo. Usajili...

READ MORE

Diarra Ampa Mbinu Mshery Yanga

BAADA ya kutua Yanga, kipa Aboutwaleeb Mshery, amefunguka kuwa ana matumaini makubwa yakupata nafasi katika kikosi cha kocha Nabi kwani...

READ MORE

Van Persie Amlilia Gyan

MCHEZAJI wa zamani wa Manchester United na Arsenal, Robin van Persie ametuma salamu za rambirambi na kutoa heshima kwa mchezaji...

READ MORE

Zlatan: Mabao Mengi ya Pele ya Offside

Mshambuliaji wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic hajaonesha kukubali uwezo wa mfalme wa Soka kutoka nchini Brazil Pele. Licha ya Pele...

READ MORE

Kisubi: Utu Wangu ni Bora Kuliko Kitu

  ALIYEKUWA kipa wa Simba Sc, Jeremiah Kisubi amewashukuru uongozi na mashabiki wa klabu hiyo kwa kipindi alichohudumu huku akisema...

READ MORE

Pablo Amhofia Chama Shirikisho Afrika

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco, ameichungulia droo ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrikana kufunguka kuwa, wanatarajia...

READ MORE

Babu Tale: Bila Mke ni Mtihani

Maneja wa Diamond Platnumz ambaye pia ni Mbunge Morogoro Kusini Mashariki, Hamisi Taletale ‘Babu Tale’ amefunguka tena kwa mara nyingine...

READ MORE

Benki Yakosea Kuwaingizia Wateja Mamilioni ya Fedha

Benki ya Santander nchini Uingereza imejikuta mdomo wazi baada ya kugundua kwamba iliweka kimakosa pesa zinazofikia $ milioni 175 (Tsh....

READ MORE

CCM Wamkomalia Ndugai

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameendelea kukaliwa ‘koo’ na chama chake baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa...

READ MORE

🔴#Live: Nabi Afunga Usajili Na Mashine Mbili Matata, Nyoni Out Simba, Ajibu Huyoo Azam | Krosi Dongo

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi… 

READ MORE

Mume Amkata Masikio ‘Mkewe’ na Kusepa Nayo – Video

Mkazi wa eneo la Bible Mjini Sumbawanga, mkoani Rukwa, Doricas Richard mwenye umri wa miaka 23 anauguza majeraha baada ya...

READ MORE

Waifadhi Wa TFS Kanda ya Mashariki Wavishwa Vyeo

  MAOFISA 15 na Askari 34 wa Jeshi la Uhifadhi Wakala wa Huduma Za Misitu Tanzania(TFS) Wamevalishwa Vyeo Kwa Lengo...

READ MORE