×

Wikiendi Ya Moto Ulaya: Timu Kubwa Zarejea Majukani Kusaka Alama Tatu

Wiki hii imekuwa nzuri sana kwa wale wanaoutumia Meridianbet kufanya ubashiri kwani timu za ushindi zipo hapa leo. ODDS KUBWA...

READ MORE

Mexime Apokea Changamoto Mbeya City, Kuikoa Kutoshuka Daraja

Baada ya mwanzo mgumu wa msimu, Mbeya City wamemkabidhi timu kocha Mecky Mexime huku jukumu lake kuu likiwa kuhakikisha klabu...

READ MORE

Mashirika ya Umma Yasiyofanya Vizuri Kufutwa au Kuunganishwa

Serikali imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa endapo hayatachukua hatua...

READ MORE

TRA United Yachukua Pointi Tatu Ugenini Baada ya Kuicharaza Singida 3–1

Singida Black Stars wameendelea kukumbana na wakati mgumu kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kupoteza kwa mabao...

READ MORE

Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025

Dar es Salaam. Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake zimetwaa ubingwa...

READ MORE

Afande Sele Afunga Ndoa na Wema Makongoro Morogoro

Mkali wa Rhymes Tanzania, Rappa Seleman Msindi maarufu kama Afande Sele, amefunga ndoa na mpenzi wake Wema Raphael Makongoro katika...

READ MORE

Matola Amethibitisha Simba, Sasa Ni Zamu Ya Kumpa Majukumu Makubwa

Dunia ya leo klabu nyingi kubwa zimekuwa zikiwapa nafasi wachezaji wao wa zamani kwa kustahili, si kwa sababu tu waliwahi...

READ MORE

Msimu wa Zawadi Bab Kubwa Na Holiday Drops – Christmas

Tunapoukaribisha msimu wa sherehe za mwisho wa mwaka, Meridianbet inakuletea Holiday Drops – Christmas Edition, kampeni maalum inayokuletea ushindi kwa...

READ MORE

Arsenal Walizwa Kwenye Dakika za Nyongeza, Villa Yashinda 2-1 Nyumbani!

Dimba la Villa Park limeishuhudia mechi yenye msisimko mkubwa baada ya Emiliano Buendia kufunga bao la dakika za mwisho, likiipa...

READ MORE

CCM Yaonya Watumishi wa Umma Kuhusu Uwajibikaji na Utoaji Huduma kwa Wananchi – Video

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Kenani Kihongosi, ametoa wito kwa watumishi wa umma kutekeleza...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yagawa Kapu La Sikukuu Kwa Wateja Wao Jijini Mwanza

Timu ya Vodacom Tanzania Plc  kanda ya Ziwa, wakijiandaa kugawa kapu la Vodacom kwa wateja na wakazi wa Mwanza kwenye...

READ MORE

Mechi Kali Wikiendi Hii: Arsenal kwa Aston Villa, PSG kwa Rennes, Bayern kwa Stuttgart

Je unajua kuwa Wikendi ya ushindi mnono na Meridianbet imefika siku ya leo ambapo kwa dau lako dogo tuuh unaweza...

READ MORE

Makundi ya Kombe la Dunia 2026 Yatangazwa, Vigogo Waangukia Kundi la Kifo

Droo ya hatua ya makundi ya kombe la Dunia 2026 imekamilika huko Kennedy Center Jijini Washington, D.C Marekani ljumaa, Desemba...

READ MORE

Mambo ya Kuepuka Kwa Wagonjwa wa Kisukari kwa Udhibiti Bora wa Sukari

Ingawa vyakula vingine vinaweza kusaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari, vingine vinaweza kuharibu usawa wa sukari ya damu na kuongeza hatari...

READ MORE

TRA Yataka Wanachama wa SACCOS Kuhamasisha Ulipaji Kodi na Matumizi Sahihi ya Mikopo

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda akizungumza na wanachama wa TRA SACCOS LTD  wakati akifungua  Mkutano...

READ MORE

Jaji Mkuu, George Masaju Awaasa Mawakili Wapya Kudumisha Uadilifu, Utawala Wa Sheria

Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju amewaasa Mawakili wapya kuwiwa kuona haki ikitendeka, huku wao wakiwa mstari wa...

READ MORE

TANESCO yazindua mita janja kupunguza changamoto za token

Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi...

READ MORE

Trump Atunukiwa Tuzo Mpya ya Amani ya FIFA Katika Droo ya Kombe la Dunia 2026

Rais wa Marekani, Donald Trump ametunukiwa tuzo mpya ya amani ya FIFA kwenye hafla ya Droo ya Hatua ya Makundi...

READ MORE

Serikali Yatoa Majibu Juu ya Hoja za Jumuiya ya Kimataifa Kuhusu Vurugu za Uchaguzi

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imepokea na kuzingatia taarifa na maoni ya umma yaliyotolewa kwa nyakati tofauti...

READ MORE

Waziri Mkuu: Dkt. Samia Ni Rais Wa Vitendo, Ametoa Ajira mpya 12,000

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Rais wa vitendo na amethibitisha hayo katika kipindi...

READ MORE