×

Waziri Junior Agombewa Ligi Kuu

KUNA kila dalili straika wa Yanga, Waziri Junior akatimka ndani ya Yanga baada ya timu kibao kutaka kumnunua na zingine...

READ MORE

Mwili wa Msanii Aliyeuawa Wagoma Kuingia Kwenye Jeneza la Bei Rahisi

Kumetokea na hali ya kushangaza katika makafani ya Hospitali ya Rufaa ya Bungoma nchini Kenya baada ya mwili wa Mwanamuziki...

READ MORE

Gomes Awapa Dozi Nene Mastaa Simba

KUELEKEA mchezo wao wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga utakaopigwa Septemba 25, mwaka huu, Kocha Mkuu wa Simba, Didier...

READ MORE

Rais Samia Atua Malawi – Video

  Rais Samia Suluhu Hassan amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, Lilongwe nchini Malawi kushiriki Mkutano wa...

READ MORE

Rais Samia Aelekea Malawi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan hii leo Agosti 16, 2021 ameondoka Nchini kuelekea Nchini...

READ MORE

Mwili wa Dk Massawe Waagwa Muhimbili – (Pichaz+Video)

MWILI wa aliyekuwa daktari bingwa wa magonjwa ya watoto, Dk. Augustine Massawe umewasili katika viunga vya Chuo Kikuu cha Afya...

READ MORE

Azam FC Yafunga Usajili na Majembe Haya ya Kazi

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba kwa sasa umefunga majalada yote yanayohusu usajili kwa ajili ya nyota wapya watakaotumika...

READ MORE

 Gomes: Tutarudi Tukiwa Vizuri

DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa watareja Tanzania wakiwa vizuri kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Taliban Waipindua Serikali ya Afghanistan

KUPINDUA serikali iliyopo madarakani siyo jambo jepesi na mara nyingi majaribio ya aina hii, huwa yanakwama na pale yanapofanikiwa, huwa...

READ MORE

NMB Marathon 2021 Yazinduliwa, Mapato Kutibu wagonjwa Fistula CCBRT

Benki ya NMB, imesaini makubaliano ya ushirikiano na Hospitali ya CCBRT, yanayolenga kukusanya kiasi cha Sh. Bilioni 1 za matibabu...

READ MORE

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Azindua Darasa la Tehama Kwenye Shule Jokate Mwegelo

    Vodacom Tanzania kupitia taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imetoa kompyuta 15 kwa shule hiyo ikiwa na lengo la...

READ MORE

Waziri Biteko Atoa Maelekezo Kiwanda cha Gesi Mbeya

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko ameiagiza Kampuni ya kuzalisha Gesi Asilia ya Kabon Daioksaidi ya Tol Gases Limited iliyopo wilaya...

READ MORE

Rais Samia Kuelekea Malawi

Rais Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 16, 2021 anatarajiwa kuondoka jijini Dodoma kuelekea Malawi kwa ajili ya kushiriki mkutano wa...

READ MORE

Gwajima: Nipo Tayari Kuachia Ubunge, Sio Kuchanja

ASKOFU Mkuu wa kanisa la Ufufuo na Uzima lenye Mako Makuu yake, Ubungo Maji jijini dar es Salaam ambaye pia...

READ MORE

Mtendaji wa Kijiji Asimamishwa kwa Kukusanya Michango ya Zahanati Kinguvu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi Mtendaji wa...

READ MORE

Rais wa Afghanistan Akimbia Nchi, Wanamgambo wa Taliban Waingia Ikulu

RAIS wa Afghanistan, Ashraf Ghani ameikimbia nchi yake jana Jumapili, Agosti 15, 2021 jioni baada ya wanamgambo wa Taliban kuuzingira...

READ MORE

Radi Yajeruhi Wanafunzi 16 Geita – Video

Wanafunzi 16 wa shule ya Sekondari Rwezela iliyopo Kata ya Nzera mkoani Geita, wamenusurika kifo baada ya kujeruhiwa kwa kupigwa...

READ MORE

Simba Yathibitisha: Miquissone, Chama Wameuzwa

KLABU ya Simba imethibitisha rasmi kuuzwa kwa wachezaji wake bora Lois Miquissone na Clatous Chama. Imewashukuru kwa utumishi wao. Luis...

READ MORE

Rais Lungu Apigwa Chini Zambia, Upinzani Washinda

Mgombea wa chama cha upinzani UPND cha nchini Zambia, Hakainde Hichilema ameibuka mshindi wa urais kwa kupata kura milioni 2,810,757...

READ MORE