×

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Septemba 25, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 25, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi Kirahisi Zaidi Hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS  https://apple.co/38HjiCx...

READ MORE

Nabi Amfungia Kazi Ninja

KATIKA kuhakikisha anaisuka vema safu ya ulinzi, Kocha Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amemfungia kazi beki jihad,...

READ MORE

Nabi Mafia, Kaharibu Mipambo ya Gomez

KOCHA Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, katika mchezo wa Jumamosi dhidi ya Simba, anatarajiwa kupangua kikosi chake,...

READ MORE

Nabi, Kaze Wabadilishana Mbinu Usiku Simba Afe

LICHA ya kutua usiku wa kuamkia jana, aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Yanga, Cedric Kaze, hakutaka kupumzika na akaenda moja...

READ MORE

Gomes Awapa Sakho, Banda Majukumu

KATIKA kuhakikisha timu yake inapata ushindi kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi, Kocha Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes, amewapa majukumu...

READ MORE

TRA Yamkana Ole Sabaya

Kaimu meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Arusha, Kayobyo Majogolo(41) ambaye ni shahidi wa pili katika kesi...

READ MORE

Lowassa Ampongeza Rais Samia

Kwanza nianze kwa kumpongeza na kumshukuru Rais wetu, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kuifanya vyema kazi ya kuijenga nchi na...

READ MORE

Mwamnnyeto: Yanga Itawavua Simba Ubingwa Msimu Huu

JOTO la msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara linazidi kushika kasi, wakati huu ambapo zimesalia siku tatu pekee kabla...

READ MORE

Vijana Wawili Wahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa Baada ya Kukutwa na Hatia ya Kumteka Mtoto na Kumuuwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Kigoma, imewahukumu watu wawili kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kuteka mtoto wa...

READ MORE

Makambo Awaita Mashabiki wa Yanga

KUELEKEA mechi dhidi ya Simba, mshambuliaji wa Yanga, Heritier Ebenezer Makambo, amefunguka kuwa mashabiki wa timu hiyo wanatakiwa kuja kwa...

READ MORE

Nabi Agoma Kabisa Kutabiri Matokeo ya Kesho

KUELEKEA kwenye Derby ya Simba na Yanga katika mchezo wa Ngao ya Jamii, kocha wa Klabu ya Yanga, Nasreddine Nabi,...

READ MORE

Kocha Azam: Kanoute ana Balaa

KWA sasa habari ya mjini ni kiungo mkabaji wa Simba, Sadio Kanoute, raia wa Mali, ambaye amefanikiwa kuonyesha kiwango bora...

READ MORE

Matajiri 9 Yanga Wajifungia

JANA siku nzima, sawa na saa 24, matajiri wa Yanga walijifungia kwenye moja ya hoteli kubwa kwa ajili ya kufanya...

READ MORE

Simba Yalamba Dili la Mil 800, Yatambulisha Basi Lake Jipya – Video

Klabu ya Simba leo Septemba 24, 2021 imeingia mkataba wa udhamini kutoka kampuni ya Africarriers wenye thamani ya Tsh. 800...

READ MORE

Kubwa Zaidi Wiki Hii Championship, Ligi Kuu Uingereza na Serie A

Wikiendi poa inakujia na nafasi kubwa sana ya kupiga pesa kwenye gemu mbalimbali za wikiendi, kuanzia Championship na ligi kibao...

READ MORE

Sabaya Atua Mahakamani na Jezi ya Wananchi – Video

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza...

READ MORE

Binti wa Miaka 21 Akutwa na Meno ya Tembo – Video

JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limewakamata watu wawili (mwanamke mwenye umri wa miaka 21 na mwanaume mwenye umri...

READ MORE

Beki Yanga Ataja Kitakachoiponza Simba SC

BEKI wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’, amefichua kuwa kwa upande wao, hawana wasiwasi wa kuwafunga Simba katika mchezo...

READ MORE