×

Mfaume Mfaume Azikataa Kejeli za Mwikinyo

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini Mfume Mfaume amepinga vikali kauli ya Hassan Mwakinyo ya kujiita yeye ni Professional Boxer...

READ MORE

Kivuko cha MV. Tegemeo Charejea, Chaanza Kupiga Kazi Buchosa – Video

HATIMAYE huduma za Kivuko cha MV. Tegemeo kinachofanya safari zake Kati ya Kijijicha cha Kahunda (Halmashauri ya Buchosa) – Sengerema,...

READ MORE

Mbowe Amgeuzia Kibao DPP

Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kukubali ombi la Mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman...

READ MORE

Hatimaye Kanye West Aachia Albamu Yake, Avunja Rekodi

Hatimaye msanii @kanyewest ameachia albam yake ya Donda ambayo kwa mara ya kwanza ilitakiwa itoke August 5 mwaka huu.  ...

READ MORE

Coastal Yaandika Historia Afrika kwa Kubeba Cheti cha Usalama IATA

USALAMA ni moja ya nguzo muhimu katika masuala ya usafiri wa anga. Hiki ndio kigezo ambacho kimezishinda kampuni nyingi za...

READ MORE

Simulizi Binti Aliyemchoma Moto Mpenzi Wake

PIGA picha umelala na mpenzi wako ukiwa umemuegemea, ambaye kabla ya kulala mlikuwa na furaha tu na ghafla unaamka na...

READ MORE

Mzee Manara: Yanga Hatukustahili Kufungwa

MZEE Sunday Mnara, baba mzazi wa Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara ambaye ni ingizo jipya kutoka Simba, amesema kuwa...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya ya Muleba Amkabidhi Power Tiller Mshindi wa ‘Kapu la Wana’

Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Toba Nguvila(wa pili kulia) akimkabidhi Power Tiller mshindi wa kampeni ya ‘Kapu la Wana’ mkulima...

READ MORE

Oman Yaondoa Katazo Abiria wa Tanzania

UBALOZI unapenda kuwajulisha kuwa Serikali ya Oman imeondoa katazo la kuingia Oman kwa abiria kutoka Tanzania na nchi zingine zilizokuwa...

READ MORE

Rais Samia Akoshwa na NBC Kuboresha Huduma za Afya, Elimu Zanzibar

Zanzibar: Agosti 29, 2021: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan mwishoni mwa wiki alikabidhiwa Kliniki inayohamishika (mobile...

READ MORE

Makambo Awatoa Hofu Wananchi – Video

KLABU ya Yanga jana ilifanya Tamasha lake la Siku ya Wananchi likiambatana na kutambulisha wachezaji wapya baada ya kufanya usajili...

READ MORE

Moto Wateketeza Nyumba 19 Rufiji – Video

Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge pamoja na wajumbe wa kamati ya usalama ya wilaya ya Rufiji wamefika kwenye...

READ MORE

Mondi, Kiba, Harmo na Wengine Mna Kitu cha Kujifunza Hapa

Usiku wa juzi msanii @burnaboygram alikuwa na show yake nchini uingereza kwenye Arena maarufu na yenye hadhi ya juu nchini...

READ MORE

Gomes Ampa Masharti Magumu Mkude Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes amemuwekea ngumu kiungo mkabaji wa timu hiyo, Jonas Mkude kwa kumtaka abadilike juu ya...

READ MORE

Rais Samia Aanza Rasmi Kurekodi Kipindi cha Royal Tour

Rais Samia Suluhu Hassan Ameanza Rasmi Kurekodi Kipindi Maarufu cha Royal Tour Chenye Lengo la Kuitangaza Tanzania Tanzania Kimataifa  

READ MORE

Simba: Tulieni, Tutawafurahisha

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba SC, amewatuliza Wanasimba kisha akasema: “Msimu wa 2021/22, tutafanya vizuri katika mashindano yote.” Msimu...

READ MORE

Rais Hichilema Awafuta Kazi Wakuu wa Jeshi na Polisi

  RAIS mpya wa Zambia Hakainde Hichilema jana Jumapili ameteua wakuu wapya wa jeshi na kuwaondoa wakuu wote wa polisi...

READ MORE

Marekani Yazuia Shambulio Jingine Kabul

JESHI la Marekani kwa kutumia ndege zake zisizo na rubani katika Mji Mkuu Kabul limefanikiwa kuzima shambulio jingine baya la...

READ MORE

Hamza Azikwa Usiku, Risasi Zatajwa | Ccm,Wapinzani Wavutana Kauli Ya IGP Sirro | Front Page

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE