×

Aliyekua Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga Afariki Dunia

Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya na kiongozi wa chama cha ODM, Raila Amolo Odinga, amefariki dunia leo Jumatano, Oktoba...

READ MORE

Kiongozi wa Kijeshi Atangaza Kugombea Urais Gabon

Takriban miaka miwili baada ya kuongoza mapinduzi yaliyomaliza utawala wa familia ya Bongo uliodumu kwa zaidi ya nusu karne, kiongozi...

READ MORE

Selemani Kidunda Apata Cheti cha Ukocha wa Ngumi ya Kimataifa

Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini Tanzania, Selemani Kidunda, ameongeza hadhi nyingine katika taaluma yake ya michezo baada ya...

READ MORE

Timu Zilizofuzu Kombe la Dunia 2026 Hadi Sasa, Senegal na Ivory Coast Ndani!

Sadio Mané ameendelea kuthibitisha ubora wake baada ya kuibuka shujaa kwa Senegal, akifunga magoli mawili muhimu katika ushindi wa 4-0...

READ MORE

Walimu Kutoka Taasisi Ya Henan Polytechnic (Hpi) Ya China Watoa Mafunzo Kipawa Chini Ya Mradi Wa Zhangheng

WALIMU wawili fani ya Mechatronics kutoka Taasisi ya Henan Polytechnic (HPI), Du Yichen na Liu Yachuang wametoa mafuzo kwa muda...

READ MORE

Msanii Mkongwe wa R&B, D’Angelo Afariki Dunia Akiwa na Miaka 51

Mwanamuziki maarufu wa Marekani, Michael Eugene Archer almaarufu D’Angelo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 51 baada ya kusumbuliwa...

READ MORE

Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere: Safari Kutoka Magomeni Hadi Uhuru wa Tanganyika – Video

Oktoba 14, 2025 — ni kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliyeaga dunia Oktoba...

READ MORE

Uhamiaji Yaondosha Raia Wawili wa Kigeni Walioikiuka Masharti ya Viza Tanzania

Idara ya Uhamiaji imesema imelazimika kuwafukuza raia wawili wa kigeni kutoka Tanzania, Dk Brinkel Stefanie mwenye hati ya kusafiria ya...

READ MORE

Benki Ya Exim Yazidisha Dhamira Yake katika Afya Ya Akili Kwa Kukarabati Jengo la Watoto Na Vijana Hospitali Ya Taifa Muhimbili

Dar es Salaam, 15 Oktoba 2025 – Benki ya Exim Tanzania imekabidhi rasmi jengo lililokarabatiwa la Kitengo cha Afya ya...

READ MORE

Jishindia Samsung A26 Mpya Ukiwa Mtumiaji wa Meridianbet

Wakati uliosubiriwa kwa hamu ndiyo huu umewadia sasa. Meridianbet inaleta fursa ya kipekee kwa wapenzi wa michezo ya mpira wa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 15, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Poshy Queen Aibua Gumzo Mitandaoni Kwa Kumposti Mpenzi Mpya

Mrembo maarufu wa mitandao ya kijamii, Poshy Queen (@poshyqueeen), ambaye pia ni mke wa mfanyabiashara maarufu anayejulikana kama Dalali, ameibua...

READ MORE

Ujenzi wa Daraja la 6 Kwa Urefu Tanzania la Pangani Wafikia Asilimia 74.3

Ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 na Barabara unganishi na mchepuko zenye urefu wa Kilomita 25...

READ MORE

Aggybaby Apokea Tuzo Kubwa Nigeria, Apongezwa na Bodi ya Filamu Tanzania

Msanii wa muziki na maigizo, Agness Suleiman Kahamba, maarufu kama Aggybaby, ameshinda Tuzo ya Mwigizaji Bora wa Kike wa Mwaka...

READ MORE

Binti wa Eminem, Alaina Scott, Atangaza Ujauzito

Alaina Scott, binti wa rapa maarufu duniani Eminem, ametangaza kuwa anatarajia kupata mtoto wake wa kwanza na mume wake, Matt...

READ MORE

Viongozi wa CHADEMA Wakabiliwa na Kesi ya Jinai, Waitwa Mahakamani Jumatano

Kesi ya jinai namba 25480 ya mwaka 2025, inayowakabili viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ikiongozwa na...

READ MORE

Meridianbet Yaiunga Mkono Chanika Veteran Bonanza 2025 

Kama ilivyo jadi yake, kampuni namba moja ya michezo ya ubashiri nchini, Meridianbet, imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama mdau mkubwa...

READ MORE

Vodacom Na Bolt Kwa Pamoja Kutoa Punguzo Kwa Kila Safari Kupitia Tuzo Points

Dar es Salaam, Tanzania 15 Oktoba 2025: Leo, Vodacom Tanzania PLC kwa ushirikiano na Bolt, Kampuni inayotoa huduma za usafiri...

READ MORE

Airtel Yafanya Mazungumzo ya Kimkakati na COPRA  Kuimarisha Ujumuishi wa Kifedha Sekta ya Kilimo

Dar es Salaam, Tanzania,  Airtel Money Tanzania imefanya mazungumzo ya kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko...

READ MORE

Bodi ya Filamu Yampongeza Stella Mbuge kwa Ushindi wa Tuzo za MVAA – Nigeria

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Dkt. Gervas Kasiga (PhD), kwa niaba ya Bodi, amempongeza mwanatasnia wa filamu na...

READ MORE