×

Straika Kaizer Chiefs Afunguka Kutua Yanga

MSHAMBULIAJI wa Kaizer Chiefs, Mzambia, Lazarus Kambole, amefunguka kuwa hajui chochote juu ya kutakiwa na Yanga lakini amesisitiza kwa upande...

READ MORE

Madaktari Waonya Watumiaji Wa Iphone 12

Wakati toleo jipya la simu za iPhone 12 likizidi kusambaa kwa kasi duniani kote, madaktari wameonya kwamba simu hizo zinatoa...

READ MORE

Uchaguzi TFF: Oscar Oscar Achukua Fomu Ya Kugombea Urais -Video

 Mwandishi wa habari na mchambuzi wa michezo nchini, Oscar Oscar, naye amejitosa katika mbio za kuwania Urais wa Shirikisho...

READ MORE

Kocha Simba: Ajibu, Mkude Nendeni Yanga

KOCHA wa viungo wa Klabu ya Simba, Adel Zrane, raia wa Tunisia, ameweka wazi kuwa kama itatokea kukawa na ulazima...

READ MORE

Video: Mabasi 12 Yakataliwa Kusafiri Na Polisi Mbeya

 JESHI la Polisi mkoani Mbeya, limefanya ukaguzi katika mabasi ili kutazama uimara wa mabasi hayo ambapo wamekagua mabasi 32...

READ MORE

Mama Ajifungua Watoto 10 Avunja Rekodi Duniani -Video

Mwanamke aitwaye Gosiame Thamara raia wa Afrika Kusini amejifungua watoto 10 kwa mpigo na kuvunja rekodi ya dunia ambayo ilikuwa...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Amteua Jaffar Haniu Achukua Nafasi ya Msigwa Ikulu -Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Jaffar Mohamed Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu), akichukua nafasi ya Gerson Msigwa...

READ MORE

Ndalichako : Elimu ya Watu Wazima Ipewe Kipaumbele

WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, ametoa wito kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali...

READ MORE

Video: Kajala, Paula Wakataa Mamilioni, Tessy, Uwoya Bifu Zito | Hot Pot

KWENYE Hot Pot ya Leo ndani ya @255globalradio mambo ni moto Kajala, Paula wakataa mamilioni picha za utupu, msoto wa...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Viongozi Kuaga Mwili wa Mzindakaya

Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 9, 2021 ameongoza viongozi kuaga mwili wa Mwanasiasa mkongwe marehemu Chrisant Majiyatanga Mzindakaya katika...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Akutana na Viongozi Wa Dini Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi  leo Juni 9, 2021 amezungumza na Viongozi wa...

READ MORE

Kida Kudz Ashusha Mzigo wa ‘Ball Till We Fall’

RAPA, mwanamuziki, mwimbaji na mwandishi wa mashairi kutoka Nigeria, anayerejea akitokea Uingereza, Kida Kudz, ameshusha mzigo wa nguvu ‘Ball Till...

READ MORE

Rais wa Botswana Kufanya Ziara Nchini-Video

  WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula, amesema kuwa Rais wa Botswana Mokgweetsi...

READ MORE

Chagua Namba Za Bahati Na Zikufaidishe Kwenye Sloti Ya Titan Roulette Deluxe

Sloti ya Titan Roulette Deluxe Unapendelea michezo ya bahati nasibu? Una namba ambazo unaamini ni za bahati kwako? Kama jibu...

READ MORE

Msuva Atajwa na Mabosi wa Yanga

MABOSI wa Yanga wanahaha kumpata winga matata wa aina ya Simon Msuva anayekipiga hivi sasa Klabu ya Wydad Casablanca ya...

READ MORE

Nandy Festival Sasa ni TTCL Nandy Festival 2021 Watakaa tu

  SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania limesaini Makubaliano na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Faustina Charles Mfinanga alimaarufu Nandy yakuwa Mdhamini...

READ MORE

Zari Awaonya Mashabiki Zake na Matapeli

Mzazi mwenza wa Msanii wa Bongofleva nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarina Hassan ‘Zari’ amewaonya mashabiki zake kuwa makini na...

READ MORE

Mr. P wa Kundi la PSquare Aibukia Kwenye Ufundi wa Magari

Je, ameacha muziki? ndilo swali lililojitokeza miongoni mwa mashabiki wa Msanii wa kutoka Nigeria, Peter Okoye a.k.a Mr. P ambaye...

READ MORE

Kajala Amuanika Mrithi Wa Harmo

IKIWA ni mwezi mmoja tu umepita tangu Couple maarufu ya mastaa kutoka kiwanda cha Bongofleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ na Bongomuvi...

READ MORE