×

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Juni 4, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 4, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Hali Mbaya Kariakoo, Barabara Hazipitiki – Video

Wananchi na wafanyabiashara nyuma ya kituo cha mabasi yaendayo kasi- Gerezani, wameiomba serikali kuwasaidia kufanya maboresho ya barabara katika eneo...

READ MORE

Mwanafunzi Chuo Kikuu Anyongwa na Mpenziwe Kisa Mapenzi

​​​​​​​MWANAFUNZI wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Iringa, Petronel Mwanisawa (22) amefariki dunia kwa kunyongwa na mpenzi wake...

READ MORE

Video: Global Habari Juni 03 – Rais Samia Apokea Ujumbe Wa Rais Kagame

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Leo June 3,2021 amepokea ujumbe kutoka kwa Rais wa Jamuhuri...

READ MORE

Simba Yaendeleza Dozi, Yainyuka Ruvu Shooting Kirumba

MABINGWA Watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara Simba, imefanikiwa kuondoka na alama tatu muhimu dhidi ya Ruvu Shooting, katika mchezo...

READ MORE

Basata Wampongeza Diamond Kuwania Tuzo Ya BET 2021

Baraza la Taifa la Sanaa (BASATA) wametoa pongezi kwa msanii Staa wa Bongo Fleva, Nassibu Abdul, maarufu Diamond Platnumz kwa...

READ MORE

Shigongo: Wanasema Magufuli Aliwadhibiti, Nitashikilia Shilingi – Video

MBUNGE wa Buchosa (CCM) ameipongeza Serikali kwa kuhakikisha umeme unapatikana kwa asilimia kubwa, ambapo ameitaka kuendelea kuwekeza kwenye nishati ya...

READ MORE

Mchungaji Mgogo Apata Ajali, Aonywa

BAADHI ya Watanzania wamemuomba Mchungaji wa Kanisa la Baptist Tanzania, Daniel Andendekyse Mgogo kutoendelea na hulka ya kuendesha gari mwenyewe...

READ MORE

Mbaroni Kisutu Kwa Tuhuma za Kusafirisha Dawa za Kulevya

Watu watatu akiwemo Afisa Utawala wa kampuni ya ujenzi ya Makame Mwinyi Generals Supplies, Batuli Bakari (39) na fundi umeme...

READ MORE

Wanaharakati Walia Mbunge Kutolewa Nje Kisa Nguo

Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini yamekosoa hatua ya Spika wa Bunge Job Ndugai kumtoa nje Mbunge wa Momba,...

READ MORE

Majaliwa: Hakuna Makinikia Yanayouzwa Bila Kulipiwa – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema makinikia yote yanayosafirishwa yamefuata taratibu na hakuna makinikia yanayouzwa bila kulipiwa kwanza.   “Makontena yote...

READ MORE

Drake Atakomba Tuzo 18 BET?

TANGU alipodondosha mixtape yake ya So Far Gone, Drake amekuwa msanii mwenye uhakika wa ‘namba’ kwenye chati mbalimbali za muziki...

READ MORE

Bibi wa Miaka 72 Ateseka na Mimba ya Miaka 30

Bibi mmoja mwenye umri wa miaka 72 nchini Nigeria anakumbana na maisha magumu kutokana na hali yake isiyokuwa ya kawaida....

READ MORE

Karia: Siwezi Kuifanyia Mabaya Yanga, Nimewasaidia Sana – Video

KWA mara ya kwanza, leo Juni 03, Rais wa TFF, Wallace Karia, ametembelea ofisi za Global Group na kufanya mahojiano...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Ujumbe Kutoka Kwa Rais Kagame

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo June 3 2021 Ikulu Dodoma amepokea ujumbe kutoka kwa...

READ MORE

Rwanda Yaahidi Kukuza Ushirikiano na Tanzania

SERIKALI ya Rwanda imesema ipo tayari kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano wake na Tanzania, hasa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali....

READ MORE

Hatima ya Seth na Rugemarila Yamsubiri DPP

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa, mazungumzo ya makubaliano (Plea bargain) ya kumaliza kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi...

READ MORE

Simba Watamba Kuifunga Ruvu Shooting Kirumba Leo

KOCHAMsaidizi wa Simba, Seleman Matola, amesema pamoja na ugumu wanaokutana nao katika kusaka pointi kutokana na kukamiwa na wapinzani wao,...

READ MORE

Dogo Janja Atamani Baba’ke Angeshuhudia Penzi Lake

STAA wa Hip Hop kutoka Arusha, Dogo Janja amesema anatamani marehemu baba yake mzazi angekuwepo hai na kushuhudia jinsi alivyobarikiwa....

READ MORE