×

Harmonize Afunguka Nyimbo Zinazopigwa Nigeria -Video

 MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Harmonize, ameendelea kusisitiza kwa wasanii wa Bongo Fleva kutumia lugha ya Kingereza kwenye nyimbo zao...

READ MORE

Waliochaguliwa Kidato Cha Tano 2021 Hawa Hapa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu leo Jumanne Juni Mosi,...

READ MORE

Jamaa Aliyewahi Kumshtaki Mungu Mahakamani, Yupo Hai

Seneta Ernie Chambers wa jimbo la Nebraska, Marekani mwaka 2008 alimshitaki Mungu akiiomba Mahakama itoe zuio la kudumu dhidi ya...

READ MORE

Kahata Aibukia Azam FC

NASEMEKANA kuwa jina la kiungo mchezeshaji wa Simba, raia wa Kenya, Francis Kahata, limeingia kwenye rada za Azam FC katika...

READ MORE

Gari Jipya la Diamond Lazua Balaa!

KUPITIA ukurasa wa Instagram wa mtoto wa kiume wa Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz na Zarithebosslady, Prince nillan imechapishwa...

READ MORE

Gumzo Laibuka Nigeria Kutaka Kubadili Jina

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa Nigeria kwa wiki mbili, wamekuwa wakikusanya mapendekezo ya kubadili Katiba ambapo mmoja wa raia...

READ MORE

Lori Nusura Liue Watu Ubungo – Video

LORI la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T 106 DKD nusura liue watu baada ya kutokea ajali...

READ MORE

Sababu za Manji Kushikiliwa na Takukuru – Video

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imethibitisha kuwa inamshikilia mfanyabiashara Yusuph Manji kwa mahojiano.   Manji, ambaye aliondoka...

READ MORE

Mechi za Kimataifa za Kirafiki Kupigika Wikiendi Hii

Ukweli ni kwamba kujipima nguvu kabla ya mechi kubwa ni muhimu! Wikiendi hii inaweza kukupa ushindi mkubwa sana endapo ukifuata...

READ MORE

Sabaya Kufikishwa Kortini, Sababu za Manji Kurejea Zatajwa | FRONT PAGE

SABAYA Kufikishwa MAHAKAMANI, SABABU za MANJI Kurejea ZATAJWA | FRONT PAGE KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Juni 4, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 4, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Hali Mbaya Kariakoo, Barabara Hazipitiki – Video

Wananchi na wafanyabiashara nyuma ya kituo cha mabasi yaendayo kasi- Gerezani, wameiomba serikali kuwasaidia kufanya maboresho ya barabara katika eneo...

READ MORE

Mwanafunzi Chuo Kikuu Anyongwa na Mpenziwe Kisa Mapenzi

​​​​​​​MWANAFUNZI wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Iringa, Petronel Mwanisawa (22) amefariki dunia kwa kunyongwa na mpenzi wake...

READ MORE

Video: Global Habari Juni 03 – Rais Samia Apokea Ujumbe Wa Rais Kagame

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Leo June 3,2021 amepokea ujumbe kutoka kwa Rais wa Jamuhuri...

READ MORE

Simba Yaendeleza Dozi, Yainyuka Ruvu Shooting Kirumba

MABINGWA Watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara Simba, imefanikiwa kuondoka na alama tatu muhimu dhidi ya Ruvu Shooting, katika mchezo...

READ MORE

Basata Wampongeza Diamond Kuwania Tuzo Ya BET 2021

Baraza la Taifa la Sanaa (BASATA) wametoa pongezi kwa msanii Staa wa Bongo Fleva, Nassibu Abdul, maarufu Diamond Platnumz kwa...

READ MORE

Shigongo: Wanasema Magufuli Aliwadhibiti, Nitashikilia Shilingi – Video

MBUNGE wa Buchosa (CCM) ameipongeza Serikali kwa kuhakikisha umeme unapatikana kwa asilimia kubwa, ambapo ameitaka kuendelea kuwekeza kwenye nishati ya...

READ MORE

Mchungaji Mgogo Apata Ajali, Aonywa

BAADHI ya Watanzania wamemuomba Mchungaji wa Kanisa la Baptist Tanzania, Daniel Andendekyse Mgogo kutoendelea na hulka ya kuendesha gari mwenyewe...

READ MORE

Mbaroni Kisutu Kwa Tuhuma za Kusafirisha Dawa za Kulevya

Watu watatu akiwemo Afisa Utawala wa kampuni ya ujenzi ya Makame Mwinyi Generals Supplies, Batuli Bakari (39) na fundi umeme...

READ MORE