×

Rais Samia Atembelea Gereza la Ukonga, Akutana na Wafungwa (Picha + Video)

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 9, 2026 ametembelea Gereza la Ukonga lililopo...

READ MORE

Mwigulu Aeleza Mafanikio ya Rais Samia Wakati wa Uzinduzi Soko la Kibakwe

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumamosi (Mei 9, 2026) ameweka jiwe la msingi la ufunguzi wa soko la mazao...

READ MORE

Rais Samia Ahitimisha Mafunzo ya Uongozi TCT Ukonga (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan, alihudhuria hafla maalum iliyofanyika katika Chuo...

READ MORE

Bruno Fernandes Kuongoza Mashambulizi ya United Dhidi ya Sunderland Leo

Leo Mei 9 saa 17:00 alasiri Uwanja wa Stadium of Light utakuwa mwenyeji wa mchezo wa Ligi Kuu kati ya...

READ MORE

Shinikizo Lazidi Kwa Rais Ramaphosa, Malema Aomba Ajiuzulu Mara Moja

Pretoria, Afrika Kusini — Mazingira ya kisiasa nchini Afrika Kusini yameingia katika kipindi cha mvutano mpya baada ya uamuzi wa...

READ MORE

Dakika 90 Zinaweza Kubadilisha Maisha Yako Na Diamond Jackpot

Kijana wa leo hapendi kusubiri sana, anataka matokeo, anataka mabadiliko, na anataka nafasi ya kweli ya kushinda. Ndiyo maana Meridianbet...

READ MORE

Waziri Dkt. Gwajima Asikitishwa Na Kukemea Mwenendo Wa ‘Mzee Malundo’ Mitandaoni – Video

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amekemea tabia ya mtu anayefahamika kwa jina...

READ MORE

Familia Yalia: Sindano 15 Kila Siku, Msichana Ahitaji Msaada, Ateseka Miaka 18 – Video

Msichana Mariam Magomi, mkazi wa Sinza C jijini Dar es Salaam, anaishi katika maumivu makali kwa zaidi ya miaka 18...

READ MORE

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Yatangaza Nafasi 2 za Ajira ya Mwandishi Mwendesha Ofisi

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi imetangaza nafasi mbili (2) za ajira kwa kada ya Mwandishi Mwendesha Ofisi, kufuatia kibali kutoka...

READ MORE

Waziri wa Uingereza Ashinikizwa Kujiuzulu Kufuatia Matokeo Mabaya ya Labour

Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Keir Starmer anakabiliwa na presha kubwa kutoka kwa wabunge wa Labour Party baada ya zaidi...

READ MORE

Kuna Madhara Mke  Kuwa Muongeaji Sana Kwa Mume, Jifunze!

UMESHAWAHI kukutana na mwanamke anaongea sana? Yaani yeye ni bandika bandua. Likiisha hili anaingiza hili, anajua kila kitu. Ana ujasili...

READ MORE

Airtel Africa Yavuna Mabilioni Kupitia Data na Airtel Money

Matumizi ya intaneti (data) na huduma za fedha kupitia simu yamekuwa injini kuu ya ukuaji wa mapato ya Airtel Africa,...

READ MORE

Cristiano Ronaldo Ajenga Jumba la Bilioni 105, Latikisa Ureno

 Nyota wa soka duniani, Cristiano Ronaldo ameripotiwa kujenga moja ya majumba ya kifahari na ya gharama kubwa zaidi nchini Ureno,...

READ MORE

Iran Yatajwa Kwenye Hali ya Kuporomoka, Trump Aibua Sakata la Hormuz

Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Iran imewafahamisha Marekani kwamba ipo katika “state of collapse” na imeomba kufunguliwa kwa...

READ MORE

Godbless Lema: Maridhiano ya Kweli Si Kumtoa Tundu Lissu Gerezani Pekee – Video

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema amesema kuwa maridhiano...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 9, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Video: Fahamu Ushahidi Uliomtia Hatiani ‘Mr Blue’ Na Kuhukumiwa Kunyongwa Kwa Kumuua Ezenia

Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Abdalah Mussa maarufu Mr. Bluu, baada ya kupatikana...

READ MORE

Boniface Jacob: Chadema Ndicho Chama Kinachobeba Kilio cha Watanzania – Video

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Boniface Jacob ‘Boni Yai’, amesema kuwa uwepo wa Chadema ni muhimu katika kuhakikisha wananchi...

READ MORE

TRA United Yaichapa Azam FC 4-1 Sheikh Amri Abeid, Arusha

Shughuli imehitimishwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid Stadium ambapo TRA United wameonyesha ubabe wao kwa kuibuka na ushindi mnono...

READ MORE

Wahukumiwa Kwenda Jela Kwa Kuuza Chipsi na Baga Bila Kutoa Risiti za EFD – Video

Raia wa China Xu Fuyu mwenye umri wa miaka 39 na mfanyakazi wake wa mgahawa wa Kibonge uliopo Kariakoo Dar...

READ MORE