×

Wafahamu Mabilionea wa Dunia Waliotalakiana

William Gates na Melinda Gates wamekubaliana kutalikiana baada ya kuishi pamoja kwa miaka 27 na kufanikiwa kupata watoto watatu. William...

READ MORE

Mabilionea 10 Wanaoshikilia Uchumi wa Dunia

Pengo kati ya watu tajiri na maskini linazidi kuongezeka.Itawachukua miaka kumi watu maskini zaidi kuweza kumudu kuishi vizuri lakini huo...

READ MORE

Rais Samia, Kenyatta Wakubaliana Kujenga Bomba la Gesi

Marais wa Tanzania na Kenya wametangaza hii leo kuwa nchi hizo mbili zimeingia makubaliano ya ujenzi wa bomba la gesi...

READ MORE

Prof. Mkumbo Akunana Na Wasafirishaji,Waigizaji Mizigo Bandarini

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo amekutana na kufanya kikao na wadau mbalimbali wa usafirishaji, uingizaji na utoaji...

READ MORE

Kocha Azam Ampa Dube Tuzo ya Kagere

KOCHA Msaidizi wa kikosi cha Azam, Vivier Bahati, amefunguka kuwa ana imani kubwa kuwa mshambuliaji wao, Prince Dube anaweza kutamatisha...

READ MORE

Gomes: Tukiifunga Yanga, Ubingwa ni Asilimia 100

  KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes, ametamba kuwa ni lazima waibuke na ushindi katika mchezo wao wa Jumamosi dhidi...

READ MORE

Majaliwa Atua Chato Kwenye Kaburi la Magufuli

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo amefika nyumbani kwa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli...

READ MORE

Ndugulile: Tunaandaa Sheria ya Faragha Kulinda Taarifa za Mtumiaji

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Faustine Ndugulile amesema katika kutengeneza mazingira rafiki na wezeshi ya sekta ya Teknolojia...

READ MORE

Rais Samia Atoa Heshima Kwenye Kaburi la Hayati Mzee Jomo Kenyatta

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 4, 2021 amekitoa salamu za heshima mara baada...

READ MORE

Hotuba ya Rais Samia Ikulu ya Nairobi Kenya – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 05, ameanza ziara ya siku mbili nchini Kenya...

READ MORE

Luis, Chama Wapewa Majukumu Maalum

UNAAMBIWA Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes Da Rosa, hataki mchezo kabisa kuelekea kwenye mechi yao dhidi ya Yanga, huku...

READ MORE

Kauli ya Rais Kenyatta Mbele ya Rais Samia Kenya – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 05, ameanza ziara ya siku mbili nchini Kenya...

READ MORE

Sarah Amkomesha Harmonize

WAKATI akigulia majeraha ya kutemwa na mpenzi wake, Kajala Masanja, Msanii Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ ameendelea kupata pigo lingine...

READ MORE

Mrithi wa Mfalme wa Wazulu Pasua Kizungumzkuti

Mzozo kuhusu ni nani atakayemrithi marehemu Mfalme wa Wazulu, Goodwill Zwelithini, sasa unaelekea mahakamani, vyombo vya habari vinaripoti. Hatua hiyo...

READ MORE

Bondia Ashtakiwa kwa Kumuua Mpenzi wake Mjamzito

Bondia wa Puerto Rico aliyepigana katika michezo ya Olimpiki ya London mwaka 2012 ameshtakiwa kwa kumteka na kumuua mpenzi wake...

READ MORE

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Atembelea Hospitali Ya Benjamin Mkapa

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango leo Mei 04,2021 ametembelea Hospitali ya Benjamin...

READ MORE

Wanasayansi Wagundua Maiti ya Kale ya Mjamzito Misri

TIMU ya wanasayansi nchini Poland imesema wamegundua maiti pekee ya kale ya mwanamke mjamzito huko Misri iliyokuwa imehifadhiwa.   Ugunduzi...

READ MORE

Mondi Aishi Maisha ya Kifalme Nchini Afrika Kusini

Megastaa wa muziki wa Afro-Pop barani Afrika kutoka Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwa sasa anaishi maisha ya kifalme nchini...

READ MORE

Bakari Malima: Yanga Inaweza Kuifunga Simba

ZIKIWA zimesalia siku nne kabla ya kufikia siku ya mchezo wa watani wa jadi, Simba na Yanga, beki wa kati...

READ MORE

Maendeleo Ya Viwanda Yaendane Na Hifadhi Ya Mazingira – Waziri Jafo

Serikali imesema kamwe haitakuwa kikwazo kwa wawekezaji wanaolenga kuwekeza katika sekta ya viwanda bali maendeleo ya viwanda ni lazima yaende...

READ MORE