×

Mume wa Malkia Kuzikwa Aprili 17, 2021

MAZISHI ya mume wa Malkia Elizabeth II wa Uingereza, Mwanamfalme Philip, yatafanyika wiki ijayo, Aprili 17, majira ya saa nane...

READ MORE

Mzee Mwinyi: Rais Samia Ameanza Vizuri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Aprili, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo...

READ MORE

Kigoma: Akatwa Shingo, Wauaji Waondoka na Kichwa

Mtu mmoja mkazi wa kijiji cha Janda wilayani Buhigwe mkoani Kigoma aliyetambulika kwa jina Shinze Mugarama ameuawa kwa kukatwa shingo...

READ MORE

Mbowe: Nimepata Chanjo ya Corona ‘AstraZeneca’

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa...

READ MORE

Coca-cola Yaitambulisha ‘Sisimua Maisha na Fanta’

Kampuni ya Coca Cola Tanzania, imezindua kampeni ya Sisimua Maisha na Fanta katika hafla iliyopambwa na burudani mbalimbali jijini Dar...

READ MORE

Bomba la Mafuta Kuanza Kujengwa Mwezi Huu

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Tanga-Tanzania hadi Uganda...

READ MORE

Tumuunge Mkono Rais Samia, Tusimpuuze JPM

KWA takriban wiki nzima sasa, gumzo mitandaoni limekuwa ni kuhusu mambo mbalimbali aliyoyafanya Hayati Dk John Pombe Magufuli enzi za...

READ MORE

Mabango Yaanza Simiyu

SIKU chache baada ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwatangazia wateule wake kuhakikisha wanashughulikia kero...

READ MORE

Chadema Yataka Kuonana na Rais Samia

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimeomba kuonana na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mbowe ‘Sikwenda Nje ya Nchi Kama Mkimbizi wa Kisiasa’

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema kuwa hakwenda nje ya Nchi kwa sababu za kiasiasa badala yake...

READ MORE

Watu 70 Wafariki Katika Mapigano Yemen

WATU 70 wameuwawa baada ya kutokea mapigano makali kwenye maeneo matatu tofauti katika kipindi cha masaa 24 huko katika mji...

READ MORE

Madai Kubambikwa Kodi ya Bil 2, TRA Yamuita Mbowe

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe ametaja sababu ya kuamua kuondoka nchini na kwenda kuwekeza nchi...

READ MORE

TMA Yatoa Tahadhari ya Mvua Kubwa

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la uwepo wa mvua kubwa kwa siku tatu mfululizo kuanzia leo...

READ MORE

Zifahamu Rekodi Kali Alizovunja Rapa DMX

Rapa DMX alikuwa miongoni mwa nyota waliofanikiwa sana nchini Marekani mwishoni mwa miaka ya 1990 mpaka miaka ya 2000, na...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Tatu iCAP, Inventory and Asset Assistant 

Inventory and Asset Assistant      Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania – Dar es Salam Categories: Finance/Administration ICAP at...

READ MORE

Rc Telack: Shinyanga Haina Mauaji ya Vikongwe

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainab Telack amesema Mkoa wa Shinyanga hauna tena mauaji ya vikongwe kutokana na juhudi...

READ MORE

Iran Yadai Kituo Chake cha Nyuklia Kimepigwa na ‘Shambulio la Hujuma’

Kiwanda cha nyuklia nchini Iran kilipigwa na “hujuma ” siku moja baada ya kufichua kifaa kipya cha urutubishaji wa madini...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Aprili 12, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 12, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE