×

Yanga Mpya Kuanza Kazi Leo, Saido na Yacouba Ndani

WAKATIkikosi chake kikitarajiwa kujitupa uwanjani leo, Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga, Juma Mwambusi atakuwa na wakati mzuri kutokana na asilimia...

READ MORE

Makamu wa Rais Mpango Akutana Waziri Jafo

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdori Mpango, akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya...

READ MORE

Prof. Assad Adai Asilimia 60 ya Viongozi Serikalini Hawana Uwezo

Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali,  Profesa Mussa Assad amesema kuna haja ya kuanza na safu mpya ...

READ MORE

Wawa: Yanga Msijisahau, Bado Tunajambo Letu

BEKI wa kati wa Simba, Pascal Wawa raia wa Ivory Coast ameibuka na kutoa kauli ya vitisho kwa wapinzani wao,...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Tatu TANROADS Kigoma

Laboratory Assistant The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) on behalf of the Government of the United Republic of Tanzania entered...

READ MORE

Ripoti ya CAG Yaondoka na Bosi wa Utalii

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro leo amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Devotha...

READ MORE

Mbosso Ft Diamond Platnumz – Baikoko (Official Music Video)

 STAA wa muziki wa Bongo Fleva anayekiwasha chini ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuf ‘Mbosso’ Aprili...

READ MORE

Tarimba Aishauri Serikali Kuwatumia Wawekezaji wa Ndani

Serikali imeshauriwa kuunda timu ya wataalamu na wafanyabiashara mashuhuri akiwemo Mohammed Dewji (Mo), ili kushauri na kutengeneza mazingira yatakayowafanya wawekezaji...

READ MORE

Simba Queens na Yanga Princess Zafanya Mauaji

UTAFIKIRI wanataka sifa, baada ya Simba Queens na Yanga Princess kudondosha mvua ya mabao kwa wapinzani wao kwenye michezo ya...

READ MORE

NEC Yafanya Mabadiliko Uchaguzi Mdogo Muhambwe na Buhigwe

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefanya mabadiliko ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika majimbo ya Muhambwe na Buhigwe mkoani...

READ MORE

TANZIA: Mama Mzazi wa IGP Sirro Afariki Dunia

  Mama mzazi wa IGP Simon Sirro, Monica Nyabyamari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili...

READ MORE

Saido Apewa Jukumu Zito Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Said Ntibazonkiza ‘Saido’, amepewa jukumu zito na kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mwambusi...

READ MORE

Twaha Kiduku Amtwanga Kibangu

BONDIA wa Tanzania, Twaha Kiduku maarufu kama ‘Mzee wa Shosho’ amempiga mpinzani wake, Tshibangu ‘Beberiko’ Kayembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia...

READ MORE

Azam FC Yaishusha Simba Nafasi ya Pili

PRINCE Dube, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Azam FC jana alikuwa nyota wa mchezo wakati ubao wa Uwanja...

READ MORE

Prof. Assad: Baraza la Mawaziri Lisiwe na Siri – Video

  Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Musa Assad amesema ubadhirifu unaotokea kwenye baadhi ya wizara huwa hauna...

READ MORE

Mzungu na Mkewe Watupwa Jela Miaka 30 kwa Kulima Bangi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imewahukumu kifungo cha miaka 30 gerezani washtakiwa Damian Krzysztof raia wa Poland na mke wake...

READ MORE

TCRA Yaanza Kupokea Maombi Leseni za Maudhui Mitandaoni

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa taarifa kwa umma kuwa kuanzia jana Aprili 9,2021 imeanza kupokea maombi mapya ya Leseni...

READ MORE

Simba Yakamilisha Hesabu Misri Kibabe, Yaongoza Kundi

SIMBA SC imekamilisha michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi kibabe hiyo ni baada ya kupunguza idadi ya...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Aprili 9, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 9, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App...

READ MORE