×

Wanaswa Wakifuga ‘Kijiji’ cha Wenye Ulemavu na Kujitajirisha – Video

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Ummy Ndeliananga, ameendelea na msako wa kuwatafuta vigogo wanaotumia watu wenye ulemavu kama biashara...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Januari 5, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 5, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Chama, Luis Waipa Hofu FC Platinum

NORMAN Mapeza, Kocha Mkuu wa FC Platinum ya Zimbabwe, amesema kuwa anatambua uimara wa Simba upo kwenye safu ya kiungo...

READ MORE

Kajala Atoa Msimamo Kuolewa Tena!

  KAJALA Masanja wengi wao wanapenda kumuita ‘ ‘Kay’ wengine wanamuita boss lady, amewakata kilimilimi baadhi ya watu wanaosema kuwa...

READ MORE

Kagere Amkataa ‘Baba Yake’

MSHAMBULIAJI wa Simba, raia wa Rwanda, Meddie Kagere, ameibuka na kusema kuwa, yeye si Mtanzania na hamtambui mzee anayesema ni...

READ MORE

Diamond, Alikiba Wakutana Sound City

Moja ya majarida makubwa katika bara la Afrika na duniani kote Soundy City ambalo makao makuu yake yapo Marekani ingawa...

READ MORE

Majeruhi Ajali ya Treni Waruhusiwa Kutoka Hospitali

MAJERUHI  54 wa ajali ya treni iliyotokea Dodoma waliokuwa wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa huo, wameruhusiwa kutoka hospitali...

READ MORE

Ajifungua Kanisani Baada ya Kumuomba Mungu Mtoto wa Kike

MKAZI wa mtaa wa Kilimahewa kata ya Bulangwa wilaya ya Bukombe mkoa wa Geita, Justina Lukilisha amejifungua mtoto nje ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Madiwani Watatu Mbinga Vijijini Wakamatwe

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Ruvuma,...

READ MORE

Hamisi wa BSS: Harmonize Nisamehe, Nilidhani Nimetoboa

STORI zinazozungumza sana kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu aliyekuwa mshiriki wa Mashindano ya Kusaka Vipaji maarufu kama...

READ MORE

Vifo Vinne vya Ajali Vyatikisa Moshi

NI simanzi na majonzi mjini hapa kutokana na vifo vya watu wanne vilivyotokana na ajali siku ya Mwaka Mpya. George...

READ MORE

Dully Sykes Afunga Mjadala wa Ndoa

MWANAMUZIKI mkongwe kwenye gemu la Bongo Fleva, Abdul Sykes ‘Dullysykes’ amefunguka sababu ya kuwa bachela na kuufunga mjadala kuhusu suala...

READ MORE

Chuchu Awaponda Mastaa Wanaozindua Miradi Feki

MSANII wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amewaponda mastaa wenzake wanaozindua miradi mbalimbali ikiwemo maduka na saluni wakijifanya miradi yao...

READ MORE

Mrithi wa Mikoba ya Mkude Simba Huyu Hapa

KIUNGO Mzawa Said Ndemla amemkosha Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck na kusema eneo la kiungo mkabaji limepata mchezaji mbadala kuelekea kwenye...

READ MORE

Tshisekedi Awasamehe Waliomuua Rais Kabila

    WANAUME wawili waliopatikana na hatia ya mauaji ya Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Laurent Kabila, miaka...

READ MORE

Manara Afunguka ya Mkude – Video

MSEMAJI wa klabu ya Simba, Haji Manara, leo Januari 04, 2021, amezungumza na wanahabari kuelekea mechi yao kubwa iliyobeba hatma...

READ MORE

Rosa Ree Hataki Mazoea Na Wanawake!

RAPA Rasary Robert ‘Rosa Ree’ amefunguka kuwa kitu ambacho kitamfanya agombane na mpenzi wake ni kuwa na mazoea na wanawake....

READ MORE

Mazungumzo ya Siri ya Trump Kujaribu Kubadili Matokeo Yanaswa

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amerekodiwa akimwambia afisa mkuu wa uchaguzi Georgia atafute kura za kutosha kuwezesha kubadilishwa kwa matokeo...

READ MORE

Bilionea wa Dunia Jack Ma Hajulikani Alipo

BILIONEA  wa China, Jack Ma inasemekana hajulikani alipo baada ya kutoonekana hadharani kwa zaidi ya miezi miwili.   Aidha, alishindwa...

READ MORE