×

Hatimaye Tecno Camon 16s Yazinduliwa Rasmi

Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO imezindua rasmi  simu yake mpya toleo la CAMON 16s leo jijiini Dar es...

READ MORE

Twiga Mweupe Duniani Afungwa Kifaa cha Kumfuatilia

TWIGA mweupe duniani huko kaskazini-mashariki mwa Kenya amewekewa kifaa cha kumfuatilia, wahifadhi mazingira wanasema.   Twiga huyo alisalia peke yake...

READ MORE

Ushauri wa Nature kwa Nandy, Zuchu

JUMA NATURE amewashauri wasanii wa Bongofleva wanaotamba kwa sasa, Nandy na Zuchu, akiwataka kutobweteka na mafanikio waliyopata. Amewataka watenge muda...

READ MORE

Twaha Kiduku: Mwakinyo Asilewe Sifa

BONDIA Twaha Kiduku ameeleza kuukubali uwezo wa Hassan Mwakinyo na kumtaja kuwa ni bondia bora ila akamtahadharisha asije akalewa sifa...

READ MORE

Michuano Cecafa U20 Kuanza Novemba 22 Arusha

  BARAZA la Michezo Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limetangaza michuano ya vijana chini ya umri wa miaka...

READ MORE

Inatisha… Freemason Watajwa Kumuua Bilionea Ginimbi!

Wakati mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwa ‘imechafuka’ kwa picha za magari na mijengo ya kifahari ya mfanyabiashara maarufu katika ukanda...

READ MORE

Dkt. Mpango Aanza Kazi, Atoa Maagizo

WAZIRI  wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amewataka watumishi wa wizara yake kuhakikisha wanasimamia kikamilifu mapato na matumizi ya...

READ MORE

Yemi Alade Amuunga Mkono Vanessa Mdee

BAADA ya Vanessa Mdee, mwimbaji Yemi Alade anaongezeka kwenye orodha ya wasanii wa kike ambao wanakitupia lawama kiwanda cha muziki ...

READ MORE

Wabongo Wanne Wahukumiwa Kenya

Watanzania watatu kati ya wanne wanashikiliwa nchini Kenya baada ya kushindwa kulipa faini ya Sh105,000 za Kenya (zaidi ya Sh2.1...

READ MORE

9 Mbaroni Wakidaiwa Kuchoma Nyumba ya Diwani, Kuua

POLISI Mkoa wa Pwani inawashikilia watu tisa wanaotuhumiwa kuchoma moto nyumba ya aliyekuwa diwani mteule wa kata ya Kikongo, Halmashauri...

READ MORE

Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo Ahukumiwa Mwaka Mmoja

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu kifungo cha nje cha mwaka mmoja, Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo baada ya...

READ MORE

Mwili wa Askari Aliyedaiwa Kuuawa Pemba Wapatikana

POLISI Mkoa wa Kusini Pemba imefanikiwa kuupata mwili wa aliyekuwa askari wa kikosi cha KVZ, Khalfan Junedi, aliyedaiwa kuuawa wiki...

READ MORE

Tanzia: Kamanda Kidavashari Afariki Dunia

  NAIBU Kamishna wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, Zahir Kidavashari,  amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne, Novemba 17,...

READ MORE

DStv Yaja na Ofa Kabambe ya Msimu wa Sikukuu!

  Katika kunogesha zaidi msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka na mwaka mpya, kampuni ya MultiChoice Tanzania imetangaza ofa...

READ MORE

Tonombe awekewa mkataba mezani Yanga

  KATIKA kumlinda kiungo wao mabosi wa Yanga, Kampuni ya GSM kupitia Mkurugenzi wa Uwekezaji, Injinia Hersi Said, wamefunguka kwamba...

READ MORE

Kufuzu Fainali Kombe la Dunia 2022, Messi Kibaruani Leo

Mataifa ya Amerika yanaendelea na harakati za kuisaka tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia 2022. Michezo ya Kufuzu CONMEBOL inaendelea...

READ MORE

Senzo: Hata Mfanye Nini, Yanga Hatutoki Njiani!

MSHAURI wa masuala ya mabadiliko wa Yanga, Senzo Mazingisa, ameweka bayana kuwa licha ya yote ambayo yamemkuta ya kuhojiwa polisi,...

READ MORE

Msuva Ataja Silaha Zitakazombeba Wydad

NYOTA mpya wa Klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco, Mtanzania Simon Msuva, amefunguka kwamba kucheza ligi ya nchi hiyo kwa...

READ MORE

Mapya: Chanjo ya Moderna Inazuia Covid-19 kwa 95%

CHANJO mpya inayozuia ugonjwa wa Covid-19 ina karibu 95% ya ufanisi , data kutoka Kampuni ya Marekani Moderna inaonesha, Matokeo...

READ MORE