×

Wanawake Wadai Kubakwa na Askari Bila Kinga

HAKIYANANI; dunia ina vioja vingi! Baadhi ya wanawake jijini Dar es Salaam wameibua madai mazito kwamba wanabakwa usiku wa manane...

READ MORE

Tetemeko Lenye Kubwa Laipiga Uturuki

Tetemeko la Ardhi lililotokea mchana wa Ijumaa ya tarehe 30 Octoba 2020 katika ukanda wa Bahari ya Aegean limeharibu miundombinu...

READ MORE

‘Wanaopanga Kuandamana, Dar Sio Shamba la Bibi’

KAMANDA wa Polisi Kanda Maaalum ya dar es salaam, Lazaro Mambosasa, amewaonya wanasiasa walioshindwa chaguzi kwenye mikoa mingine na sasa...

READ MORE

Mwana FA Ashinda Ubunge Muheza

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Muheza, amemtangaza Mwana Fa wa CCM kuwa ndiye mshindi wa nafasi ya ubunge wa Jimbo...

READ MORE

Prof. Kitila Ashinda Ubunge Ubungo

MSIMAMIZI wa uchaguzi jimbo la Ubungo, Beatrice Dominic,  amemtangaza Profesa Kitila Mkumbo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi katika...

READ MORE

Wafahamu Wabunge Waliopita Bila Kupingwa

WAGOMBEA ubunge 28 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) walioingia katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi hizo walipita bila kupingwa baada ya...

READ MORE

Aliyemwangusha Hawa Ghasia Ubunge Atoboa Siri Nzito

MMOJA wa wabunge wawili wa upinzani aliyetangazwa kushinda hadi sasa wakati mchakato wa majumuisho ya mwisho ukiendelea,  Shemsia Mtamba, wa...

READ MORE

Nyumba ya Mshindi Ubunge Yanusurika Kuchomwa Moto

  POLISI mkoa wa Shinyanga inafanya uchunguzi kuhusiana na tukio la jaribio la kuchoma moto nyumba ya mbunge mteule wa...

READ MORE

Wahamiaji 140 Wapoteza Maisha Boti Ikizama

WATU wapatao 140 wamepoteza maisha baada ya meli iliyokuwa na wahamiaji wapatao 200 kuzama katika pwani ya Senegal.   Katika...

READ MORE

Chama Tawala Chashindwa Kubadili Katiba Zambia

MUSWADA  tata wa kikatiba ulishindwa kupitishwa bungeni jana Oktoba 29, 2020 kufuatia upinzani mkali kutoka kwa asasi za kiraia na...

READ MORE

UN Yataka Dini na Imani Zote Kuheshimiwa

MWAKILISHI  wa Umoja wa Mataifa (UN), Miguel Angel Moratinos, amehimiza kuheshimiana kwa dini zote na imani na kukuza utamaduni wa...

READ MORE

Wimbi Jipya Maambukizi ya Corona Laibuka Kenya

WIZARA ya Afya nchini Kenya imeelezea wasiwasi wake kuhusu ongezeko kubwa la idadi ya watu wanaofariki kutokana na ugonjwa wa...

READ MORE

Luis Amvuta Simba Lau Há King wa UD Songo

MEFAHAMIKA kuwa, kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Msumbiji, Luis Miquissone, ndiye aliyetoa mapendekezo ya usajili wa kiungo mshambuliaji, Pachoio...

READ MORE

Malaria Yamuendesha Carlos Carlinhos

KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Carlos Carlinhos, amejikuta katika wakati mgumu kutokana na kuteswa na Ugonjwa wa Malaria uliosababisha asiwemo katika...

READ MORE

Kocha Mpya Simba Huyu Hapa Raia wa Kenya

TAARIFA zinasema kuwa, Klabu ya Simba, ipo kwenye mazungumzo na Kocha Abdul Idd Salim raia wa Kenya kwa ajili ya...

READ MORE

Watatu Wauawa Katika Shambulio Kanisani

WATU watatu wamefariki dunia kufuatia shambulio lililotokea katika Mji wa Nice nchini Ufaransa kanisani kwenye ibada ya asubuhi ambalo Rais...

READ MORE

Live Updates: NEC Ikitangaza Matokeo ya Urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaendelea kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliyofanyika juzi, oktoba 28, 2020 nchi nzima.  

READ MORE

Haya Hapa Matokeo Ya Ubunge Majimbo Ya Dar

 Jimbo la Ukonga, ameshinda Jerry Silaa, wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndiye mbunge wa jimbo hilo baada ya kupata...

READ MORE

Mbatia wa NCCR Chali Ubunge Vunjo, Kimei wa CCM Ashinda

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nkasi Kaskazini amemtangaza Dkt. Charles Kimei kupata kura 40,170 – Grace Kiwelu wa CHADEMA amepata...

READ MORE

Ally Keissy Chali, Chadema Yashinda Nkasi Kaskazini

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nkasi Kaskazini amemtangaza Aida Khenani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mshindi wa...

READ MORE