×

David Silinde Azidi Kuiteka Tunduma

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Tunduma lililopo Mkoani Songwe, aDavid Silinde amezidi kuchanja mbuga katika kampeni zake...

READ MORE

Kocha Mpya Yanga Cedric Kaze Apewa Miaka Miwili

UONGOZI  wa klabu ya Young SC leo Oktoba 16, 2020 umemtambulisha rasmi kocha mpya wa timu hiyo, Mrundi, Cedric Kaze...

READ MORE

Dayna, Patoranking Kuna Jambo Lao La Kibabe

MWANADADA mwenye kipaji kikubwa kunako gemu ya Bongo Fleva hapa nchini, Dayna Nyange amefunguka kuwa yuko kwenye maandalizi kabambe ya...

READ MORE

WCB Wakimbiza Wasanii Youtube

Takwimu zilizotolewa na matandao wa YouTube zinazohusisha channel za wanamuziki nchini Tanzania zilizotazamwa kwa wingi mwezi Septemba zimewaweka kileleni wasanii...

READ MORE

Kaze Amtaja Yondani Yanga

KOCHA mpya wa Yanga, Mrundi, Cedric Kaze amemtaja aliyekuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani kuwa ni mmoja kati ya wachezaji...

READ MORE

Jaqueline Mengi Aeleza Siri Ya Umiss Kupoteza Umaarufu

WAKATI mashindano ya urembo nchini yakiwa yanaendelea kupoteza mvuto aliyekuwa Miss Tanzania mwaka 2000, Jaqueline Mengi ametaja baadhi ya sababu...

READ MORE

Clatous Chama Azungumzia Pointi za Yanga

KIUNGO mchezeshaji wa Simba, Mzambia, Clatous Chama, ameweka wazi kwamba licha ya kukosa kucheza na Yanga Oktoba 18, mwaka huu...

READ MORE

Billinas: Nandy Anaanzaje Kuvua Pete Yangu!

MARA nyingi husemwa uhusiano wa kimapenzi wa mastaa ni wa tia maji tia maji huku wengi wakithibitisha kumwagana muda mfupi...

READ MORE

Mwakinyo Kuwania Mikanda Miwili Dhidi ya Muargentina

BONDIA bingwa wa mabara wa uzito wa superwelter, Hassan Mwakinyo, anatarajiwa kuutetea mkanda wake wa Chama cha WBF, Novemba 13...

READ MORE

Kigogo Burundi: Kaze, Ntibazonkiza Wataipa Ubingwa Yanga

MKUU wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano kutoka Shirikisho la Soka la Burundi (FFB), Ramadhan Kabugi, amefunguka kuwa kitendo cha...

READ MORE

ZEC Yamsimamisha Maalim Seif Kufanya Kampeni

TUME  ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemsimamisha mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, kutofanya...

READ MORE

Nafasi ya Kazi METL, ASP/PHP Developer.

Kazi mpya katika Kampuni ya Mo Dweji MeTL Group Limited Ajira za Mo METL, Kazi Tanzania, Kazi za MeTL Group...

READ MORE

Teknolojia ya Digitali Ilivyo Msingi wa Uchumi Imara Siku Zijazo

  Wiki iliyopita ilishuhudia kutangazwa kwa habari nyingine nzuri kuhusu uchumi wa Tanzania. Kwa mujibu wa Takwimu za Benki Kuu...

READ MORE

Rais Trump Akubali Kuachia Madaraka

RAIS Donald Trump wa Marekani amesema yupo tayari kuachia madaraka baada ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Novemba mwaka huu,...

READ MORE

Kocha Mpya wa Yanga Atua Dar, Atoa Kauli – Video

CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu mpya wa Klabu ya Yanga amewasili Kwenye ardhi ya Bongo usiku wa kuamkia leo kwa ajili...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Oktoba 16, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 16, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Benki ya NMB Kutoa Mikopo Nafuu kwa Wakulima na Wafanyabishara

Benki ya NMB imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inawasaidia wakulima na wafanyabiashara wadogo na wakubwa, katika kukuza shughuli zao za kiuchumi...

READ MORE

NEC Yakabidhi Majina ya Wapiga Kura, Karatasi ya Kupigia Kura – Video

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo Oktoba 15, 2020 imekabidhi vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, nakala...

READ MORE

Dudu Baya Hajulikani Alipo Siku 60 Sasa!

Msanii mtata wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini almaarufu kama Dudu Baya (46), mkazi wa wilaya ya Kinondoni jijini Dar, ametoweka...

READ MORE