×

Benki ya CRDB Yaboresha Huduma kwa Wastaafu Sasa Kuhudumiwa Kidijital

Benki ya CRDB imezindua mpango maalum wa uwezeshaji kwa wastaafu ambao unatoa fursa mbalimbali zinazolenga katika kuboresha maisha yao. Akizungumza...

READ MORE

Mwanajeshi: Niliwaua Warembo Sababu Nilionewa Nikiwa Mdogo

MWANAJESHI wa kitengo maalum cha makombora, Alexey Alexandrov (35), amekiri kuwaua kwa pamoja warembo wawili, Ksenia Soltanova na Rafiki yake...

READ MORE

Wabunge Wakataa Msaada wa Kondomu

WABUNGE nchini Malawi wamekataa kupokea msaada wa  kondomu zaidi ya 200,000 walizopewa na shirika moja la kutoa misaada. Mipira hiyo...

READ MORE

Yanga Waibuka Upya! Mkataba wa Morrison & Simba Una Mapungufu – Video

Klabu ya Yanga imeibua upya utata mwingine wa mkataba wa mshambuliaji Bernard Morrison wakidai hana mkataba halali na wekundu hao...

READ MORE

Mshukiwa Mauaji ya Kimbari Kushtakiwa Tanzania

MAHAKAMA ya rufaa nchini Ufaransa imekubali kumpeleka mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda, Felicein Kabuga, kushtakiwa nchini Tanzania.  ...

READ MORE

Kijana Awaua Wazazi Wake Kisa Corona

Raia wa China Huang Mouyang (22) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za mauaji ya Wazazi wake wote wawili ambao inadaiwa...

READ MORE

Sirro Aagiza Lissu Aripoti Polisi – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amemtaka mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu...

READ MORE

Msajili Awaonya ACT na Chadema Kuungana Oktoba 3

Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini Sisty Nyahoza, ameviasa vyama vya siasa vinavyotaka kuungana siku ya Oktoba 3 mwaka...

READ MORE

Mfahamu Nala, Paka Aliyesafiri Nchi Nyingi Zaidi Duniani

WAKATI mchezaji wa mchezo wa raga Dean Nicholson (31) alipofungasha virago vyake ili kusafiri duniani, alitumai kwamba safari hiyo itabadilisha...

READ MORE

Carlinhos Ashindwe Mwenyewe Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga raia wa Angola, Carlos Fernandes ‘Carlinhos’, sasa hivi rasmi amehamishiwa pembeni namba 11 atakayokuwa anaicheza katika...

READ MORE

John Legend, Mkewe Wapata Pigo

FAMILIA ya mwanamuziki maarufu duniani kutoka nchini Marekani, John Legend (41) wamepata pigo baada ya kumpoteza mtoto wao waliyemtegemea kumpata...

READ MORE

Benki ya NBC Yazindua Mwezi wa Huduma kwa Wateja

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) hii leo imezindua mwezi wa Huduma kwa Wateja wake huku ikisisitiza kuendelea kuzingatia weledi...

READ MORE

Nafasi ya kazi Primefuels Tanzania ltd , Stores Manager

JOB DIMENSION: Application of Primefuels Group Safety policy Personnel management of a compliment of more than 50 staff (permanent and...

READ MORE

Maziwa Matatu Yagunduliwa Sayari ya Mars

MAZIWA matatu ya chini ya ardhi yamegunduliwa karibu na eneo la kusini mwa sayari ya Mars. Wanasayansi pia wamethibitisha uwepo...

READ MORE

Maua: Sijasikiliza Wimbo wa Mondi, Alicia Keys – Video

  MSANII wa Bongo Fleva, Maua Sama, amefunguka kuwa mpaka sasa bado hajapata muda wa kuitazama ngoma mpya ya msanii...

READ MORE

Aliyemzuia Makonda Kuingia Marekani Azuiwa Kukutana na Papa

VATICAN imemkatalia Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo, kuonana na Papa Francis. Kiongozi huyo wa juu wa...

READ MORE

Manchester City Yamalizana na Dias wa Benfica

KLABU ya Manchester City imekubali kumsajili beki Ruben Dias kwa kitita cha pauni milioni 65 zaidi ya shilingi bilioni 192,...

READ MORE

Msanii Aliyempigia Magoti Amber Lulu Kuomba Penzi Akubaliwa

Msanii Rasco Sembo ambaye alimpigia magoti msanii Amber Lulu kwa kumuomba kuwa naye kwenye mahusiano amesema ombi lake lilikubaliwa baada...

READ MORE

Mtu wa Kwanza Kutibiwa HIV Afariki kwa Saratani

MTU  wa kwanza kutibiwa virusi vya ukimwi (HIV), Timothy Ray Brown, amefariki kutokana na saratani. Brown ambaye pia alijulikana kama...

READ MORE