×

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Mwanamme Aliyefungiwa Ndani Miaka 30 Aokolewa

POLISI  nchini Nigeria wameumuokoa mwanamme mmoja aliyefahamika kwa jina la Ahmed Aminu mwenye umri wa mika 32 ambaye alifungwa na...

READ MORE

Video Vixen Matata Bongo Elly Atamani Kuzaa

VIDEO vixen matata Bongo, Nelly Kamwelu amefunguka kuwa, anatamani mno kuzaa ila amejifunza kuwa mtoto bila malezi ya baba ni...

READ MORE

Madaktari Wafanya Mgomo Nairobi

ZAIDI ya madaktari 300 wanaofanya kazi katika hospitali za umma katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, wameanza mgomo wakishinikiza malipo...

READ MORE

Darey arejea na Jah Guide Me

  MKALI wa muziki wa Afro Beat, Mnigeria Dare Art Alade a.k.a Darey, baada ya kimya cha miaka minne amerejea na singo...

READ MORE

Jela Miaka 30 kwa Kumbaka, Kumpa Ujauzito Mwanawe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Mahiwa, Kata ya Nyangao, Maulid Salum (25),  kifungo...

READ MORE

Fainali ya UEFA Kupigwa Kesho, PSG vs Bayern, Bashiri Bingwa Ushinde!

Msimu wa soka wa kusisimua kwa mwaka 2019/2020 utahitimishwa kwa namna ya kipekee katika mechi ya fainali kati ya mabingwa...

READ MORE

Husna Aogopa Kutaja Kazi Yake

MUUZA nyago (video vixen) kwenye video za Bongo Fleva, Husna Maulid amefunguka kuwa, ukitaka ujizibie riziki zako, watajie watu unachokifanya....

READ MORE

Sevilla Yabeba Kombe la Europa, Conte Azawadiwa Kadi (Picha +Video)

KOCHA wa Inter Milan, Antonio Conte usiku wa kuamkia leo Uwanja wa RheinEnergieStadion aliambulia kadi ya njano wakati timu yake...

READ MORE

Hamisa Mobeto Afunguka Kumzalia Watoto Watano Diamond

Wakati ndoa ya staa mkubwa wa muziki barani afrika, Nasibu abdul ‘Diamond Platnumz’ ikinukia, habari mpya ni kwamba mzazi mwenzake,...

READ MORE

Ujenzi Nyumba za Kisasa Wahimizwa Monduli

  Baada ya serikali kupitia wizara ya ya Afya, maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto kuandaa mwongozo wa uhamasishaji ujenzi wa...

READ MORE

Kama Kweli Anataka Kusepa… Rayvanny Achague Kuwa Harmonize Au Mavoko!

    Mkali Wa Bongo Fleva Anayetumikia Lebo Ya Wasafi Classic Baby (Wcb), Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ Ametajwa Mara Nyingi Zaidi...

READ MORE

Video: Onyango Afungukia Umri Wake, Amtaja Kagere

BEKI mpya wa Simba, Joash Onyango amefungukia kuhusu umri wake kutokana na baadhi ya mashabiki na wadau kuwa na shaka...

READ MORE

Mahusino Fanya Kwa Afya, Siyo Kujiumiza!

Ni Ijumaa nyingine nzuri ambayo Mwenyezi Mungu ametujaalia, hivyo hatuna budi kumshukuru kwa kila jambo. Rafiki yangu, katika hali ya...

READ MORE

Kocha Yanga: Kwa Bwalya, Simba Wamepata Mwamba

SI unakumbuka jinsi Simba walivyomnasa ‘kimafia’ kiungo matata Larry Bwalya raia wa Zambia ambaye alikuwa anaelekea kwa wapinzani wao Yanga?...

READ MORE

Matokeo Kidato cha Sita 2020 Yapo Hapa

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA)  Agosti 21, 2020, limetangaza matokeo ya kidato cha sita kutokea visiwani Zanzibar ambapo kulikuwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa, Agosti 22, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 22, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Lucy Mgina: Tutawachapa Nyingi Wanawake Wa Ligi Kuu

STRAIKA wa kutumainiwa wa kikosi cha timu ya Waandishi wa Habari za Michezo Wanawake Tanzania Bara, Lucy Mgina (Chicharito), amefunguka...

READ MORE

Hasunga Achukua Fomu ya Ubunge

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Vwawa Mkoani Songwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

READ MORE

Jembe Jipya La Kazi Latua Kumalizana na Yanga

RASMI mshambuliaji Michael Sarpong raia wa Ghana leo Agosti 21 ametua Bongo kwa ajili ya kumalizana na mabosi hao ambao...

READ MORE