×

Nikki wa Pili: Sijawahi kuwaza kutoka Weusi

UKIZUNGUMZIA wanamuziki wasomi Bongo, huwezi kumuepuka Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’, ni moja kati ya wasanii wa Hip Hop kutoka...

READ MORE

Obama Amponda Trump “Mbinu Anazotumia Kukabiliana na #Covid19 Hazisaidii”

Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama amemtuhumu Rais Donald Trump kuwa ameshindwa kuikabili #COVID19 kwani mbinu anazotumia hazijasaidia chochote hivyo...

READ MORE

Vodacom Yatangaza Kukua Kwa Biashara, Yaendelea Kuongoza katika Umiliki wa Soko la Wateja.

Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini, Vodacom Tanzania PLC imetoa matokeo ya awali ya kifedha kwa mwaka unaoishia...

READ MORE

Usichokijua  Kuhusu Watu Wanaocheza Na Majeneza

KATIKA jamii zetu hususan Tanzania, msiba umekuwa ukiombolezwa kwa huzuni zinazotawaliwa na vilio kutoka kwa wafiwa ambao ni ndugu na...

READ MORE

Amua Yaliyopita Si Ndwele, Ganga Yajayo

NI Ijumaa nyingine njema, tunamshukuru Mungu kwa kutujaalia kuiona siku hii pamoja na kwamba, tunapita kwenye changamoto nyingi. Rafiki zangu,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na IjumaaWikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa Wikienda  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania...

READ MORE

Nicole Avuruga Penzi La Harmo na Sarah

KAMA hufahamu, mrembo Nicole Joyberry anayejinasibu kuwa ni mkulima wa matikiti mkoani Iringa, ametibua penzi kati ya msanii Rajabu Abdul...

READ MORE

Beki Mkenya: Simba Tulieni, Nakuja

“WAAMBIE nakuja” Hiyo ni kauli ya beki wa kati Mike Kibwage ambaye ni raia wa Kenya akituma ujumbe kwa mashabiki...

READ MORE

Sarpong: Nikitua Tu Yanga, Simba SC Watanikoma

MSHAMBULIAJI wa Rayon Sport ya Rwanda, Mghana, Michael Sarpong amefichukua kuwa amekuwa akiisikia ugumu Ligi Kuu Bara lakini haiwezi kumpa...

READ MORE

Rekodi Tano Ambazo Hadi sasa Zinaishi

KATIKA soka, kila siku kuna rekodi zinawekwa na zingine kuvunjwa. Wakati huohuo, kuna rekodi ambazo bado ngumu kuvunjwa na zinaendelea...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu, Mei 11, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo MEI 11, 2020. Ni yale ya Hard-news, Udaku na Michezo....

READ MORE

MC Pilipili Hapendwi na mkewe!

KOMEDIANI wa Taifa ambaye pia ni MC matata Bongo, Emannuel Mathias ‘MC Pilipili’ amefungukia tetesi kuwa hapendwi na mkewe, Qute...

READ MORE

Ukiwa Na Mtu Wa Hivi Kwenye Mahusiano, Utainjoi Maisha!

JUMAMOSInyingine Mungu ametupa zawadi ya uhai. Tunaendelea kuomba huruma yake, atuepushe na atuondolee kabisa gonjwa hili la Corona. Tunaamini litaondoka...

READ MORE

Lulu Diva Achukia Utimu Kwenye Gemu

SEXY Lady kunako anga la Bongo Fleva, Lulu Abas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa kwa upande wake anachukia sana mambo ya...

READ MORE

ROSE NDAUKA TATIZO NYOTA

  MWANAMAMA mkali kunako tasnia ya Bongo Movies, Rose Ndauka amesema wasichana walio kwenye uhusiano wanatakiwa kuangalia nyota kama zinaendana...

READ MORE

TANZIA: Mwandishi Mkongwe Fili Karshani Amefariki Dunia

MWANDISHI wa Habari Mkongwe nchini, Fili Karshani amefariki leo Mei 10, 2020 Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa...

READ MORE

BATULI: MUNGU MKUBWA

    AMA kweli Mungu mkubwa na hakuna kama yeye! Mwanamama sexy kunako Bongo Movies, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’, amesema kwa...

READ MORE

Hatimaye Siri Ya Diamond Kununua Mjengo Mpya Imevuja

BAADA ya staa wa muziki barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kutangaza kununua mjengo mpya ambao ni hoteli ya nyota...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Msemaji wa Makamu wa rais wa Marekani Apatikana Corona

Msemaji wa Makamu wa rais wa Marekani Mike Pence, ambaye mke wa mmoja kati ya washauri wakuu wa Donald Trump,...

READ MORE