×

Mazishi ya Papa Francis Kufanyika Leo Vatican kwa Heshima Kubwa – Video

Ibada ya mazishi ya Papa Francis inafanyika leo Jumamosi katika Uwanja wa Mtakatifu Petro mjini Vatican, ambapo mamia kwa maelfu...

READ MORE

RC Halima Dendego Atoa Pongezi kwa Kuzingatia Usawa wa Kijinsia

Mkuu wa Mkoa wa Singida( RC) Mheshimiwa Halima Dendego ameisifu kampuni ya kuchimba dhahabu ya Geita Gold Mining Limited (GGML)...

READ MORE

Serikali Ya Tanzania Yaondoa Zuio La Biashara Ya Mazao Na Malawi Pamoja Na Afrika Kusini

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza kuondoa rasmi zuio la muda la biashara na usafirishaji wa mazao ya...

READ MORE

Chimbo Jipya la Hela ni 420 Blaze It Kasino

Je, umewahi kucheza mchezo wa droo wenye droo 10? Ikiwa hujawahi, sasa unapata nafasi kamili ya kufanya hivyo. Kupitia Meridianbet...

READ MORE

Camerlengo Farrell Aongoza Ibada Ya Kufunika Mwili Wa Papa Francisko, Kuzikwa Leo -Live Update Video

Aprili 25, 2025 Camerlengo, Kardinali Kevin Joseph Farrell, Askofu Mkuu Diego Ravelli waliongoza Ibada ya kufunika mwili wa Baba Mtakatifu...

READ MORE

Balozi Nchimbi Apiga Marufuku Wimbo Unaochochea Chuki Dhidi Ya Wapinzani

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel John Nchimbi amepiga marufuku wimbo unaobeza na kuchochea chuki dhidi ya...

READ MORE

Rais Samia: Falsafa ya 4R Si Kisingizio cha Kuvunja Sheria – Video

Akihutubia Taifa, Rais Samia Suluhu amesema Kamwe falsafa ya 4R haiwezi kuwa kisingizio cha kuvunja Sheria au cha kujenga mazingira...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 26, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Watanzania na Wanajumuiya ya Afrika Mashariki Wahimizwa Kudumisha Amani

Dar es Salaam 24 Aprili 2025: Watanzania na Wanajumuiya ya Afrika Mashariki wametakiwa kuendelea kudumisha amani na hasa kipindi hiki...

READ MORE

Rais Dkt Samia Ahutubia Taifa Kuelekea Miaka 61 Ya Muungano – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.. Samia Suluhu Hassan Akihutubia Taifa Kuelekea Miaka 61 ya Muungano Ikulu Chamwino-Dodoma,...

READ MORE

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Alivyowasili Roma Kumwakilisha Rais Samia Katika Mazishi Ya Papa Francisko

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amempokea Makama wa Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Rais Samia Aidhinisha Bilioni 30 Kukarabati Barabara Zilizoathiriwa Na Mvua

Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imepanga kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 30 kwa ajili ya ukarabati wa...

READ MORE

Nani Kumfunga Paka Kengele Jumanne & Jumatano?

Je unajua kuwa wiki ijayo kinawaka vibaya mno kwenye usiku wa Ulaya?. Basi safari hii ni zamu yako kutusua na...

READ MORE

BRELA Yapongezwa kwa Matumizi ya Mifumo ya Kidigitali Iliyoboreshwa

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera, ameipongeza Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni...

READ MORE

Maonesho ya  Kitaifa ya Kazi za Utamaduni na Sanaa Mwaka 2025 Yalivyofunguliwa

Ufunguzi wa Maonesho ya Kitaifa ya Kazi za Utamaduni na Sanaa ya mwaka 2025 umefanyika leo, Aprili, 25,2025 jijini Dar-es-Salaam...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi Halmashauri Ya Manispaa Ya Moshi

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi anapenda kuwatangazia Watanzania wote wenye sifa kuomba Ajira ya Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja...

READ MORE

Makamu Wa Rais Aondoka Nchini Kumwakilisha Rais Samia Kwenye Mazishi Ya Papa Francis

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango ameondoka nchini kuelekea Vatican, kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye maziko ya aliyekuwa Kiongozi...

READ MORE

Mkazi Wa Maswa Ahukumiwa Miaka 30 Jela Kwa Kumbaka Binti Yake Na Kumpa Mimba

Mahakama ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Daudi Mabele (38), mkazi wa Kijiji cha...

READ MORE

Waziri Mkuu Kufanya Ziara Ya Siku Moja Nansio-Ukerewe Mkoani Mwanza

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Aprili 25, 2025 amewasili mkoani Mwanza ambapo ataelekea Nansio-Ukerewe kwa ziara ya siku moja. Akiwa...

READ MORE

Wizara ya Sheria Yaishukuru NMB Kukijengea Uwezo Kituo cha Huduma cha Wizara

WIZARA ya Katiba na Sheria (MoCLA), imeishukuru Benki ya NMB kwa kukubali kuendesha mafunzo ya kukijengea uwezo Kituo cha Huduma...

READ MORE