×

Mazishi ya Aliyekuwa Msanii wa Filamu, Carina Katika Makaburi ya Kisutu (Picha +Video)

Mwanadada Hawa Ibrahim almaarufu Carina, amezikwa leo kwenye Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam, baada ya kufikwa na mauti...

READ MORE

Jokate Awaongoza Maelfu ya Vijana Kumuunga Mkono Dkt. Samia

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo akiongoza Matembezi ya Maelfu ya...

READ MORE

Meridianbet Yatoa Msaada wa Vifaa vya Usafi kwa Wakazi wa Mbezi

Kama ilivyo kawaida ya mabingwa wa ubashiri Tanzania, Meridianbet kurejesha kwenye jamii, leo hii waliamua kuwageukia wakazi wa Mbezi Juu...

READ MORE

JWTZ na Jeshi la India Wahitimisha Mazoezi ya AIKAYME

Zoezi  la Africa India Key Maritime (AIKEYME) limehitimishwa kwa mafanikio makubwa ambapo Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)...

READ MORE

TFF Yamtia Hatiani Ali Kamwe, Yamuachia Huru Ahmed Ally

Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetoa maamuzi tofauti kwa maofisa habari wa vilabu vya...

READ MORE

Live: Kinachoendelea Muda Huu Msibani Kwa Carina, Vilio

Wasanii na watu mbalimbali, wamefika kwenye msiba wa Carina, Magomeni Mapipa, Mtaa wa Mvumi jijini Dar es Salaam. Eshe Buheti...

READ MORE

Aliyeshuhudia Akimuuguza marehemu Carina India Afunguka – Video

Kaka wa hiyari wa marehemu Carina ambaye ndiye aliyesafiri naye hadi nchini India, amefunguka kuanzia jinsi alivyokutana na Carina mpaka...

READ MORE

Marekani Yatishia Kujiondoa Kwenye Mazungumzo ya Amani ya Ukraine na Urusi

Marekani, kupitia Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio, imetangaza kuwa itajiondoa kwenye mazungumzo ya amani kati ya Ukraine na...

READ MORE

Serikali yatangaza kanuni mpya za Maadili ya Uchaguzi wa 2025

DODOMA-Serikali kupitia Gazeti la Serikali Tangazo la Serikali Na. 249 la Mwaka 2025 imetangaza rasmi Kanuni za Maadili ya Uchaguzi...

READ MORE

Rais Samia Kuwa Mgeni Rasmi Uzinduzi Benki ya Ushirika Dodoma

MWENYEKITI wa Bodi ya Benki ya Ushirika (COOP Bank) Prof. Gervas Machimu amesema maandalizi ya uzinduzi wa Benki hiyo yanaendelea...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 19, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Mwili wa Carina ulivyowasili kwenye Uwanja wa Ndege Dar – Video

Mwili wa Carina ulivyowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, ukitokea India. Video...

READ MORE

Naibu Spika Zungu na Profesa Janabi Wapokea Msaada wa Vifaa Vyenye Thamani ya Zaidi ya TSh Bilioni 2.55

Dar es Salaam, Tanzania – Aprili 2025 – Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge...

READ MORE

Global Group Tunawatakia waumini wa dini ya Kikristo Ijumaa Kuu Njema

Uongozi na wafanyakazi wa Global Group wanawatakia waumini wote wa dini ya Kikristo Ijumaa Kuu Njema. “Kama vile mimi nilivyowapenda...

READ MORE

Msemaji wa White House: Msimamo wa Trump Kuhusu Canada Haujabadilika

Msemaji wa Ikulu ya White House ametangaza kuwa Rais wa Marekani Donald Trump bado ana nia ya kuiunganisha Canada na...

READ MORE

Kikwete awasilisha Ujumbe Maalum wa Rais Samia kwa Rais Kapteni Ibrahim Traoré

  MJUMBE Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha ziara yake kwa kukutana na Rais wa...

READ MORE

Tap Kibingwa Yahitimishwa Wananchi Wakinufaika na Mamilioni

Dar es Salaam, Tanzania – Ijumaa, 19 Aprili 2025: Benki ya Stanbic Tanzania, kwa kushirikiana na Visa, imehitimisha rasmi kampeni...

READ MORE

Simbachawene: Serikali Haiwezi Kubadili Mfumo kwa Shinikizo la Watu Wachache

Waziri wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amesema...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 17, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Mkuu wa JKT Amshukuru Rais na Amiri Jeshi Mkuu Mafunzo ya JKT

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Rajabu Mabele, ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa...

READ MORE