×

Rais Dk. Mwinyi Apokewa Kwa Kishindo Pemba

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Hussein Ali Mwinyi amezisisitiza Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi kuwahamasisha Wanachama na Wananchi kujiandikisha na...

READ MORE

Waarabu Wote UN Wapinga Kutimuliwa Wapalestina Gaza

Kundi la Waarabu katika Umoja wa Mataifa, pamoja na kundi la mabalozi wa Umoja wa Mataifa, wamepinga vikali mipango yoyote...

READ MORE

Mwili Wa Mwanjelwa Kuwasili Nchini Jumatatu

Mwili wa mwanamuziki mkongwe, Bi. Tabia Shabani Mwanjelwa, aliyefariki dunia Januari 25, 2025, huko Saarbrücken, Ujerumani, anakoishi na familia yake,...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Februari 16, 2025

  Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote...

READ MORE

Mchengerwa Afanya Mazungumzo Na Kampuni Ya Jospong Udhibiti Taka Mijini

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amefanya mazungumzo na wawakilishi wa JOSPONG group of companies ya nchini Ghana,...

READ MORE

Hamisa Mobetto Atolewa Mahari Na Aziz Ki Viwanja vya Gofu, Mikocheni

Mwanamitindo, muigizaji na msanii wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania, Hamisa Mobetto leo, Februari 15, 2025 kupokea mahari ya...

READ MORE

Mazoezi ya Kijeshi Kati ya JWTZ na Jeshi la Marekani Yalivyofungwa Msata

Zoezi la Justified Accord ambalo  lilizinduliwa rasmi Februari 10 mwaka huu, ikiwa ni ushirikiano uliopo Katika ya Jeshi la Wananchi...

READ MORE

Raila Ashindwa Katika Kinyang’anyiro Cha Uenyekiti Wa Tume Ya AU

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga ameshindwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC)....

READ MORE

Uchukuaji wa Namba za Mbio za Kili Marathoni Waanza kwa Kasi Mlimani City

Zoezi la uchukuaji wa namba za Mbio to za Kimataifa za Masafa Marefu za Kilimanjaro Premium Lager, lililokuwa likisubiriwa kwa...

READ MORE

Kaka wa Lissu Ampokea Nyumbani Kwao Ikungi

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Mhe. Tundu Lissu amepokelewa kwa kishindo Nyumbani kwao Ikungi tangu kuchaguliwa...

READ MORE

Arsenal Yaendelea Kung’ara: Ushindi Dhidi Ya Leicester Waimarisha Mbio Za Ubingwa

Katika msimu wa 2024/2025, Arsenal imeendelea kuonesha uwezo mkubwa katika Ligi Kuu ya Uingereza, ikipambana vikali katika mbio za ubingwa....

READ MORE

Mtoto Wa Museveni Atishia Kuishambulia DRC

Mkuu wa majeshi ya ulinzi ya Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema kupitia chapisho lake kwenye mtandao wa X siku ya...

READ MORE

Njiani Mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu Lissu Akielekea Nyumbani Kwao Ikungi

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Mhe. Tundu Lissu amesalimiana na  wananchi wa Manyoni akielekea katika mapokezi...

READ MORE

Kanisa La Nabii Suguye Latimiza Miaka 18

Kanisa la WRM Ministries lililo chini ya @prophet_nicolaus_suguye leo linatimiza Miaka18 tangu kuanzishwa kwake huku Prophet Nicholas Suguye akijivunia makubwa...

READ MORE

Shigongo Katika Mkutano Wa IPU Aelezea Umuhimu Wa Afrika Kutumia Maliasili – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameshiriki Mkutano wa Mabunge ya Dunia (Interparliamentary Union) unaofanyika katika Makao Makuu ya Umoja wa...

READ MORE

Papa Francis Apelekwa Hospitali, Chanzo Chatajwa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, mwenye umri wa miaka 88, alikimbizwa hospitali ya Policlinico Agostino Gemelli mjini Roma...

READ MORE

Adakwa Na Gwanda Za JWTZ Akijifanya Mjeda

Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu linamshikilia Emmanuel Mapana (24) maarufu kwa jina la Mchambi mkazi wa mtaa wa Sima,...

READ MORE

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson Alivyofunga Mkutano Jijini New York

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson,...

READ MORE

Makamu wa Rais Afanya Mazungumzo na Balozi wa Uganda nchini Kanali Mstaafu Fred Mwesigye

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Februari 15, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE