×

Misri kuwasilisha ombi la kuwa mwenyeji wa Olimpiki ya 2036

Mkuu wa kamati ya Olimpiki ya Afrika, ANOCA, Mustapha Berraf, amesema Jumapili kwamba Misri itawasilisha ombi la kuwa mwenyeji wa...

READ MORE

Waziri wa Ulinzi Alivyofunga Mazoezi ya Medani ya Ushirikiano Kati JWTZ na Jeshi la Ukombozi wa Watu wa China

Pwani 12 Agosti 2024: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) jana alifunga mazoezi...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Chuo Kikuu Cha Dodoma, Mwisho wa Kutuma Maombi Agosti 22

Chuo Kikuu cha Dodoma kupitia utumishi kimetangaza nafasi zaidi ya 25 za ajira. Watu mbalimbali wanatakiwa kujaza nafasi mbalimbali Bonyeza...

READ MORE

Softena: Niliachana Na Mume Wangu Sababu Ya Mambo Ya Kiswahili, Nilipata Uchizi- Video

Mwanamama Hidaya Alex almaarufu @Softena100 amefanya mahojiano na Global TV na kufunguka kuhusu maisha yake halisi. Amesema watu wengi humtukana...

READ MORE

NMB Kumkabidhi Rais Samia Shule, Kuwanoa Wajasiriamali 700 Kizimkazi Festival

KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival 2024), imetambulisha rasmi wadhamini wa mwaka huu, ikiwemo Benki ya NMB,...

READ MORE

Wanawake Wafanyabiashara Kariakoo Wawezeshwa na Tigo Namna ya Matumizi ya Fedha Kidijitali  

Kampuni ya mawasiliano ya Tigo nchini imesema itaendelea kuunga mkono juhudi za serikali za kuhakikisha inachangia ujumuishwaji wa kifedha kwa...

READ MORE

Startimes Kuendelea Kuunga Mkono Ligi ya Championship Ili Kuwapa Nafasi Vijana Kuonesha Vipaji

Kampuni ya Startimes imesema itaendelea kuunga mkono Ligi ya Championship ili kuwapa nafasi vijana kuonesha vipaji na kujiuza kimataifa. Hayo...

READ MORE

Balozi Nchimbi; Kazi Kubwa za Rais Samia Zimemheshimisha Magufuli

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa kazi kubwa anayoifanya Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Msanii wa Bongo Fleva Mandojo Afariki Dunia kwa Kupigwa Akidhaniwa Kuwa Mwizi

Msanii maarufu wa muziki wa Bongofleva nchini, Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo Agosti 11, 2024 jijini Dodoma. Msanii mwenzake...

READ MORE

Mzuka wa Mamilioni na Expanse Tournament Kasino

Ongeza Mzuka na michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Expanse, promosheni yenye kutoa Mamilioni kwa wachezaji wote. Jiunge na  ...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Sumbawanga

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kwa kuzingatia kibali cha ajira chenye Kumb.Na. FA.97/228/01/09 cha tarehe 25/06/2024 kutoka...

READ MORE

Kipindi Mashuhuri China cha “Divas Hit the Road” Charekodiwa Tanzania, Mastaa Watua, Kuonekana

Mastaa kutoka China wakiwemo nguli wa televisheni, filamu na muziki wametua leo jijini Arusha kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti...

READ MORE

Mzee wa Yanga: Taifa letu Linapaswa Kuwa na Waamuzi Wazuri – Video

Mzee wa Yanga SC tawi la Nyabwela amefunguka kupitia Global TV na kueleza kuwa taifa letu linapaswa kuwa na Waamuzi...

READ MORE

Miili yote yapatikana baada ya watu 62 kufariki katika ajali ya ndege ya Brazil

Miili yote imepatikana katika eneo la ajali ya ndege katika jimbo la São Paulo nchini Brazil na kusababisha vifo vya...

READ MORE

Nchimbi Ahitimisha Kagera Mkutano Mkubwa Muleba

Maelfu ya Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Wananchi wa Muleba wakiwa wamejitokeza na kukusanyika kwenye Uwanja wa Fatuma,...

READ MORE

Yemi Alade Agonga Kolabo na Ziggy Marley Kwenye Rebel Queen

STAA wa muziki wa Afro Pop Yemi Alade ametoa albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Rebel Queen’ ambayo inapatikana...

READ MORE

Afisa Mtendaji Mkuu mtandao wa YouTube Susan Wojcicki Afariki

Afisa Mtendaji Mkuu wa zamani wa mtandao wa YouTube na mmoja wa wafanyakazi wa kwanza wa Google, Susan Wojcicki amefariki...

READ MORE

NBC Yadhamiria Kusomesha Wakunga 500 Hadi Ifikapo 2028, Yasisitiza Elimu ya Fedha Kwa Watumishi

 Benki ya Taifa ya Biashara imesisitiza dhamira yake ya kufadhili masomo ya wakunga  500 hadi kufikia mwaka 2028 ikiwa ni...

READ MORE

Kampuni ya Gesi ya Orxy Yamuunga Mkono Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Kwa Kugawa Mitungi

Kampuni ya gesi ya Orxy Tanzania Limited ambayo inayozalisha na kusambaza nishati ya gesi za majumbani imemuunga mkono Mbunge wa...

READ MORE

Zungusha Gurudumu la Spinning Buddha Ushinde Mamilioni

Spinning Buddha ni sloti ya kasino ya mtandaoni ambayo ina safuwima tano zilizopangwa kwa safu tatu na ina mipangilio 15...

READ MORE