×

Simba Yawasimamisha Clatous Chama na Nassoro Kapama

Klabu ya Simba Desemba 21, 2023 imewasimamisha wachezaji wake Clatous Chama na Nassoro Kapama kwa vitendo vya utovu wa nidhamu....

READ MORE

Wafanyakazi wa NBC Waliopanda Mlima Kilimanjaro Warejea, Wafanikisha Utoaji Huduma ya Miamala kupitia Mashine ya POS Kileleni

   Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) hii leo imewapokea wafanyakazi wake na wadau mbalimbali wa utalii wakiwemo waandishi wa...

READ MORE

Magifti Dabodabo Kunogesha Sikukuu Za Krismas Na Mwaka Mpya, Washindi Wafunguka

Disemba 22, 2023:Ramla Athuman Kopwe Mkazi wa Kigogo Fresh Chanika, Rosa Leonard Mchome Mkazi wa Changanyikeni Dar Es Salaam, na...

READ MORE

CCM Yaipongeza Wizara Ya Kilimo Kwa Uzalishaji Wa Tumbaku Kupanda Kutoka Tani 60,000 Hadi 122,000 Na Kuzalisha Dola Milioni 283

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amesema Chama Cha...

READ MORE

ALAF Limited Yadhamini Wanafunzi Wa Kiswahili UDSM

Kampuni ya ALAF LIMITED leo imetangaza rasmi udhamini wa wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wanaosoma MA Kiswahili...

READ MORE

Mbunge Janeth Masaburi Awaahidi Masoko Ya Kisasa Wana Temeke, Awapa Bure Mama Lishe Majiko Ya Gesi

Dar es Salaam 21 Desemba 2023: Serikali  ya Halmashauri ya Manispaaya Temeke imesema inampango wa kuboresha masoko yake makuu ikiwemo...

READ MORE

Makonda Awavaa Tanesco Umeme Kukatika Katika – ”Hakuna Kulipana Posho, Hakuna Kulala” – Video

CHAMA cha Mapinduzi CCM kimelitaka Shirika la Umeme nchini TANESCO lijitafakari kwakuwa si kila sababu za TANESCO kuhusu kukatika kwa...

READ MORE

Yanga Yakataa Uteja Wa Miaka 25 Ligi Ya Mabingwa

Takribani miaka 25 imepita tangu Yanga aingie hatau ya makundi bila kushinda mchezo wowote kwenye kundi lake mara ya kwanza...

READ MORE

Makonda: Acheni Chokochoko Za Kuwasumbua Wabunge Na Madiwani, Waacheni Wafanye Kazi Zao

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanachama wa chama hicho kuacha kufikiria nafasi za udiwani, ubunge kwa sasa badala yake wawaunge...

READ MORE

Ayoub, Onana Wawajaza Noti Mastaa Simba

MABAO mawili aliyoyafunga mshambuliaj raia wa Cameroon, Willy Osamba Onana na michomo aliyokoa kipa, Ayoub Lackred imetosha kuwapa bonasi ya...

READ MORE

Lake Energies, M-Pesa Waingia Makubaliano ya Kurahisisha Kununua Mafuta Kidijitali

Katika jitihada endelevu za kuchochea malipo kwa kidijitali, wateja wa Lake Energies sasa wanaweza kulipia mafuta kwa kutumia huduma ya...

READ MORE

Washindi 8 wa Maokoto Chini ya Kizibo Waondoka na Sh. 500,000 Kila Mmoja

Droo ya tisa ya Kampeni ya Maokoto Chini ya Kizibo inayoendeshwa na Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL) imefanyika ambapo jumla...

READ MORE

Rais Mstaafu Dkt Kikwete Yupo DRC Kushiriki Misheni ya SADC kwenye uchaguzi

Kufuatia maelekezo ya Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (Organ of Troika) ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)...

READ MORE

Wanafunzi wa Kike Mbeya Wapewa Mafunzo ya Tehama na Coding Kwa Udhamini wa Vodacom

Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom Kupitia programu yake inayojulikana kama ‘Code Like a Girl’ kwa kushirikiana na Tanzania...

READ MORE

Benchikha: Tulieni, Hii Simba Bado Kidogo

LICHA ya ushindi wa mabao 2-0 ambao Simba wameupata dhidi ya Wydad Casablanca lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Abdelak...

READ MORE

Waziri Mchengerwa Akutana Na Viongozi Wa Makatibu Mahutasi (TAPSEA)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amekutana na viongozi wa chama...

READ MORE

Winga Mkongo Akubali Mkataba Yanga, Bosi Wake Afunguka

NEEMA inazidi kuwaangukia yanga kwani taarifa njema kwao ni winga wa Lupopo FC, Manu Labola Bota ameweka wazi kutamani kukipiga...

READ MORE

Shilole Amwaga Machozi Akijizawadia Gari La Mil 70 Kwenye Birthday Yake, Akata Mauno – Video

Msanii wa Bongo Muvi na mjasiriamali anayemiliki mgahawa maarufu wa Shishi Food, Zuwena Mohamed ametimiza umri wa miaka 36 Desemba...

READ MORE

Mtoto Shetta, Qailah Nurdin Bilal Achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa

Mtoto wa Msanii wa Bongo Fleva Shetta, Qailah Nurdin Bilal amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama cha Mapinduzi...

READ MORE

Mfungwa wa Marekani aliyekuwa gerezani kwa miaka 48 aondolewa mashtaka

Jaji wa Oklahoma amemuondolea mashtaka mtu ambaye alikuwa gerezani kwa karibu nusu karne kwa mauaji ya 1974, kifungo kirefu zaidi...

READ MORE