×

Simba Watangaza Kuwafuata Power Dynamos Zambia ‘Kininja’ Alhamisi

UONGOZI wa Simba, umetangaza kuwafuata wapinzani wao Power Dynamos ya nchini Zambia mapema Alhamisi, huku wakiwa na kikosi chote wakijipanga...

READ MORE

Dereva Bodaboda Afariki Baada ya Kugongwa na Basi la Mwendokasi

DEREVA bodaboda leo Jumanne Septemba 12, 2023 asubuhi amefariki baada ya kugongwa na Basi la mwendokasi katika Makutano ya Mataa...

READ MORE

Mbinu Zitakazokuwezesha Kupanda Cheo Kazini kwa Urahisi

Hakuna mfanyakazi asiyependa kupanda cheo kazini kwake, hiyo ni kwa sababu mara unapopanda cheo na mshahara moja kwa moja unakuwa...

READ MORE

WFP Waikabidhi TRC Mabehewa Ya Kusafirishia Mazao Ya Mbogamboga

SHIRIKA la Mpango wa Chakula Duniani(WFP) imekabidhi mabehewa ya kusafirisha mazao ya mbogamboga kwa Shirika la Reli Tanzania(TRC) , lengo...

READ MORE

Maxi Nzengeli, Gamondi Waanza Na Tuzo Yanga

NYOTA wa Yanga, Maxi Nzengeli, amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Agosti katika Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2023/24, huku...

READ MORE

Rais Samia: Wanasiasa Tusiburuze Wananchi Mchakato wa Katiba Mpya – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amevitaka vyama vya siasa kutohodhi mchakato wa marekebisho ya katiba, akisema suala hilo si mali yao...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Septemba 12, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 12, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Watu 150 wapoteza maisha kutokana na dhoruba Libya

Takriban watu 150 waliuawa katika mafuriko yaliyotokea mashariki mwa Libya kutokana na dhoruba ya kimbunga Daniel ambacho kimepiga katika bahari...

READ MORE

Utu Kwanza Waja Na Miradi Ya Usaidizi wa Kisheria, Serikali Yawapongeza

Dar es Salaam 10 Septemba 2023: Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline Gekul ameipongeza Taasisi ya Utu Kwaza kwa...

READ MORE

Funga Kazi: Jjiji Lazizima Tigo Wakitoa Milioni 5 Kwa Mshindi Wa “Cha Wote”- Mbagala

Bi Halima Rajabu Seleman, mfanyabiashara ndogondogo mkazi wa Kilungule – Mbagala Jijini Dar Es Salaam ni miongoni mwa washindi wa...

READ MORE

Bondia Hassan Mwakinyo, Mkenya Okwiri Kuzipiga Ubungo Plaza Septemba 29

Ikiwa ni baada ya miaka miwili kupita bondia namba saba Tanzania na namba moja katika uzani wa Super walter nchini,...

READ MORE

Baba Yetu Ametelekeza Familia na Kwenda Kuishi na Mwanamke Anayeuza Baa

  Naitwa Blessing, mzawa wa Kondoa, nina umri wa miaka 26, nimehitimu masomo ya sekondari mwaka 2015 ila sikuweza kupata...

READ MORE

Hesabu Za Simba CAF Hizi Hapa Dhidi ya Power Dynamos Ligi ya Mabingwa

HUKU wakijiandaa kuvaana na Power Dynamos katika mchezo wa kwanza wa hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, uongozi...

READ MORE

Tamasha la Airtel Wasafi Festival 2023 Lawapagaisha Wakazi wa Ruangwa

LIKIWA katika onyesho lake la pili, baada ya Mtwara, Tamasha la Airtel Wasafi Festival linalodhaminiwa na Kampuni ya Simu za...

READ MORE

Waziri Gwajima: Watoto Hawaruhusiwi Kucheza ‘Show’ Kwenye Sherehe Usiku

Kufuatia kusambaa kwa Video iliyowaonesha Watoto wakitoa Burudani kwenye Sherehe wakati wa Usiku na katika Miondoko isiyofaa kwa Umri wao,...

READ MORE

Yanga Yachorewa Ramani Ya Ushindi Rwanda Ligi ya Mabingwa Afrika

KIUNGO wa kimataifa wa Rwanda ambaye amewahi kukipiga ndani ya timu za Simba na Yanga, Haruna Niyonzima, amesema mbali na...

READ MORE

Zaidi ya watu 20 wafariki kutokana na ajali ya ferry Nigeria

Takriban watu 26 wamekufa na wengine hawajulikani walipo baada ya ferry kuzama kasakazini mwa eneo la katikati mwa Nigeria Jumapili,...

READ MORE

Baba Mzazi Wa Warda Aliyepotea Akiwa Kwa Mkuu Wa Shule Aangua Kilio Studio – Video

Sakata la binti mdogo, Warda Mohammed (15), mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyumbu, Kibaha kupotea tangu April 19, 2023 bado...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatatu, Septemba 10, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 11, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Bupandwa FC Bingwa Mashindano ya Shigongo Cup Buchosa, Wakabidhiwa Kombe na Kitita – Video

  HATIMAYE mashindano maalum ya Shigongo Cup yaliyokuwa yanashirikisha timu 22 kutoka Kata 21 za Jimbo la Buchosa yametamatika kwa...

READ MORE