×

Msanii wa Bongo Fleva Anayeishi Nchini Uingereza Aachia Goma la Bad Vibes

Iicons ni msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania anayeishi nchini Uingereza ambaye anazidi kufanya makubwa katika gemu la...

READ MORE

Swala Ya Eid El Adha Kitaifa Kufanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohamed wa Sita Dar

Baraza la Kuu la Waislamu Tanzania Bakwata limesema sikukuu ya Eid El Adha Kitaifa itaswaliwa katika Msikiti Mkuu wa Mfalme...

READ MORE

Cleopatra Malkia Anayesadikika Kuwa Mwanamke Mzuri Zaidi Kuwahi Kutokea Duniani

MALKIA Cleopatra ni maarufu zaidi kati ya malkia wote waliowahi kutawala Misri. Cleopatra alizaliwa Alexandria mwaka wa 69 K.K (kabla...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Hotuba Nzito Awapongeza Yanga na Mandonga Akihitimisha Shughuli Za Bunge -Video

  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa hii leo amewapongeza wanamichezo mbalimbali ambao wamekuwa wakiiwakilisha nchi...

READ MORE

Wateja wa Airtel Kupata Punguzo la Asilimia 10 Wanunuapo Tiketi za Flydubai kwa Kutumia Airtel Money

Airtel money leo imetangaza ushirika wake na Flydubai, ambapo wateja waliounganishwa na Airtel Money wanaonunua tiketi za Flydubai watapata upendeleo...

READ MORE

Wakala wa Meli Tanzania Waunga Mkono Ujio wa DP World

CHAMA cha Wakala wa Meli Tanzania (TASAA) kimeunga mkono mpango wa Serikali wa kuleta uwekezaji wa kampuni ya DP World...

READ MORE

Mambo Nyeti Usiyoyajua Kuhusu Iddi Amin Dada, Kula Nyama za Watu?

IDDI Amin Dada Oumee, alikua raisi wa tatu wa Uganda, alitawala 1971 mpaka 1979, hakuwahi kuandika kitabu cha historia yake...

READ MORE

Waziri Nape aipongeza Vodacom Kufungua ofisi ya kisasa jijini Dodoma

  Waziri Mkuu wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amepongeza jitihada za Vodacom Tanzania kwa kufungua ofisi...

READ MORE

Nani Zaidi Kwenye Mahaba Wembamba vs Vibonge?

RAFIKI, ngoja tuchangamshe kijiwe kidogo, mambo ya ushauri wa mapenzi nitaendelea nayo wiki ijayo, lakini leo hebu tujikite kwenya mjadala...

READ MORE

Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu, Wakaguzi wa Hesabu Yatangaza Matokeo Ya Mei 2023

Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) imeidhinisha matokeo ya mitihani ya 97...

READ MORE

Namba 6 Anayotambanayo Ali Kamwe Chuma Hiki Hapa

YANGA ipo katika hatua nzuri za kukamilisha dili la usajili wa kiungo mkabaji mwenye uwezo wa kuanzisha mashambulizi, Mohamed Zoungrana...

READ MORE

Mfahamu Lucy Lameck, Waziri wa Kwanza Mwanamke Tanzania

Historia ya Tanganyika ambayo ni Tanzania ya sasa haikamiliki bila ya kutaja majina ya wanawake waliosimama katika mapambano ya uhuru....

READ MORE

NBC Dodoma Marathon 2023: A Paramount Of Corporate Philanthropy

Marathoners have a special way of teaching us about endurance and defying limits. Eliud Kipchoge’s world record redefined human boundaries,...

READ MORE

Muuaji Yanga Apewa Miaka Miwili Simba Try Again Afunguka

KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis, ataendelea kuichezea timu hiyo, mara baada ya kufikia muafaka wa kuongeza mkataba wa miaka...

READ MORE

Kocha Miguel Angel Gamondi Apangua Kambi Yanga

UNAAMBIWA baada ya uongozi wa Yanga kumpa taarifa kocha mkuu mpya wa timu hiyo raia wa Argentina, Miguel Angel Gamondi,...

READ MORE

Video: Aliyekuwa Mpigapicha Wa Jux Amwaga Shombo Kwa Bosi Wake, Adai Makabila Kamchukulia Mke…

Kupitia kipindi cha Mapito kinachoruka hewani kupitia 255global radio, mpiga picha wa zamani wa msanii wa Bongofleva Jux, @mingoclass amekanusha...

READ MORE

Raila Odinga: Hatufanyi Maongezi Tena Na Ruto, Lazima Tumzuie Sasa

Kiongozi huyo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani kupitia Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga amesema wamefuta mazungumzo yote...

READ MORE

Beki Kisiki Daniel Amoah Asaini Mkataba Mpya Azam FC

BEKI kisiki wa Azam FC, Daniel Amoah, amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa mwaka mmoja zaidi kuendelea kusalia kwenye viunga...

READ MORE

Raia wa Uganda Waishataki Kampuni ya TotalEnergies ya Ufaransa mjini Paris

Raia 26 wa Uganda wameishtaki kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa ya TotalEnergies mjini Paris wakida fidia kwa madai ya...

READ MORE

Chongolo Ahimiza UVCCM Kutimiza Wajibu Wake, Kukitangaza Chama kwa Wananchi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Daniel Chongolo amewataka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kutambua...

READ MORE